Unaweza ukadhani watu wameacha kutongoza kwa kasi kumbe we ndio umri umeenda wameacha kukufuata wanataka young age 😅Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikuwa kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.
Ishukuruni technology.
Sio wote
Na kama ndo mko hivo kizazi Cha Sasa poleni
Nipokee pm[emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772]
Hiyo ni kweli huu ni ukweli mtupu,naomba serikali hii suala waliangalie ikibidi wapeleke bungeni wakajadiliUnaeleza hisia zako baada ya masaa machache,mtu anakuwa anadaiwa kodi,kioo cha simu kimevunjika anataka simu mpya,Anaumwa,anasikia njaa,viatu vyake vimeharibika, kila siku hana bundle.Hapo bado hajakuambia pesha zake za vikoba na mchezo ambao ana majina matatu, ndio maana sometimes tunakulaga buyu ili kuepusha stress husizo plan.
Poleni aisee.Umefanya utafiti? Au umeangalia wale wachache waliokuface wewe!? Watu tuna confidence asikuambie mtu.
Sema wakati mwingine ni aibu yakukataliwa Ndo inatuzuga wengi yaan umeenda kwa binti umeshusha verse alafu anakuambia sikupendi au Sina hisia na wewe dah! Hili jibu lisikie tu yaan.
Akikuambia hivo lazima ujikague yaan mwisho wa siku ndo inakuja Ile sijui nikimtongozea nin.
Ila ifike wakati wanaume tuzoee haya majibu.
Mapenzi yamegeuzwa biashara huria sasa mnatongozana kitu gani badala ya kubargain tu?Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikuwa kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.
Ishukuruni technology.
Usimpe huyo hakupendiKuna kadada nimejilipua kwake kakaniambia nitakupa jibu. Kesho yake asubuhi naambiwa pasi imeungua nikasaidie hela kanunue. 25K.
Nikasema tayari yamenikuta ya wanajf
Kama kuna ukweli flaniMapenzi yamegeuzwa biashara huria sasa mnatongozana kitu gani badala ya kubargain tu?
Wanawake wanaojitambuwa na kuthamini utu wao kwa sasa ni wachache wengi wao ni majangili tu.
Mimi nawaheshimu sana wanawake wanaojiuza maana wako really wanauza utamu usimfate na sound anataka pesa.
Mwanamke wa kutongozwa ni ngumu kukataliwa, kwa sababu mpaka utoke naye ni mchakato siyo wa papo kwa papo.Poleni aisee.
Lakini nlichojua mnaogopa kukataliwa.feeling yake ikoje baada ya Hilo jibu?
Shida yenu kutake vitu personal.Unaweza ukadhani watu wameacha kutongoza kwa kasi kumbe we ndio umri umeenda wameacha kukufuata wanataka young age [emoji28]
Ukishapata pesa wao ndio wanaomba namba.Walikua wanawatongoza kiujasiri mkasema watafte hela,,wako bze kutafta hela ili mjiongeze wenyewe tena mnawasema,iv mnataka nn nyie viumbe hai😂
Ewaaaa hela itafutwe tu wakuu
Siku hizi nadra sana kukataliwa,, siku hizi tunaogopa kuliliwa shida,, tena kuna sehemu ukikataliwa unashukuru, wadada siku hizi hawakatai ila utajitoa mwenyewe tuPoleni aisee.
Lakini nlichojua mnaogopa kukataliwa.feeling yake ikoje baada ya Hilo jibu?
Mzee naona uko busy kutoa semina Kwa vijana[emoji1][emoji1]Nijuavyo mimi kutongoza ni sanaa.
Jifunze kutongoza mahali sahihi na muda sahihi.
Ukiyajua haya mawili hakuna ndoano itakosa samaki
Eeeh wajifunze tekiniks za kung'oa warembo😆Mzee naona uko busy kutoa semina Kwa vijana[emoji1][emoji1]
Hapa.Ni wapi nimeandika nimeomba nifatwe