Wanaume tujadiliane, hivi ni muda gani sahihi wa kuanza kumpa mwanamke hela baada ya kumtongoza?

Wanaume tujadiliane, hivi ni muda gani sahihi wa kuanza kumpa mwanamke hela baada ya kumtongoza?

Timulia mbali
Kabisa yaan nilitafuta chochoro nikachochora sikurudi tena na namba yake nikaiweka kwenye Spam folder mpaka leo sijui ana hali gani huko aliko
 
Nimesikitishwa saba na tabia za mademu wengi, unamtongoza, hata kabla hajakukubali anaanza kukufungulia pochi yake ya matatizo.

Mara naomba nauli ya mama aende kumuuguza mama mkubwa, hivi nisingekutongoza ingekuwaje?

Mwingine ana kigari chake utasikia yaani nimezidisha kilometa 5OO naomba hela ya service na ya polish. Hivi uliweje kununua kitu usichoweza kulimudu?

Mwingine umeomtongoza tu hapohapo anakuunga na kwenye group lao la harusi mtoto wa baba yake mdogo ana kipaimara uchangie.

Mwingine mmekutana naye club mnakula raha, kesho saa sita mchana anakwambia, Babi nikwambie kitu?, unajua mdogo wetu alifariki wiki iliyopita maiti iko hospital, naomba utusaidie tukomboe mwili wake.
Mimi demu nimpe mwenyewe akiniomba kabla sijala mzigo simpi, ntamtoa out ale anywe ila cash hapana akitaka asepe wapo wengi
 
Nusu saa baada ya kutamka neno nakupenda,nakutaka pia😎
 
Ukitaka kumpa pesa mwanamke hakikisha hauna nyege kabsa , yani kichwa cha chini kisiwe na maamuzi kuliko cha juu.
 
Nikishamtongoza akanikubali, pontetial ya kuniomba hela nikampa ni 0.000001% mpaka nijisikie mimi, otherwise atakuwa kahaba kama makahaba wengine tu.
 
Nimesikitishwa saba na tabia za mademu wengi, unamtongoza, hata kabla hajakukubali anaanza kukufungulia pochi yake ya matatizo.

Mara naomba nauli ya mama aende kumuuguza mama mkubwa, hivi nisingekutongoza ingekuwaje?

Mwingine ana kigari chake utasikia yaani nimezidisha kilometa 5OO naomba hela ya service na ya polish. Hivi uliweje kununua kitu usichoweza kulimudu?

Mwingine umeomtongoza tu hapohapo anakuunga na kwenye group lao la harusi mtoto wa baba yake mdogo ana kipaimara uchangie.

Mwingine mmekutana naye club mnakula raha, kesho saa sita mchana anakwambia, Babi nikwambie kitu?, unajua mdogo wetu alifariki wiki iliyopita maiti iko hospital, naomba utusaidie tukomboe mwili wake.
Wote hapo hawana hadhi ya kupewa kwa lengo la kutongoza. Kwa kama hao unaweza kuwapa kama ombaomba.
Ni kwamba mpe yule unayeona anastahili, wengine uwape kama vile omba omba.
Baada ya muda gani umpe? mpaka ufanye naye na pia uone anastahili kupewa.

Jibu la kuwapa ni "pole kwa ... lakini ningependa tujuane kwanza na nione kama tunaendana kabla sijaanza kuwa benki yako/ sugar daddy wako"
 
Nimesikitishwa saba na tabia za mademu wengi, unamtongoza, hata kabla hajakukubali anaanza kukufungulia pochi yake ya matatizo.

Mara naomba nauli ya mama aende kumuuguza mama mkubwa, hivi nisingekutongoza ingekuwaje?

Mwingine ana kigari chake utasikia yaani nimezidisha kilometa 5OO naomba hela ya service na ya polish. Hivi uliweje kununua kitu usichoweza kulimudu?

Mwingine umeomtongoza tu hapohapo anakuunga na kwenye group lao la harusi mtoto wa baba yake mdogo ana kipaimara uchangie.

Mwingine mmekutana naye club mnakula raha, kesho saa sita mchana anakwambia, Babi nikwambie kitu?, unajua mdogo wetu alifariki wiki iliyopita maiti iko hospital, naomba utusaidie tukomboe mwili wake.
Hahahaha kwa mwendo huo tuwe tunawabaka tusitongozee tenaa maana imeshakuja janga la taifa
 
Back
Top Bottom