Kabisa yaan nilitafuta chochoro nikachochora sikurudi tena na namba yake nikaiweka kwenye Spam folder mpaka leo sijui ana hali gani huko alikoTimulia mbali
Kuombwa wewe usiopoombwa hio naniliu unatoa?Bila kuombwa hamtoi pia
Mimi demu nimpe mwenyewe akiniomba kabla sijala mzigo simpi, ntamtoa out ale anywe ila cash hapana akitaka asepe wapo wengiNimesikitishwa saba na tabia za mademu wengi, unamtongoza, hata kabla hajakukubali anaanza kukufungulia pochi yake ya matatizo.
Mara naomba nauli ya mama aende kumuuguza mama mkubwa, hivi nisingekutongoza ingekuwaje?
Mwingine ana kigari chake utasikia yaani nimezidisha kilometa 5OO naomba hela ya service na ya polish. Hivi uliweje kununua kitu usichoweza kulimudu?
Mwingine umeomtongoza tu hapohapo anakuunga na kwenye group lao la harusi mtoto wa baba yake mdogo ana kipaimara uchangie.
Mwingine mmekutana naye club mnakula raha, kesho saa sita mchana anakwambia, Babi nikwambie kitu?, unajua mdogo wetu alifariki wiki iliyopita maiti iko hospital, naomba utusaidie tukomboe mwili wake.
Sasa ndo nashangaa kwann hamtaki kuombwa๐Kuombwa wewe usiopoombwa hio naniliu unatoa?
Ukiomba naniliu unapewa tu hata iwe usiku wa manane, ๐คฃSasa ndo nashangaa kwann hamtaki kuombwa๐
Mi sitaki hayo mauji wakati Sina hela ๐Ukiomba naniliu unapewa tu hata iwe usiku wa manane, ๐คฃ
Mauji tena ๐Mi sitaki hayo mauji wakati Sina hela ๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐Mauji tena ๐
Kwa hio ukipewa hela unataka mauji? ๐คฃ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐
After that nitakuja kumwagiwa bila hata kuitwa.... daily Yaan๐คญKwa hio ukipewa hela unataka mauji? ๐คฃ๐
Unamwagiwa tu kwa raha zako huku kibunda kipo mezani kinakutazama, ๐คฃ๐After that nitakuja kumwagiwa bila hata kuitwa.... daily Yaan๐คญ
Kabisa hii nina experience nayo.Mwanamke anaekupenda haombi pesa, na ukimpa hapokei. Labda michango ya kawaida katika jamii.
Wewe na 4400 others mna_KATAA NDOA๐๐๐Wengine hutongozwa na hawana hela usiishi kwa kukariri..
KATAA NDOA
Wote hapo hawana hadhi ya kupewa kwa lengo la kutongoza. Kwa kama hao unaweza kuwapa kama ombaomba.Nimesikitishwa saba na tabia za mademu wengi, unamtongoza, hata kabla hajakukubali anaanza kukufungulia pochi yake ya matatizo.
Mara naomba nauli ya mama aende kumuuguza mama mkubwa, hivi nisingekutongoza ingekuwaje?
Mwingine ana kigari chake utasikia yaani nimezidisha kilometa 5OO naomba hela ya service na ya polish. Hivi uliweje kununua kitu usichoweza kulimudu?
Mwingine umeomtongoza tu hapohapo anakuunga na kwenye group lao la harusi mtoto wa baba yake mdogo ana kipaimara uchangie.
Mwingine mmekutana naye club mnakula raha, kesho saa sita mchana anakwambia, Babi nikwambie kitu?, unajua mdogo wetu alifariki wiki iliyopita maiti iko hospital, naomba utusaidie tukomboe mwili wake.
Hahahaha kwa mwendo huo tuwe tunawabaka tusitongozee tenaa maana imeshakuja janga la taifaNimesikitishwa saba na tabia za mademu wengi, unamtongoza, hata kabla hajakukubali anaanza kukufungulia pochi yake ya matatizo.
Mara naomba nauli ya mama aende kumuuguza mama mkubwa, hivi nisingekutongoza ingekuwaje?
Mwingine ana kigari chake utasikia yaani nimezidisha kilometa 5OO naomba hela ya service na ya polish. Hivi uliweje kununua kitu usichoweza kulimudu?
Mwingine umeomtongoza tu hapohapo anakuunga na kwenye group lao la harusi mtoto wa baba yake mdogo ana kipaimara uchangie.
Mwingine mmekutana naye club mnakula raha, kesho saa sita mchana anakwambia, Babi nikwambie kitu?, unajua mdogo wetu alifariki wiki iliyopita maiti iko hospital, naomba utusaidie tukomboe mwili wake.
Ndio hivyo wote hao tunakataa NDOAWewe na 4400 others mna_KATAA NDOA๐๐๐