Wanaume, ushawahi pewa sharti la "no sex hadi ndoa" na mdada? Uli-deal nalo vipi, na matokeo yalikuaje?

Wanaume, ushawahi pewa sharti la "no sex hadi ndoa" na mdada? Uli-deal nalo vipi, na matokeo yalikuaje?

Unazichukulia wapi hizo pesa? Hiyo haiuzwi inakodishwa tu, unachukiaje pesa isiyoyako?
Pesa inaingia kwenye simu
Pesa sio yangu ila kama wananitumia nikatae
😹😹Unaona Hali ngumu nikatae hela
 
Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..
Nilifanyiwa hivyo na mtu wa ndoto yangu, nikashindwa uvumilivu nikaruka ukuta, nilipodondokea likamea zao, nikalazimishwa kuvuna nilete ghalani ndiye huyo ananipa kichaa kila kukicha
 
Habarini,

Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..

No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..

Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.

Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE

Atakuwa kwenye early 3rd floor, anajaribu kuforce ndoa kwa kuona umri unamtupa!! Akiimaliza 3rd floor ataanza kuachia tena, anakuwa amekata tamaa completely!!
 
Niamini anatafuta mtu wa kumsaidia kulea jichanganye
Kuna dem aliwah niambia hvyo,nikawa nakutana nae tunapiga story na kumshika shika tu makalio,nikawa nimepotezana nae mwaka mmoja nikamkuta ni singo mama,nilibak kushangaa tu

Kumbe wakat mimi naishia kushika makalio kuna mjinga alikuwa anaipiga,afu alivyomjinga analeta mazoea tena kwangu anataka niwe nae
 
Habarini,

Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..

No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..

Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.

Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE
"Ohooooo siwezi sema kitandani labda umasikini waaangu " ilisikika sauti ya nyimbo mpya ya diamond platnumz
 
Hivi kwanini wanawake wengi huwa wanadanganya kuwa wao ni bikra???
Au wanafikiri wakisema kuwa wao ni bikra ndo wataolewa??

Ni ujinga Fulani hiviii
 
Back
Top Bottom