Changamka kijana,,,ukiona watu wako busy unajianzishia hata uzi wa kujisifia watu tutakusapoti😂😂...japo mimi hiyo kazi siiwezi😂Nimegumdua kuwa hapa JF ni mimi pekee ninayeishi kifala bila ya kuwa na ID nyingine za angalau kuni bebishabebisha😄
Wakati upo kitandani unakatikia mnyiriri hukutuita hata tule chabo
Nenda kanisani ndo utajua nani muhuniHakuna kilichobadirika wwanaume wa mtandaoni ni malaya kuliko wa uko mtaani kwenu wanaume wa mtandaoni ni wanakula af wanakupotezea ivyo yaani
Waambie hawa 😆😆😆Kwani kaondoka nacho?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi ujasili wa kumeet na mtu usiyemjua wenzetu mnautoa wapi?? Mtakuja kufa vifo vibaya nyie
we bado hujatongozwa sawasawaKwani kaondoka nacho?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi ujasili wa kumeet na mtu usiyemjua wenzetu mnautoa wapi?? Mtakuja kufa vifo vibaya nyie
Waambie hawa [emoji38][emoji38][emoji38]
we bado hujatongozwa sawasawa
Tatizo alikosea kukatch feeling kwa mwambaSi kinabaki shogare, kikubwa akitumie vizuri ili kifae kwa wengine wanaokuja [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Tatizo alikosea kukatch feeling kwa mwamba
jamani[emoji28]
hata mimi mshamba?
nani kakuambia[emoji23]
CHAI
umetongozwa juju tuh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we sema kweli???
umetongozwa juju tuh
Mwenzetu sijui kaumbwaje huyu duhAna moyo wa dhahabu wa kupenda haraka [emoji23][emoji23][emoji23]
nani kakuambia, nakuja pm unieleze
ni uongo ujue[emoji28]
Mwenzetu sijui kaumbwaje huyu duh