grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Yap! Hata kwenye ukristo hii kitu ilikuwa haipo origin yake ni huko greek na roma na imekuwa na maana tofauti tofauti kadri miaka ilivyokuwa inaenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap! Hata kwenye ukristo hii kitu ilikuwa haipo origin yake ni huko greek na roma na imekuwa na maana tofauti tofauti kadri miaka ilivyokuwa inaenda
Hapo unajiona mwamba umepigania dini ya mnyazi mungu 🙂 🙂 🙂Wewe mjinga nani alikuambia wanaume wa kiislamu wanavaa Pete kuashiria kwamba wameoa?Ujahili ni wa kiwango cha juu sana kwenye hii Forum.
Kuna ile kauli wanasema " sheria zimewekwa ili zivunjwe"Nawaona wanawake wanavaa
Sibishani na fools.Hapo unajiona mwamba umepigania dini ya mnyazi mungu 🙂 🙂 🙂
TUtakutana mbinguni mkuu kila mtu akiwa na mabikira 72. InshallahSibishani na fools.
Eh aisee hiyo ndotoTUtakutana mbinguni mkuu kila mtu akiwa na mabikira 72. Inshallah
Ya mwanyanzi ni mwenyenzi munguHapo unajiona mwamba umepigania dini ya mnyazi mungu 🙂 🙂 🙂
Usibishane na maandiko mkuuEh aisee hiyo ndoto
SamalekoYa mwanyanzi ni mwenyenzi mungu
NenoDah..!! nilitegemea umwambie tu kwamba ndoa ya kiislamu haina pete. Hayo ya ujinga, ujahili hayaongezi ukubwa wa hoja..!! Yanaonyesha tu akili yako imekaaje..
Jinsi ulivyoo jibu umeonesha jinsi ulivyo we mwanaume wa hovyooDah..!! nilitegemea umwambie tu kwamba ndoa ya kiislamu haina pete. Hayo ya ujinga, ujahili hayaongezi ukubwa wa hoja..!! Yanaonyesha tu akili yako imekaaje..
Uhovyo wangu upo wapi hapo?Jinsi ulivyoo jibu umeonesha jinsi ulivyo we mwanaume wa hovyoo
Mwanaume unajibu kiumbeya na kiunafiki inaonyesha kuwa ile engine nayo niovyoo, seckta ya juu ni hovyoo kirekebishe maana kwanza watu kama wewe waarabu hawawaachi salamaUhovyo wangu upo wapi hapo?
Unanibana mno kwa nini nini🤣🤣🤣Kwanani???
Nani ??Unanibana mno kwa nini nini🤣🤣🤣
Tumia kujibu kwa hekma ndugu yangu kwenye imani.Wewe mjinga nani alikuambia wanaume wa kiislamu wanavaa Pete kuashiria kwamba wameoa?Ujahili ni wa kiwango cha juu sana kwenye hii Forum.
NinoNani ??
Naona umechanganya madesa. Rudi juu kwenye post zangu unionyeshe hapo nilipojibu vibaya kiasi cha kunituhumu hayo uyasemayo.Mwanaume unajibu kiumbeya na kiunafiki inaonyesha kuwa ile engine nayo niovyoo, seckta ya juu ni hovyoo kirekebishe maana kwanza watu kama wewe waarabu hawawaachi salama
Bado endelea tu kunijibuNaona umechanganya madesa. Rudi juu kwenye post zangu unionyeshe hapo nilipojibu vibaya kiasi cha kunituhumu hayo uyasemayo.
Naona kabisa uliyemdhamilia kumjibu haya wala siyo mimi. Hakuna pahala nimekutukana na wala kukujibu mambo ya hovyo..!!
Pamoja na hayo, una uhuru wako wa kudhani chochote juu ya wengine, LAKINI SIYO KWA KUSINGIZIA.