Watoto wa mitaani wengi waliozaliwa na mama changudoa na baba asiyejulikana wengi huwa na mawazo haya
Changudoa aliyezaa mwanawe peke yake na baba mtoto waliyekutana uchangudoani aliyeyeyuka hewani au hausomewi basi na mitoto akizaa huwa na mentality hiyo hiyo kuwa huhitaji mume au mke
Familia imara zenye upendo wa dhati kwa watoto na zilizowalea vizuri watoto tamanio lao kubwa wakijua ni kuoa au kuolewa
Lakini watoto wa machangudoa neno kuoa au kuolewa ni.msamiati usiokuwemo vichwani mwao
Tatizo lako hapa ni background yako.Hahitajiki mtaalamu wa saikolojia kukujua maisha ya nyuma uliyoishi.Maelezo yako yanajitosheleza kukujua wewe ni nani