WANAUME: Umewahi kukutana na mwanamke mzuri anayejiuza barabarani mpaka ukajiuliza pamoja na uzuri wote kakosaje mwanaume wa kumhudumia?

WANAUME: Umewahi kukutana na mwanamke mzuri anayejiuza barabarani mpaka ukajiuliza pamoja na uzuri wote kakosaje mwanaume wa kumhudumia?

Ingia channel ya Mark Laita YouTube "Soft White Underbelly" uone jinsi vyuma vikali vinavyofanya prostitution. Yaani kuna wanawake wale smart kuliko average girls, yaani mwanamke yupo kwenye level nyingine ya upeo, na bado ni pisi kali, lakini wanafanya prostitution.

Ukifuatilia hizo interview utajifunza ishu siyo uzuri mkuu, ishu ni maisha waliyopitia au wanayopitia ndiyo yamewafikisha hapo regardless of looks or intelligence.

Maisha yanaweza kukuweka kwenye corner moja matata ukajikuta umeingia kwenye anasa na biashara haramu.
 
Ingia channel ya Mark Laita YouTube "Soft White Underbelly" uone jinsi vyuma vikali vinavyofanya prostitution. Yaani kuna wanawake wale smart kuliko average girls, yaani mwanamke yupo kwenye level nyingine ya upeo, na bado ni pisi kali, lakini wanafanya prostitution.

Ukifuatilia hizo interview utajifunza ishu siyo uzuri mkuu, ishu ni maisha waliyopitia au wanayopitia ndiyo yamewafikisha hapo regardless of looks or intelligence.

Maisha yanaweza kukuweka kwenye corner moja matata ukajikuta umeingia kwenye anasa na biashara haramu.
nafikiri pia wamepitia manyanyaso ya kijinsia na yamewaharibu kiakili kwa kiasi fulani
 
Juzi kati nliingia chobiksi, katika harakati zangu za kusaka mbususu

Daah nlikutana mdada Mmoja huyo, alikuwa anajiuza barabarani halafu bei cheap, nilimla, yule mdada ana personality nzuri, ana tabasamu nzuri, nikashangaaa nkajisemea kweli humu duniani kuna uchawi, yani mdada kama yule anakosaje mwanaume wa kumhudumia??

Nikajiuliza ni kwamba 90% ya wanaume tumechoka kipesa kiasi hicho, coz nlimuuliza kama ana boyfriend akaniambia hana.

Kwa personality na muonekano wa yule mdada, ningekutana nae mazingira tofauti na ya pale, ningemuoa na kumuweka ndani bila kujiuliza mara mbili huku nkimuhudumia kipesa 100% Au kama ningekuwa tajiri najichanga nampa mtaji kiasi aachane na kujiuza hata kwa muda.

Daah maisha haya, ukiwa mtu wa ku-visit sehemu wanakojiuza wadada mara kwa mara looh utakutana na mengi
Hilo la kujiuliza tu eti ''amekosa mwanamme wa kumhudumia'' tayari ni umalaya.
 
nafikiri pia wamepitia manyanyaso ya kijinsia na yamewaharibu kiakili kwa kiasi fulani
Kudos mkuu. You are right.

Nimesikiliza interview nyingi za Mark Laita hapo "Soft White Underbelly" na ni kweli wengi wao wamepitia manyanyaso ya kijinsia, yaani ile self esteem haipo tena na hata ile self worth wamepoteza, so wanaona sawa tu wakifanya prostitution kwa sababu unakuta manzi alitoroka kwao kwa sababu alikuwa akibakwa na Baba wa kambo. Na unakuta mtu ameanza prostitution ana miaka 14, baada ya kutoroka home. Kwa hiyo wengi wao ni manyanyaso ndiyo yamewafikisha hapo.
 
Ukipewa kitu chochote kiwe pesa uzuri ,Afya n.k hakikisha hauvunji kanuni za Asili

Love it
Spend it wisely
Use it wisely.

Wanawake ambao huwa wana uzuri wanaanzaga kuutumia Kama silaha kwa kuharibu maisha ya MTU au kuvunja ndoa za watu so mwisho wanaishia kujiuza na kufa kwa ukimwi na fedhea moyoni.

