Wanaume tuliopo chuo, wenye sura mbaya na hatuna hela CHAPUTA ni mkombozi wetu

Kuna manzi nilikuwa na chati naye vizuri tu, lakini baada ya kutuma picha, dp yake nimeona blank, probably itakuwa shida ni sura mbaya imemkimbiza.
 
Kuna manzi nilikuwa na chati naye vizuri tu, lakini baada ya kutuma picha, dp yake nimeona blank, probably itakuwa shida ni sura mbaya imemkimbiza.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nimecheka kaa fala hivyo kakulima block huyo mkuuuu

Move on asee
 
Unyonge huo
 
Pole sana mkuu...kama vyote huna jitahidi uwe hata unajichetua, vituko..comedy nyingi unaweza pata pisi moja ukapiga kimasihara.
 
Sooner than time you will start demanding ushoga [emoji24][emoji24], vijana wa Hovyo Sana nyie,bila ndoa,chizi Kama wewe ungezaliwa?
Ondoa kwanza hiyo inferiority complexity yako then fanya maaamuzi sahihi, jikubali kwamba you are enough [emoji24][emoji24]
 
Mondi kaoa πŸ€”?
Je hana mtoto?

Mimi mwenyewe sio mtoto wa mke wa ndoa ni mtoto wa nje mkuu kama ulikuwa hujui πŸ˜”
 
Pole sana mkuu...kama vyote huna jitahidi uwe hata unajichetua, vituko..comedy nyingi unaweza pata pisi moja ukapiga kimasihara.
Watu wana nyota zao bana mkuuu

Hii dunia hatuwezi kufanana
 
Hahaha, nilikuwa nafikiria labda katoa yake anataka kuweka yangu[emoji23][emoji23].

Hii hali imenifundisha kupiga puchu ya kila namna, bila mafuta na mafuta.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ™πŸ™ Kwa kweli
 
I doubt your ability to reason. How can you link a person's ugliness to the demand for homosexuality?
 
Sasa unakataa ndoa wakati we mwenyewe unakataliwa 🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…