Wanaume walio oa Kwa sababu hizi ndio wamepatia kuoa

Virginity but not necessarily Both?? Sijui ume waza na kueelewa nilivyo elewa na kuwaza mimi?
 
Ukifikia hapo ni ndoano tu wala sio ndoa. Nakubali ndoa nyingi ziko driven hivyo ila if you need to have an institution of marriage lazima nilichokiandika ndicho kifuatwe.

Wewe naona ni mmojawapo wa waliomizwa sana na mahusiano ya ndoa
 
Ukifikia hapo ni ndoano tu wala sio ndoa. Nakubali ndoa nyingi ziko driven hivyo ila if you need to have an institution of marriage lazima nilichokiandika ndicho kifuatwe. Wewe naona ni mmojawapo wa waliomizwa sana na mahusiano ya ndoa
Kwa nature ya binadamu ndoa kimsingi ni ndoano tu - hasa siku hizi!
 
Wengine wanaowa ili wapate heshima kwenye Familia, wengine wanaowa apate uhakika wa mbunye yaani hata akipandwa na migenye usiku wa manane apalamie chombo chake Cha Starehe,

Ila sipingani na wewe Mzee Baba wengi wanaowa au kuolewa kwakuona kitu Fulani kwa muhusika ninao mfano uliohai ambao ulimkuta ndg yangu yaani jamaa aliyemzalisha alijua mwenzangu na mie ni Mpemba na hiyo nikutokana na muonekano wa mwenzangu na mie yaani ngozi ya mwili na Nyele Soo baada ya kujua siyo Mpemba

mwamba ikabidi abadili gia angani kwakusema Hana kazi na wakati huo mwenzangu na mie keshatundikwa Mimba, sasa mwenzangu na mie namuona yupoyupo tuu akisubili ndoaa wakati mwenzake Hana time nayeye anasubiri ajiongezi ili mwamba aoe Mwanamke wa Ndoto yake.

Note:Mapenzi hayana mjuaji maamuzi tunayochukua juu ya mapenzi ni Hisia na mihemko na jazba

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Umewaza nje ya boksi mkuu. Mojawapo ya mada fikirishi sana.

Unapooa unategemea kupata nini? Na huyo mwenzako anakuja kupata nini? Yanaonekana ni maswali rahisi lakini ukiyafikiria sana yanaeleza kila kitu.
Mkuu ndiyo nakuona Leo unakomenti huku mmu ila nimekuwa nauona upo bize na ule Uzi wa Mzee Mshana uitwao Vituko kwa mtandao

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Wewe hujamwelewa mwaandishi Amelenga Nini. Hoja sio Mrema! Hoja ni Ungana na mtu kwa maslahi
 
Mkuu ndiyo nakuona Leo unakomenti huku mmu ila nimekuwa nauona upo bize na ule Uzi wa Mzee Mshana uitwao Vituko kwa mtandao

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Ndiyo mkuu. Kule kwenye Vituko kwa mtandao ni kijiwe changu cha kahawa. Hata huku nipo mara moja moja hasa nikiona mada makini kama hii.
 
Umewaza nje ya boksi mkuu. Mojawapo ya mada fikirishi sana.

Unapooa unategemea kupata nini? Na huyo mwenzako anakuja kupata nini? Yanaonekana ni maswali rahisi lakini ukiyafikiria sana yanaeleza kila kitu.
Yes sure kabisa mkuu ur wife must come to you as an asset and as a liability.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…