Wanaume tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa

Dah mchumba wangu ni mchaga, unanitisha mkuu.
 
Wanawake waswahili hawana huu upuuzi...kwanza hawana hii lafudhi. Mademu wagumu na mijeuri wanapatika kwenu huko.
 
Wapare hawafai kuolewa! Waoane wenyewe kwa wenyewe! Yaani hao watu ni wabinafsi? Ving'ang'anizi na wachoyo na malaya waliopitiliza! Ili kabila ni konyo.
 
Ila sio wegi wanapenda pesa kiasi cha kua tayari hata kutoa maisha ya mwenza wake, hii character kwa asilimia kubwa wanayo wanawake wa kaskazini
 
Mchaga
Wapare hawafai kuolewa! Waoane wenyewe kwa wenyewe! Yaani hao watu ni wabinafsi? Ving'ang'anizi na wachoyo na malaya waliopitiliza! Ili kabila ni konyo.
Kaoe mchaga ni malaika
 
Ila sio wegi wanapenda pesa kiasi cha kua tayari hata kutoa maisha ya mwenza wake, hii character kwa asilimia kubwa wanayo wanawake wa kaskazini
Waacheni basi waoane wenyewe kwa wenyewe. Kuna mtu anawashikia bunduki ili muwaoe? Ujinga mtupu!
 
Wenyewe mnawakimbia sahv mnakimbilia kuoa kanda ya ziwa mnawaacha wanawake wenu,,,maana mnajua iziraeli mda wowote anakutembelea
Basi waache ''waoze'' bila kuolewa. Au na hili nalo linakukera? Au muwaambia wanawake wa kanda ya Ziwa wasikubali kuolewa na wa Kaskazini.
 
Kwanini asilimia kubwa ya wamama wa Moshi na mchane ni wajane?
 
No hard feelings hapo, namwonyesha mlango wa kutokea, nabadilisha vitasa.

Biashara ya ndoa inaisha kwa amani kabisa, sirushi neno wala mkono, gentleman way.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…