BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Muke ya MUZUNGU. Vipi na wewe lini unamdivorce mzungu wako mgawane pasu kwa pasu?
Ndoa ni kazi isiyo na mshahara lazima uifanyie kazi ndoa yako .Siku hizi wanawake hawataki pesa zenu tupo juu sana .Heshima muweke mbele mtaachwa .Mzee gates ameachwa document zinaonyesha Hivyo .So wanaume muanze kupika ,piga deki na kufua nguo .wanawake tupo juu Sana,habari ndio hiyo .
View attachment 1772640