Kwani muhuni hawezi kuishi na demu akaoata hizo automaticHatutaki kuishi kihuni huni na hatupo tayari kulipa kila tunapotaka utelezi, maana mda mwingine nye*e znakuja automatic sasa hadi ukatafute nje au upige sim mtu aje unakuwa ushapoteza pointi
Nice conclusion.Hivyo basi ushauri wangu To each his own....
Hapa tuwe wakweli. Huu ubora unapimwa kwa standards zipi? Hakuna mateja, mashoga na makahaba yaliyotoka kwenye ndoa?Lakini cha mwisho na cha muhimu zaidi ni anapata Familia ilyo bora.
Mtu sahihi kwa Jambo lipi ama role ipi?Hakuna apendae kuwa single ni changamoto tu za kutokumpata mtu sahihi
Hicho wanachokipataga ndiyo tunaomba ukitaje ili tukipime uzito wake na tuone kama hakipatikani nje ya ndoaWanaume wote wenye akili zao wanajua wanachokioaga au kinachowapelekea kuoa. Hivyo vingine ni nyongeza tuu
Taja faida. Usiwauzie mbuzi kwenye guniaNinyi mliofikia umri wa barekhe (physical, mental, Biological, social and economic maturity) oeini.
Mtakuja kubishukuru sikumoja.
Faida za ndoa haziandikiki? Ingekuwa rahisi Sana kunishawishi Kama ungeorodhesha hapa faida za ndoaUkitaka kujua utamu wa ndoa, ingia mkuu.
Haya maswali yako hayana mantiki
Mkuu ningekuwa na namba yako ningekurushia hela ya supu. Majibu safi Sana haya. Nitayatumia huku mtaani kuwaelimisha wanaonipa kadi zao ili waoeHivi Ruge alioa.. matajiri wangapi wameoa Mengi pia ilimbidi arudi kuwa single akajakioa alipoona mda wa ku retire umefika..
Vipi kuhusu Elon.. Billgate na Jeff Bezos wanandoa?
Kumalizia kabisa Yesu alikuja na mwili wa binadamu lakini alikufa Single [emoji23] [emoji23]
Yani Kama unata kufanya mambo makubwa kuoa ni stress ya kuepuka.. bora kuishi kisela tu
Mmmh! Kwahiyo unataka nikopi mambo ya wazazi bola kuhoji? Hiki ni kizazi cha kuhoji. Na maendeleo yanakuja baada kufanya marekebisho ktk mambo Fulani na huwezi kuyafanya mabadiliko kama unayabeba mambo bila kuhojimtoa mada naomba kuuliza..wazazi wako walikulea wakiwa ktk ndoa ama ulilelewa na mzazi mmoja?
jibu lako ndio jibu la unachouliza
Muulize kwanza baba na mama.yako nadhani umeelewa jibuFaida za ndoa haziandikiki? Ingekuwa rahisi Sana kunishawishi Kama ungeorodhesha hapa faida za ndoa
Tutajie hiyo zaidi Basi tuijueNdoa ni zaidi ya hayo
Kwanini unanishambulia badala ya kushambulia hoja? Hoja hapa ni kwamba taja faida ya ndoa usiyoepukikaMtoa Mada inawezekana umelelewa na singo maza
Tumesema unaweza kuzaa hata bila ndoa na bado ukamuona mwanao. Hoja yako haina nguvuPamoja na yote lukuki yaliyo mazuri
Nikimuona mwanangu anacheka kwa kufuraha nikimuita au kumtania/kumchokoza huwa nafurahi sana.
Ana 6 months sasa, I can't wait akianza kutembea na kuzungumza, napenda na kupendwa sana na watoto tangu nikiwa around 10yrs old hadi sasa
Kwa mujibu wa maelezo yako tuliojisheleza kwa madili ya hapa mjini ndoa hazina faida.Kuna dili zinapatikana ukweni,
Kama hujaoa ile familia huwez kuzipata.
1. Kuna hekar 35 nmepewa na wakwe zangu uko mkoani, nalima mpunga kila mwaka.
2. Nanunuaga ndama wadogo napeleka ukweni, wananifugia bure. Sahv nna ngombe wengi Kias uko mkoani.
Nikihitaji pesa,
Ni Simu Moja tu ng'ombe au mpunga unakobolewa unauzwa chap napata pesa nafanya mambo yangu.
Faida zako hizi zote zinajibiwa na sentensi moja tu " tafuta hela".Faida za kuoa
. Kupata msaidizi wa maisha.
Kupata utelezi bila shida
Kupata faraja.
Kuondoa maisha ya uhuni.
Kujenga familia inayoeleweka.
Kuwafundisha watoto umuhimu wa baba na mama katika malezi ya watoto
.kujenga status nzur kwa jamii.
Kuondoa upweke.
Na ndoa ni zaidi ya hayo
Faida kiduchu Sana hii. Almost negligibleMuuguzi wkt unaumwa, ukiwa single na huna chapaa na ndugu+marafiki hawaeleweki utauguzwa na nani??
Mmmmh sawaMsamaria mwema, jirani, ama mpita njia. Mtegemee Mungu atakufanyia njia pasipo njia
Wapo ila kulinganisha na chart ipi?Hapa tuwe wakweli. Huu ubora unapimwa kwa standards zipi? Hakuna mateja, mashoga na makahaba yaliyotoka kwenye ndoa?