Wanaume nijibuni swali hili kwa dhati ya mioyo yenu. Unapata nini katika ndoa ambacho mwanaume aliye single hapati?

Wanaume nijibuni swali hili kwa dhati ya mioyo yenu. Unapata nini katika ndoa ambacho mwanaume aliye single hapati?

Kuna wanaokimbiwa mkuu. Ndiyo maana maandiko yamekataza kumtegemea mwandamu. Maandiko yanasema "amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu".
Andiko hilo haliwahusu wanandoa ,wanandoa hasa ya kikristo Bible imeandika wanategemeana maana wamekuwa mwili mmoja,wakipendana kustahimiliana,kusaidiana na wamesisitizwa kutokuachanana hayo ya kutegemea wanadamu labda kwa wadangaji🤭🤣
 
Kuowa kidini pia Ni kukamilisha nusu ya dini. Ila kila mtu Ana lengo lake kuna mwingine anawaza utelezi ambao umesema unapatikana kirahidi nje.. Je huo wa nje Ni Halali. Watoto wanapatikana Kama ulivyosema Je Ni wa halali kama alivyoamrisha mungu. Na kuna watu Wamefanikiwa baada ya kuowa. Kwa hiyo hizo Ni sababu zako wewe. Kila mtu na sababu zake kwa sababu kila mtu Ana lengo lake katika hii dunia
 
Watoto wa mitaani wengi waliozaliwa na mama changudoa na baba asiyejulikana wengi huwa na mawazo haya

Changudoa aliyezaa mwanawe peke yake na baba mtoto waliyekutana uchangudoani aliyeyeyuka hewani au hausomewi basi na mitoto akizaa huwa na mentality hiyo hiyo kuwa huhitaji mume au mke

Familia imara zenye upendo wa dhati kwa watoto na zilizowalea vizuri watoto tamanio lao kubwa wakijua ni kuoa au kuolewa

Lakini watoto wa machangudoa neno kuoa au kuolewa ni.msamiati usiokuwemo vichwani mwao

Tatizo lako hapa ni background yako.Hahitajiki mtaalamu wa saikolojia kukujua maisha ya nyuma uliyoishi.Maelezo yako yanajitosheleza kukujua wewe ni nani
Duuh mlimpiga misumari sana mleta mada
 
Back
Top Bottom