Wanaume, siyo wakati wote ni wa kuwalaumu wanawake, kuna wakati sasa ni wa kuutumia 'uanaume' wenu

Wanaume, siyo wakati wote ni wa kuwalaumu wanawake, kuna wakati sasa ni wa kuutumia 'uanaume' wenu

Kuna vitu vitatu hautavikwepa.

1) Kifo
2) Kodi
3) Na mwanamke aliyekulia kwenye umaskini kuanza kuvimba akianza kushika pesa.
Hapo ndipo akili yenu huhitajika zaidi Castr..!
 
Kwani mwanamke akigundua mwanaume anapungukiwa mamlaka kwanini asijishushe ego yake ipoe ya Nini kuanza kijipaisha wkt anajua hawezi ku control Hiyo nguvu ya mamlaka
Swali lako nimelijibu kwenye thread tayari mpendwa..!
Mwanamke hakuumbiwa mamlaka, hawezi yadhibiti yanaishia kumuendesha yeye.!
 
Kwa maelezo yako, Kumbe tumeikosea adabu nchi kuongozwa na Rais mwanamke. Kuna maamuzi yanatakiwa yawe yanafanywa na wanaume.
Gembeson,
Sipo huko tafadhali sana.!
 
Dunia ipo busy kumpa nguvu(empower) binti, human rights kwa sasa zimelalia upande wa binti.

Tumesahau kuwa kumpa nguvu binti kunaendana na kumsaidia kijana wa kiume kujua nafasi yake katika jamii, jinsi ya kuishi na huyo binti.

Na bado, vijana watazidi kulia sana coz ni kama wanaona wamenyang'anywa nafasi yao, hawajafundishwa kuishi na huyu binti.
Upo sahihi Bro..!
Na kwa sasa hakuna kiumbe anapitia magumu kama kijana wa kiume wa kizazi hiki..!
Na kama umegundua wanaoongoza kulia hata humu ndani ni wanaume kuliko wanawake..!
 
Sitaki dharau na mwanamke atakula chuma ya kichwa awe na kipato ,sijui elimu sioni kama ataweza kuleta dharau kutokana na nilivyo siongei mara mbili kipogo tu
 
Ya kwamba tunafundishwa na mwanamke huyohuyo..😂
Umeandika vyema sana pia mdogo wangu Kenzy, lakini nitakushaurije kupambana na Malaria ilhali Mimi ni mmojawapo wa anopheles..??
 
Unayksema ni kweli. Lakini nafikiri matatizo yanaanzia mbali kabisa. Kwenye ile courtship na uchumba na mahusiano beforr ndoa ndo wengi wanapokosea.
Unapopata mwanamke, hata kama alikua na watu wengine befor you, ni muhimu kuformat hard disk ya akili ake na uweke ambayo inaendana na utaratibu wako. Carleen amesema ukweli, wanawake hawakuumbwa kuweza kucontrol power kubwa. Hivo ni jukumu lako kama mwanaume kumuonyesha njia inayopasa kufuatwa ndani ya maisha yenu. Mwanamke anaejielewa lazima atafuata, na pia ukimpa room for improvement mtatengeneza utaratibu mzuri sana unaofaa ndani.
Shida n kwamba tukipata mwanamke submissive tunavimba kichwa na kusahau kumtreat kama binadam na mpenz, tunaanza kumtreat kama kijakazi. Lazma akipata nguvu alete kisebengo kikali.
But mwanaume akiweza kusimama na kumuonyesha mwanamke kua yeye mwanaume ni kiongozi na mkewe ni msaidizi wake, they all make a great team
you've said it all Mtumishi,
Hat off...!!
 
Back
Top Bottom