Wanaume, nendeni kijijini mkaoe wadada ambao ni natural na fertile

Hao wenye ukimwi ..wanangonoka na boda boda tu.ukitaka pata gono..katomb.e hao mademu
Namshangaa mleta mada anazungumzia viijini gani?? kisichana kikisha vunja ungo tu tyr kinatolewa bikra mashambani havijui hata kinga ni nini ni kujiachia hovyo hvyo tu vina ma gonjwa ya zinaa mpka huruma nimekaa sana vijijini kwa shughuli zangu nimejionea utofauti mkubwa wa mjini na vijijini!!
 
Case Closed umeaongea kweli tupu vijijjini ni shida!!
 
mkuu every corner is evil now, kila pahali ni chafu, hebu angalia ni watoto wangapi wanapata ujauzito huko vijijini wakiwa bado standar 6 au 7, hakuna pazuri siku hizi, sasa kila mtu akizaa mtoto wa kike mjini awe anamupeleka kijijini, akakulie huko na kusoma huko
 
Vijiji ninavyo vijua mimi hali ni mbaya sana kulimo Dar. Watoto wa vijijini wanaanza mapenzi mapema. Hivi huwa hausikilizi jinsi wanaharakati wanavyo lia na mimba za utotoni? Dar mimba za utotoni ni chache ukilinganisha na kijijini.

Si mshauri mtu yeyote aende kuoa kijijini.
 
lol😅😅😅 mimba ni chache sababu wana access ya pesa na hospitali za kuichomoa pia wengine wananunua dawa za kuitoa.
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...

Ila siku hizi hata hao wavijijini wanajua yote hayo na washayafanya sababu ya smart phones na huduma kama hizo kuwafikia...
 
Yamekukuta mkuu?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…