Wanaume wa siku hizi ni waoga kueleza hisia zao

Wanaume wa siku hizi ni waoga kueleza hisia zao

Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.

Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikuwa kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.

Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.

Ishukuruni technology.
Unaweza ukadhani watu wameacha kutongoza kwa kasi kumbe we ndio umri umeenda wameacha kukufuata wanataka young age 😅
 
Umefanya utafiti? Au umeangalia wale wachache waliokuface wewe!? Watu tuna confidence asikuambie mtu.
Sema wakati mwingine ni aibu yakukataliwa Ndo inatuzuga wengi yaan umeenda kwa binti umeshusha verse alafu anakuambia sikupendi au Sina hisia na wewe dah! Hili jibu lisikie tu yaan.
Akikuambia hivo lazima ujikague yaan mwisho wa siku ndo inakuja Ile sijui nikimtongozea nin.
Ila ifike wakati wanaume tuzoee haya majibu.
 
Unaeleza hisia zako baada ya masaa machache,mtu anakuwa anadaiwa kodi,kioo cha simu kimevunjika anataka simu mpya,Anaumwa,anasikia njaa,viatu vyake vimeharibika, kila siku hana bundle.Hapo bado hajakuambia pesha zake za vikoba na mchezo ambao ana majina matatu, ndio maana sometimes tunakulaga buyu ili kuepusha stress husizo plan.
Hiyo ni kweli huu ni ukweli mtupu,naomba serikali hii suala waliangalie ikibidi wapeleke bungeni wakajadili
 
Umefanya utafiti? Au umeangalia wale wachache waliokuface wewe!? Watu tuna confidence asikuambie mtu.
Sema wakati mwingine ni aibu yakukataliwa Ndo inatuzuga wengi yaan umeenda kwa binti umeshusha verse alafu anakuambia sikupendi au Sina hisia na wewe dah! Hili jibu lisikie tu yaan.
Akikuambia hivo lazima ujikague yaan mwisho wa siku ndo inakuja Ile sijui nikimtongozea nin.
Ila ifike wakati wanaume tuzoee haya majibu.
Poleni aisee.
Lakini nlichojua mnaogopa kukataliwa.feeling yake ikoje baada ya Hilo jibu?
 
Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.

Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikuwa kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.

Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.

Ishukuruni technology.
Mapenzi yamegeuzwa biashara huria sasa mnatongozana kitu gani badala ya kubargain tu?

Wanawake wanaojitambuwa na kuthamini utu wao kwa sasa ni wachache wengi wao ni majangili tu.

Mimi nawaheshimu sana wanawake wanaojiuza maana wako really wanauza utamu usimfate na sound anataka pesa.
 
Walikua wanawatongoza kiujasiri mkasema watafte hela,,wako bze kutafta hela ili mjiongeze wenyewe tena mnawasema,iv mnataka nn nyie viumbe hai😂
 
Walikua wanawatongoza kiujasiri mkasema watafte hela,,wako bze kutafta hela ili mjiongeze wenyewe tena mnawasema,iv mnataka nn nyie viumbe hai😂
Ukishapata pesa wao ndio wanaomba namba.

FB_IMG_1713951274792.jpg
 
Usiangalie upande mmoja tu, wanawake wenyewe wa kutumia nguvu hizo siku hizi wachache sana. Kitoto cha elfu 2 kinakukazia macho wala hakiangalii pembeni kumaanisha kinajua pengine hata kukuzidi.

SIku hizi mambo ya kutumia nguvu kufukuzia yanapungua kwa kasi sana.
 
Nijuavyo mimi kutongoza ni sanaa.
Jifunze kutongoza mahali sahihi na muda sahihi.
Ukiyajua haya mawili hakuna ndoano itakosa samaki
 
Nijuavyo mimi kutongoza ni sanaa.
Jifunze kutongoza mahali sahihi na muda sahihi.
Ukiyajua haya mawili hakuna ndoano itakosa samaki
Mzee naona uko busy kutoa semina Kwa vijana[emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom