Wanaume wa mtandaoni wengi wahuni

Wanaume wa mtandaoni wengi wahuni

Hakuna kilichobadirika wwanaume wa mtandaoni ni malaya kuliko wa uko mtaani kwenu wanaume wa mtandaoni ni wanakula af wanakupotezea ivyo yaani
😃😃😃😃👆Konga rubweta ushapigwa na kitu kizito sasa unaona wote Malaya mpk babako maana nae yupo mtandaoni kama namuona vile
 
Kwani kaondoka nacho?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi ujasili wa kumeet na mtu usiyemjua wenzetu mnautoa wapi?? Mtakuja kufa vifo vibaya nyie
Ndio maana umegoma kumeet na mimi sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani kaondoka nacho?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi ujasili wa kumeet na mtu usiyemjua wenzetu mnautoa wapi?? Mtakuja kufa vifo vibaya nyie
Ni kweli aise naogopa sana ila kuna kipindi unaona liwalo na liwe unajizima data ila cute nilikutana na zee fulani humu kweli alikuwa gentlemen , babe yaani hiyo miamala sio ya dunia hii ila nilivyosema siwezi kuwa wife 2 kushne
 
Ni kweli aise naogopa sana ila kuna kipindi unaona liwalo na liwe unajizima data ila cute nilikutana na zee fulani humu kweli alikuwa gentlemen , babe yaani hiyo miamala sio ya dunia hii ila nilivyosema siwezi kuwa wife 2 kushne

Wee kumbe hadi waoaji jf wapo?? Sasa uliachaje miamala na wewe? Si ungekuwa hata mcheps? Umeniangusha baharia wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna kilichobadirika wwanaume wa mtandaoni ni malaya kuliko wa uko mtaani kwenu wanaume wa mtandaoni ni wanakula af wanakupotezea ivyo yaani
[/QUOTE
Njoo tukutane na tuyajenge kwa interlocking blocks
 
Back
Top Bottom