Sibishani na majahili kuna kuuliza ili kujua na kuna kuuliza ili kukebehi.Sijipendekezi kwa majahili.Sorry, huna akili.
Ni hayo tu kwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sibishani na majahili kuna kuuliza ili kujua na kuna kuuliza ili kukebehi.Sijipendekezi kwa majahili.Sorry, huna akili.
Ni hayo tu kwa sasa
Yaani akioa na nyingine anatoa?Ndio swali lenyewe?Wacha kutetea ujahili.Wewe ndo umeonyesha ujinga wako. Mtoa uzi kauliza swali afahamishwe wewe unaleta taarab.
Akhi....Sibishani na majahili kuna kuuliza ili kujua na kuna kuuliza ili kukebehi.Sijipendekezi kwa majahili.
Shida ya Humu jf unaezajikuta unapoteza muda kutoleana shit na kitoto au mtu mwenye umri sawa na mzazi wako, huo muda mi sina.Sibishani na majahili kuna kuuliza ili kujua na kuna kuuliza ili kukebehi.Sijipendekezi kwa majahili.
[emoji1787][emoji1787]Shida ya Humu jf unaezajikuta unapoteza muda kutoleana shit na kitoto au mtu mwenye umri sawa na mzazi wako, huo muda mi sina.
Uwe na usiku mujarab
Pete si tamaduni ya ndoa ya kiislamu pete ni urembo ambao hauhusu ndoa mfano anaweza kuvaa yeyote yule hata ambaye hajaoa .Nina swali jaman et wanaume wa kiislamu wanafunga ndoa na wanawake wanne kwaiyo anavaa Pete zote nne au kila akioa nyingine anatoa???
FaizaFoxy
Hivi wee mpuuzi ukiongea bila kutukana ni mbayaWewe mjinga nani alikuambia wanaume wa kiislamu wanavaa Pete kuashiria kwamba wameoa?Ujahili ni wa kiwango cha juu sana kwenye hii Forum.
Eh!Pete si tamaduni ya ndoa ya kiislamu pete ni urembo ambao hauhusu ndoa mfano anaweza kuvaa yeyote yule hata ambaye hajaoa .
Umetukanwa wapi?Kwanza kwa level ya swali lako ukiitwa mjinga umesifiwa.Hivi wee mpuuzi ukiongea bila kutukana ni mbaya
Nawaona wanawake wanavaaKuvaa pete wakati wa ndoa au kama ishara ya ndoa si katika mila ya uislamu.
Nani mjinga labda hao waje zako ndio wajinga ndio maana umewakusanya mahali pamojaUmetukanwa wapi?
Dah..!! nilitegemea umwambie tu kwamba ndoa ya kiislamu haina pete. Hayo ya ujinga, ujahili hayaongezi ukubwa wa hoja..!! Yanaonyesha tu akili yako imekaaje..Wewe mjinga nani alikuambia wanaume wa kiislamu wanavaa Pete kuashiria kwamba wameoa?Ujahili ni wa kiwango cha juu sana kwenye hii Forum.
Waislam hatuvagi pete.. kama wasabato wasivyo vaaNina swali jaman et wanaume wa kiislamu wanafunga ndoa na wanawake wanne kwaiyo anavaa Pete zote nne au kila akioa nyingine anatoa???
FaizaFoxy
Waliokuwa wakitetea huu ujinga mmeshapata jawabu ya utetezi wenu.Mjinga hajifichi hata akiwa kwenye chupa hutoa kidole.Asili ya swali lake ilikuwa kebehi na mliomuunga mkono mmeshapata jawabu.Mwenye asili haachi.Nani mjinga labda hao waje zako ndio wajinga ndio maana umewakusanya mahali pamoja
Hivi unaweza ukamuita mzazi wako mjinga halafu yeye aone amesifiwa..???Umetukanwa wapi?Kwanza kwa level ya swali lako ukiitwa mjinga umesifiwa.
Kwa hiyo mimi ni jini!![emoji57][emoji57][emoji57][emoji706]Hakuna mtu single
Sijui aisee labda mzimuKwa hiyo mimi ni jini!![emoji57][emoji57][emoji57][emoji706]
Eh aiseemchumba mamboo😉
Eti eh wewe muislam tokea nini??Waislam hatuvagi pete.. kama wasabato wasivyo vaa