Wanaume wanaoijua hii Baiolojia ya wanawake ni wachache sana

Wanaume wanaoijua hii Baiolojia ya wanawake ni wachache sana

SOMO la emotional intelligence KWA wengi ni shida.
Inatakiwa uzitawale hisia zako na sio zikutawale, lazima uwe tofauti na mnyama
 
Tabia mbaya ni matokeo ya malezi mabovu ya mama yake, ukikosea kuoa maamuzi ni yako uamuae kubeba mzigo wa malezi mabovu ya mama yake au la. Ukimlea mtoto vibaya atakaenda beba mzigo ni mme au mke wake.
Mtoto yeyeto ni mume au mke wa mtu kwa baadae
 
Bora mwanamke anaenuna na kuvimba akiwa na hasira kuliko mwanamke mwenye mdomo mchafu na mpiga kelele.
Maneno ni roho kamili itokayo kuzimu kukuumiza.
Ndoa ujengwa na kauli nzuri. Kauli chafu uuua upendo wa Mume kwa mke, uua nguvu za kiume.
Hata maandiko yanasema kaa mbali na mwanamke mwenye makelele Ili uinusuru moyo wako.
 
Kweli waambie maana wanatusimanga bure kumbe wenzao tuna matatizo ya hormonal imbalance....
 
Sisy na wewe unanunaga😁
Mim hormones zinafanya nazidi kumpenda mlamba lips wangu na ku loose appetite.
Yaani kwanza kimaumbile sinaga moodswing kabisa yaani ninune with no reason haijawahi tokea,hata hiyo MP hainisumbui napata tu shallow pain basi.....eeeh wacha weeeee hormones zako zinakoleza penzi au sio😅😅😅😅😅
 
Kama ni hvo bas walio kwenye ndoa wana changamoto sana... Japo mi naonaga watu wanaishi vzr tu
Hujawajua wanawake walio olewa wewe!!! Tunaishi nao tu basi.
Maana wanakua wamejihakikishia ushindi wameshaingia ndani....wana viburi hao hatar..yan mwanaume unakua uko kitanzi..ukienda mahakan umekwisha.....ukienda kwa wazaz (hata wakwako) umekwishaaa...kila mahala anasikilizwa yeye...kwa watoto wenu nako umekwishaaa!! Maana nao wajua mama yao anaonewa 😂😂😂
Aahhh wanawake ni vitanzi sana ndani ya ndoa...ndio maana inabida uwe unapiga makwenzi tuu
 
Half american Glenn To yeye vipi hapo Jamani kwenye kupimana afya ya akili?mdogo wangu katoa ushauri
Watu wakiona chura yupo vizur wanajua kila kitu kipo sawa.

Hata hivyo sisy najuta kuweka huu uzi.Naona point yangu imetafsiriwa vibaya na sidhan kama kuna atakayenielewa.Nahisi hata mlamba lips wangu ninayempenda na kumuheshimu sana akiona hii mada anaweza kuniacha.Eee Yesu nisaidie akaniacha nitampata wapi mwingine kama yeye😁🙏.

Sisemi viburi na gubu ni sawa ila Ukweli ni kwamba wapo wanawake wenzetu wanapelekeshwa sana na hormones za hedhi na kama waume zao watajua jinsi ya kuenenda nao ingekua vizuri.
Na hii mada nimeianzisha mwenyewe ila nasema sisy imenishinda na hata sijui naendelea nayo vipi.😁

Kama kuna aliyenielewa sawa kama kuna anayedhani natetea wanawake wenye tabia chafu sawa cha muhimu naijua nafasi yangu mbele ya baba yeyoo wangu ni ipi.
Sisi natoroka sirudi tena hapa😁
 
Ngoja nipate supu kwanza nitarudi hapa, ila nikute umeniandalia jibu ni kwa nini kwenye mahusiano ya boy friend na girlfriend wanawake huwa wako fresh sana? Hizi homoni hazifanyikazi kabla hamjaolewa? Na kwa nini mkiwa na watu wengine mnaongea vizuri tu ila homoni ndio zinaleta shida kwa mume wako peke yake?
Thanks mkuu

Hawa viumbe aisee
 
Watu wakiona chura yupo vizur wanajua kila kitu kipo sawa.

Hata hivyo sisy najuta kuweka huu uzi.Naona point yangu imetafsiriwa vibaya na sidhan kama kuna atakayenielewa.Nahisi hata mlamba lips wangu ninayempenda na kumuheshimu sana akiona hii mada anaweza kuniacha.Eee Yesu nisaidie akaniacha nitampata wapi mwingine kama yeye😁🙏.

Sisemi viburi na gubu ni sawa ila Ukweli ni kwamba wapo wanawake wenzetu wanapelekeshwa sana na hormones za hedhi na kama waume zao watajua jinsi ya kuenenda nao ingekua vizuri.
Na hii mada nimeianzisha mwenyewe ila nasema sisy imenishinda na hata sijui naendelea nayo vipi.😁

Kama kuna aliyenielewa sawa kama kuna anayedhani natetea wanawake wenye tabia chafu sawa cha muhimu naijua nafasi yangu mbele ya baba yeyoo wangu ni ipi.
Sisi natoroka sirudi tena hapa😁
Mwanzo wa mapenzi hizi hormones huwa zinakua likizo?
 
Hujawajua wanawake walio olewa wewe!!! Tunaishi nao tu basi.
Maana wanakua wamejihakikishia ushindi wameshaingia ndani....wana viburi hao hatar..yan mwanaume unakua uko kitanzi..ukienda mahakan umekwisha.....ukienda kwa wazaz (hata wakwako) umekwishaaa...kila mahala anasikilizwa yeye...kwa watoto wenu nako umekwishaaa!! Maana nao wajua mama yao anaonewa 😂😂😂
Aahhh wanawake ni vitanzi sana ndani ya ndoa...ndio maana inabida uwe unapiga makwenzi tuu
Duuh.
Hayo siyo maisha ninayotamani kuishi na mtu ninayempenda.
Poleni sana
 
Half american Glenn To yeye vipi hapo Jamani kwenye kupimana afya ya akili?mdogo wangu katoa ushauri
Naona mnatafuta sababu ya kuhalalisha KIBURI, JEURI, GUBU na mengineyo ya kufanana na hayo kupitia hicho alichokiandika Clepatina , suluhisho ni kuishi nanyi kwa akili tu maana hata mkipima afya ya akili haimaanishi baada ya kuingia ndoani kutazuia kupata changamoto za afya ya akili.
 
Back
Top Bottom