Wanaume, ushawahi pewa sharti la "no sex hadi ndoa" na mdada? Uli-deal nalo vipi, na matokeo yalikuaje?

Kama ni bikra sawa ila kama tashatobolewa nampiga chini saa mbili asubuhi, haiwezekani wengine ambao hawajamuoa awape kitumbua, halafu mimi nitayemuoa aninyime.
 
Hivi MWANAMKE BIKRA anaweza akawa anjiamini mbele ya mwanaume na akawa anamruhusu amshike shike hovyo?
 
Na
Na matunzo naye asubiri mpaka ndoa mbona husemi?
 
Wanajua wewe mpitaji, unataka ule ukimbie..!!
Kwanini km kweli unampenda msijadili ndoa badala ya kutaka mbususu? 😹😹
 
Usimpe hela wala msaada wowote we kama unampenda weka shariti la bikra kama.hana na wewe usioe, mpige matukio sana tu weka evidence kwa mbaaali ajue kuwa una options ila usimwonyeshe hadharani
Akimjibu bikra anayo vipi atamuoa bila kuomba sex??
 
Kuna mpuuzi mmoja alinipima Ngoma Bila kupenda, shenzi yule!
 
Wanajua wewe mpitaji, unataka ule ukimbie..!!
Kwanini km kweli unampenda msijadili ndoa badala ya kutaka mbususu? 😹😹
Tatizo sio mwanaume kusubiri mpaka ndoa, ishu n je huyo mwanamke nae amejitunza kusubiri mpaka hy ndoa? Au wahuni wamejipigia afu anataka kijana wa watu anunue gunia bila mbuzi 😎
 
Siku hizi ukiomba uchumba usijaribu kuomba uzindue albamu kabla ya muda wake rasmi utakaoidhinishwa madhabahuni. Ishu ni kwamba we unaweza kuvumilia hadi siku ya uzinduzi ila kuna wahuni wanatafuna asali bila pingamizi, ndio maana ukiomba uchumba ukakubaliwa na albamu uzindue kabla ya wakati wake kutokana na hofu kuwa kuna watu wanakula huo mzigo unaousubiria kabla ya ndoa, inaudhi sana
 
Km umethibitisha ana bikra unaweza kumwelewa. Litobo limechoka akupe masharti atakuwa amekudharau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…