The same ukiwa na pesa ukizitumia vibaya lazima utabaki kusema watu wanaotoboa hutumia uchawi au freemason

The same ukiwa na kipaji ukakktumia negatively utaishia kuua kipaji chako.

The same ukiwa na elimu ukiitumia negatively you will end up being bright and broke.

So hao wanawake wazuri then wapo broke mentally usiwahurumie ila waombee tu kuna something went wrong

Mtu kupitia kunyanyaswa hiyo sio hoja ya kumfanya kuwa malaya personally Mimi nimekaa Bukoba umalaya ulipozaliwa nafahamu michezo yao hao Malaya wapi huwa wanaanzia.
 
Eeh mkuu yani naona kabisa kazi yakuuza haiwez nimemshauri vitu vingi sana kuhusu maisha nimegundua wanawake wengi wanaanza kujiuza ni shinikizo kutoka kwa marafiki na shida nilimpima had ngoma dg yupo Neg- naamin awezi kurudia
Vipi lakini, uliahirisha kumla au ulimla kwanza ndiyo ukaamza kumpatia ushauri? [emoji3][emoji3][emoji12][emoji12]
 
Juzi nimekutana na katoto ka 2002 riverside kwanza kanaogopa ogopa nikamuuliza vp kumbe ndo kanajaribu biashara yakuuza kwa mara ya kwanza wenzake wamemleta kutokea tabata aise kile kitoto ni kizuri alafu kitamu nimemshauri aachane na izo biashara sio nzuri na asirudi tena riverside [emoji38][emoji38][emoji1][emoji1]
Ungemshauri wote msiwe mnaenda tena....sasa unamwambia sio nzuri wakati huo ww unanunua?utanunuaje kitu ambacho sio kiziri and at the same time unasema kalikua katam
 
Juzi kati nliingia chobiksi, katika harakati zangu za kusaka mbususu.

Daah nlikutana mdada Mmoja huyo, alikuwa anajiuza barabarani halafu bei cheap, nilimla, yule mdada ana personality nzuri, ana tabasamu nzuri, nikashangaaa nkajisemea kweli humu duniani kuna uchawi, yani mdada kama yule anakosaje mwanaume wa kumhudumia??

Nikajiuliza ni kwamba 90% ya wanaume tumechoka kipesa kiasi hicho, coz nlimuuliza kama ana boyfriend akaniambia hana.

Kwa personality na muonekano wa yule mdada, ningekutana nae mazingira tofauti na ya pale, ningemuoa na kumuweka ndani bila kujiuliza mara mbili huku nkimuhudumia kipesa 100% Au kama ningekuwa tajiri najichanga nampa mtaji kiasi aachane na kujiuza hata kwa muda.

Daah maisha haya, ukiwa mtu wa ku-visit sehemu wanakojiuza wadada mara kwa mara looh utakutana na mengi
Tafuta mademu mkuu
 
Tafuta mademu mkuu
Mademu wengi ni ghali halafu ni michosho sana head games nyingi, ukimtongoza Leo kesho mara gesi, mara saluni, mara vocha unashangaa 90k imekatika hujaonja papuchi, wakati chobiksi kwa tsh elf 10 unamwagilia moyo kwa pisi Kali kirahisi

Pia atiba yangu ni tight siku za kawaida ni kazini kuanzia saa mbili asubuhi had saa kumi na Moja jioni, nafasi ninayo weekend jumamosi mchana Na jumapili tu, unaona ugumu ulipo MFALME WETU Nelson Jacob Kagame
 
Juzi nimekutana na katoto ka 2002 riverside kwanza kanaogopa ogopa nikamuuliza vp kumbe ndo kanajaribu biashara yakuuza kwa mara ya kwanza wenzake wamemleta kutokea tabata aise kile kitoto ni kizuri alafu kitamu nimemshauri aachane na izo biashara sio nzuri na asirudi tena riverside [emoji38][emoji38][emoji1][emoji1]
Naona umempa ushauri baada ya kuumla.
 
Back
Top Bottom