Wanaume wa kiislam hii inawahusuu

Wanaume wa kiislam hii inawahusuu

Sibishani na majahili kuna kuuliza ili kujua na kuna kuuliza ili kukebehi.Sijipendekezi kwa majahili.
Akhi....

Fasbir swabran jamila...

Have you forgotten that an awesome verse..."jisaidieni kwa kuswali na kusubiri...hakika lakabiratun illa alal khaashi'iin"...unyenyekevu nao ni kujikomba kwa majahili ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
Sibishani na majahili kuna kuuliza ili kujua na kuna kuuliza ili kukebehi.Sijipendekezi kwa majahili.
Shida ya Humu jf unaezajikuta unapoteza muda kutoleana shit na kitoto au mtu mwenye umri sawa na mzazi wako, huo muda mi sina.


Uwe na usiku mujarab
 

Attachments

  • FB_IMG_16589959206813067.jpg
    FB_IMG_16589959206813067.jpg
    52 KB · Views: 1
Wewe mjinga nani alikuambia wanaume wa kiislamu wanavaa Pete kuashiria kwamba wameoa?Ujahili ni wa kiwango cha juu sana kwenye hii Forum.
Dah..!! nilitegemea umwambie tu kwamba ndoa ya kiislamu haina pete. Hayo ya ujinga, ujahili hayaongezi ukubwa wa hoja..!! Yanaonyesha tu akili yako imekaaje..
 
Nani mjinga labda hao waje zako ndio wajinga ndio maana umewakusanya mahali pamoja
Waliokuwa wakitetea huu ujinga mmeshapata jawabu ya utetezi wenu.Mjinga hajifichi hata akiwa kwenye chupa hutoa kidole.Asili ya swali lake ilikuwa kebehi na mliomuunga mkono mmeshapata jawabu.Mwenye asili haachi.
 
Back
Top Bottom