Wanaume walio oa Kwa sababu hizi ndio wamepatia kuoa

Hii posti eidha imepostiwa na mtu hajawahi kupenda ama la, basi kajikatia tamaa kwenye suala zima la mapenzi

Hivi mtoa posti unajua kitu kinaitwa 'kumpenda mtu'?? Ni kitu kizito sana

Huyo mrema mnasema kaoa ili atunzwe mnasahau kuwa alioa kipindi yuko kijana na akaishi na mkewe wa mwanzo kwa miongo kadhaa. Hivyo hii anaona mara ya pili ni dharura, ila enzi za ujana wake alioa kwasababu za kawaida tu za kupenda
 
Nimesha copy link ya Uzi nitaitolea hard copy soon
Yaani umemaliza kila kitu.
Sura inazeeka
Tako linaisha
Titi soon linalalo yoo
Sasa ukioa kwa physical appearance utaenda kuisaidia Ukraine kulia soon
[emoji3][emoji24][emoji1787] mkuu umeua kabisa Mimi moja yasababu yakumuoa wife ni koo inayojiweza Kwa kifupi wanamali haswa, yaani MTU unapambana ukipata mtihani kidogo wa kifedha hata wakukusaidia Huna na uathirike mjini SASA Sjui Hilo tako na Sura yamke sijui litaisaidia NN maisha kupanda na kushuka SASA yakishuka atleat unapakuanzia.

Tako linaisha
Sura inazeeka
Chuchu saa sita zinakuwa Kumi na mbili
Shape akizaa inakuwa kituko....
 
Nimesha copy link ya Uzi nitaitolea hard copy soon
Yaani umemaliza kila kitu.
Sura inazeeka
Tako linaisha
Titi soon linalalo yoo
Sasa ukioa kwa physical appearance utaenda kuisaidia Ukraine kulia soon
[emoji3][emoji24][emoji1787] mkuu umeua kabisa Mimi moja yasababu yakumuoa wife ni koo inayojiweza Kwa kifupi wanamali haswa, yaani MTU unapambana ukipata mtihani kidogo wa kifedha hata wakukusaidia Huna na uathirike mjini SASA Sjui Hilo tako na Sura yamke sijui litaisaidia NN maisha kupanda na kushuka SASA yakishuka atleat unapakuanzia.

Tako linaisha
Sura inazeeka
Chuchu saa sita zinakuwa Kumi na mbili
Shape akizaa inakuwa kituko....
 
Stress mbaya. Kunywa Double Kick
 
Tako linaisha
Shape akijifungua watoto anakuwa bonge.
Chuchu zinakuwa chapati kikubwa ukikaa na MTU kama unaishi Kwa wema, unamjali Mapenzi yanajengeka mkuu.

Ndoa za wazee wetu zilidumu mpaka wanafariki nawake walitafutiwa na wazee wao Kwa kigezo cha ukoo, tabia, Mali watani wangu walikuwa wanaangalia rangi Kwa ajili yakupata kizazi kizuri Kwa muonekano na dini na wala sio hisia za nafsi za chuchu konzi, figure, na uzuri wa Mtu [emoji3][emoji3]
 
Sio kwamba sikuonyeshi upendo. Nakuonyesha upendo wote na kujali nakupa mahitaji yako yote na ninasimama kwako kama mume but ninacho kitaka kwako sio mapenzi yako Wala heshima yako, ninataka interests zangu ziwe guaranteed. Hili suala la interest ni wazo ambalo Ninakuwalo kichwani ambalo wewe unakuwa hujui kabisa Wala sikwambii Wala sikuonyeshi.
Ndoa bila mapenz ni sawa na hamna
 
Kupenda ni Nini? Na kwanini unampenda mtu?
 
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji1][emoji28]jamani kaaahhh!!!eti watoto wazuri haya wangetoka na sura z baba yao copyright!!![emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Mshua alnmbia kipindi anataka kuoa nyumban kwao kulkua amna elimu ikbd atafte mwanmke ambae kwao kuna elimu akmpta bmkubwa kwao wmesoma now
1. Ist born me Engineer
2.second mhasibu
3.thrd Dr
Kwaio Kuna ukweli kwenye Hilo [emoji120][emoji120]
Barikiwa
 
Nakazia hapa ngoja wao wakoMae kuwa wameoa kisa Wana ashki Sana na wao.
Mana love or beauty ya ke Ina fade away.
Ama ukioa kisa unampenda Sana Mana unakuwa na hamu naye kila wakati utamfanyia wivu,utamtega kwa simu kwa tracking,kila akiongea na mtu wakacheka utahisi anatakwa, utambana kila engo,hata sms zake utakuwa unazisoma,yaani utashindwa kutuliza akili kwa maisha Ila kwa ke basi.
Yaani hata iliwe huwa haishi wanaume usikae kuchunga,binafsi aliwe nisijue pia ajilinde,mie nikiwa mbalia namwambia ukumbuke afya ndio mtaji wako hata jeshini sifa damu iwe Safi unapanda kozi ya cheo.
Ukipenda Sana unaweza usiishi na ndugu zako Mana asimpopenda lazima umrudishe Mana so unapenda mkeo afurahi ama bebi wako,atakuambia najisikia kwenda Dubai, atadeka Kama MTT wa pekee katika familia.
Pia akiwa mzuri Sana atawindwa yaani atatongozwa Sana,magari like BMW Benz zitasimama apelekwe anakotaka, Sasa hapo utadumu naye kweli. Anapewa milioni huko nje hela ya matumizi jamani.
Binafsi mke wangu nizae watt, aniheshimu,anipikie,anifulie,yaani Mambo mengine mie kuafutilia mwili wake Kama amet00mbwa ni juu yake kujichunga.
Sijaoa mke wangu ili nit00mbe Kuna Mambo mengi mbali na hayo.
Mana before and after I have that access so why should i bothered
 
Kama mkapa vile alioa ili alate urais
Unajua alipambana vipi na nafsi yake kuishi hivyo,

Hivi unajua upweke wa kuishi na mtu usiyempenda?? Yani uko na mtu halafu huna hisia nae

Sasa usiombee uwe situation hiyo halafu paap Mungu akukutanishe na mtu unayempenda, unaweza kuharibu kila kitu ulichojenga ili kumpata huyo mpya uliyempenda
 
Mpenzi wako yupo na mpenzi wake Weekend wana Enjoy. Wewe Pumzika uwahi Jumuiya kesho mapema!
 
Mi nilioa wake zangu ili wawe wananibebea unga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…