WANAUME: Umewahi kukutana na mwanamke mzuri anayejiuza barabarani mpaka ukajiuliza pamoja na uzuri wote kakosaje mwanaume wa kumhudumia?

Mkuu ungeweka link kabisa
 
Ulidanganywa mkuu. Hakakua kaoga hako, hiyo ndio strategy yake kuwakamata nyie msiotaka ma concord. Kanajifanya "amecha" cha ajabu ulizamisha ikazama hata chozi hakakutoa wala hakakusau kudai pesa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hiv wewe malaya unawqjua au unawasikia???
 
Kuna malaya nilimkuta sehemu, yule demu ni mzuri sana, ikabidi nimtoe eneo la biashara nimpeleke lodge, huko napo nikagundua ni mzuri wa nje hadi ndani, nilitamani nioe kabisa... Mungu akanipigania nikashinda kishawishi

Najiuliza yule demu ana tatizo gani hadi yupo pale sijapata majibu.
 
Ahsante kwa kunielewa, Wanaoniponda na kunikejeli humu ndani hawajawahi kutana na hii situation Lovery
 
Yaan hata kwa dawa. Hawa wake za watu tunaogonga gonga hawa ndio wale wale..unajiuliza hiv huyu ikawaje awe mke wa mtu? Tena wa ndia kabisaaa! Yan kirahisiiiiii unashika unachapa... wote hawa na malaya wa kujiuza sema tu waliwahiwa
Tabia ni kama ngozi huwa haibadiliki, kuna jamaa mkewe kapitiwa na mashemeji zake wote, anagawa kama salamu aliambiwa akawa anabisha, sahivi anataabika kisa mwanamke.
 
Location πŸ˜€
 
Tabia ni kama ngozi huwa haibadiliki, kuna jamaa mkewe kapitiwa na mashemeji zake wote, anagawa kama salamu aliambiwa akawa anabisha, sahivi anataabika kisa mwanamke.
mshamba_hachekwi haya lete sababu na huyu nin kimemkuta sasa!!. Umalaya mkuu ni tabia. Mtu hafundishwi..ni tabiaa ile..Kuna watu ni masikin wa kutupwa mabinti ila huwez kumnunua hata iweje, eti upande dau ukamgonge..ni tabia. Nasema uongo Leejay49
 
Hivi kweli mkuu una akili timamu unamuuliza malaya kama ana boyfriend? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kinacho kufa ni yule mtu wa ndani (roho)

Mwili wa nje ni kama kasha nakupa mfano Ganda la karanga limebeba karanga ndani...

Ukiona Ganda la nje ni ZURI ila kilichopo ndani kimesha kufaaa

πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
 
Wanaingiza hela ndefu sana coz wateja ni wengi...dar hii Kuna mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…