Wanaume wa kiislam hii inawahusuu

Wanaume wa kiislam hii inawahusuu

Nina swali jaman et wanaume wa kiislamu wanafunga ndoa na wanawake wanne kwaiyo anavaa Pete zote nne au kila akioa nyingine anatoa???
FaizaFoxy
Kuvaa pete za ndoa sio hulka na tabia za kiislamu. Hakuna popte katika sheria za kiislamu ya kuwa wanandoa wavae pete.

Labda nikushauri nawe kuwa hebu uliza ni kwa nini wakristo wanavalishana pete wakati wa kufunga ndoa zao?
 
Kuvaa pete za ndoa sio hulka na tabia za kiislamu. Hakuna popte katika sheria za kiislamu ya kuwa wanandoa wavae pete.

Labda nikushauri nawe kuwa hebu uliza ni kwa nini wakristo wanavalishana pete wakati wa kufunga ndoa zao?
Kudhiirisha wewe umeolewa au umeoa
 
Mwanaume unajibu kiumbeya na kiunafiki inaonyesha kuwa ile engine nayo niovyoo, seckta ya juu ni hovyoo kirekebishe maana kwanza watu kama wewe waarabu hawawaachi salama
Are you serious ?!!

Mbona huyo mwamba ndiye anayekutetea kwa ujinga alioufanya aliyekukebehi...

Hivi unatulia wakati wa kusoma maandiko ya wengine ?!!! [emoji15]
 
Naona umechanganya madesa. Rudi juu kwenye post zangu unionyeshe hapo nilipojibu vibaya kiasi cha kunituhumu hayo uyasemayo.
Naona kabisa uliyemdhamilia kumjibu haya wala siyo mimi. Hakuna pahala nimekutukana na wala kukujibu mambo ya hovyo..!!

Pamoja na hayo, una uhuru wako wa kudhani chochote juu ya wengine, LAKINI SIYO KWA KUSINGIZIA.
[emoji2956]
 
Swali zuri dada lakini utaratibu wa kuvalishana Pete za ndoa sio katika utaratibu wa dini ya kiislamu hauhusiani hata kidogo nahisi ni utamaduni wa wazungu sidhani hata kwenye biblia ukristo unaelekeza hivyo
Ni kweli kabisa, ila katika Ukristo...kuna mistari katika Biblia (mpaka niitafute) inasema Mungu hueshimu mapatano/makubaliano so endapo Binadamu wamekutana na kukubaliana katika jambo jema basi Mungu anabariki au Ana approve

Kwa Mfano kuvalishana Pete ya uchumba au ya ndoa ni jambo lenye maana nzuri.

Wahindi wao wanawake huwekewa alama (Dot) kwenye paji la uso

Mfano mwingine ni system ya Uongozi na Mahakama, mkishakubaliana Mungu hubariki na ukivunja makubaliano unapata adhabu.
 
Uislam hauna taratibu za kuvaa Pete za ndoa.
isipokua inaruhusiwa mwanaume kuvaa Pete ya silver kabla au baada ya ndoa na haiitwi Pete ya ndoa inavaliwa tu kama inavyovaliwa saa.

kwahiyo hakuna utaratibu wa kuvalishana Pete kwenye ndoa katika uislam.
Kwhy wanaume wanavaa kama urembo tu sio?
 
Mambo ya pete kwetu hayapo.Pete haina upendo,haitii uja uzito wala haizalishi mtoto.Pete ni wewe mwenyewe.Ni 'show off' tu na kujisifu kuwa umeoa au umeolewa.Isitoshe pete ni ushirikina tu.Hatuabudu pete katika ndoa.Moyo na mapenzi ya dhati ndiyo pete.
Ni kwa vipi Pete ni Ushirikina?
 
Nina swali jaman et wanaume wa kiislamu wanafunga ndoa na wanawake wanne kwaiyo anavaa Pete zote nne au kila akioa nyingine anatoa???
FaizaFoxy
Anavaa kila kidole si unaonaga midole yote inakuwaga na pete tena yenye madoti mara mekundimu mara blue mara kijani mara orange [emoji1787][emoji1787]
 
Wewe mjinga nani alikuambia wanaume wa kiislamu wanavaa Pete kuashiria kwamba wameoa?Ujahili ni wa kiwango cha juu sana kwenye hii Forum.
Usimwite mjinga mueleweshe sio wote humu wanajua kila kitu.hata wewe kunaupande wa vitu vile vike hujui.
Kuuliza si ujinga
 
Mambo ya pete kwetu hayapo.Pete haina upendo,haitii uja uzito wala haizalishi mtoto.Pete ni wewe mwenyewe.Ni 'show off' tu na kujisifu kuwa umeoa au umeolewa.Isitoshe pete ni ushirikina tu.Hatuabudu pete katika ndoa.Moyo na mapenzi ya dhati ndiyo pete.
Mengine sasa unakosea .kusema kwenye uislamu haipo ingetosha
 
Back
Top Bottom