Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kwanza kimaumbile sinaga moodswing kabisa yaani ninune with no reason haijawahi tokea,hata hiyo MP hainisumbui napata tu shallow pain basi.....eeeh wacha weeeee hormones zako zinakoleza penzi au sio😅😅😅😅😅Sisy na wewe unanunaga😁
Mim hormones zinafanya nazidi kumpenda mlamba lips wangu na ku loose appetite.
Ukinipima unatoa tiba?Half american Glenn To yeye vipi hapo Jamani kwenye kupimana afya ya akili?mdogo wangu katoa ushauri
Ni kuachika tuUkinipima unatoa tiba?
"ila kiburi na gubu na kauli za jeuri kwa NIMPENDAE si fungu langu."
Hujawajua wanawake walio olewa wewe!!! Tunaishi nao tu basi.Kama ni hvo bas walio kwenye ndoa wana changamoto sana... Japo mi naonaga watu wanaishi vzr tu
Watu wakiona chura yupo vizur wanajua kila kitu kipo sawa.Half american Glenn To yeye vipi hapo Jamani kwenye kupimana afya ya akili?mdogo wangu katoa ushauri
Thanks mkuuNgoja nipate supu kwanza nitarudi hapa, ila nikute umeniandalia jibu ni kwa nini kwenye mahusiano ya boy friend na girlfriend wanawake huwa wako fresh sana? Hizi homoni hazifanyikazi kabla hamjaolewa? Na kwa nini mkiwa na watu wengine mnaongea vizuri tu ila homoni ndio zinaleta shida kwa mume wako peke yake?
Mwanzo wa mapenzi hizi hormones huwa zinakua likizo?Watu wakiona chura yupo vizur wanajua kila kitu kipo sawa.
Hata hivyo sisy najuta kuweka huu uzi.Naona point yangu imetafsiriwa vibaya na sidhan kama kuna atakayenielewa.Nahisi hata mlamba lips wangu ninayempenda na kumuheshimu sana akiona hii mada anaweza kuniacha.Eee Yesu nisaidie akaniacha nitampata wapi mwingine kama yeye😁🙏.
Sisemi viburi na gubu ni sawa ila Ukweli ni kwamba wapo wanawake wenzetu wanapelekeshwa sana na hormones za hedhi na kama waume zao watajua jinsi ya kuenenda nao ingekua vizuri.
Na hii mada nimeianzisha mwenyewe ila nasema sisy imenishinda na hata sijui naendelea nayo vipi.😁
Kama kuna aliyenielewa sawa kama kuna anayedhani natetea wanawake wenye tabia chafu sawa cha muhimu naijua nafasi yangu mbele ya baba yeyoo wangu ni ipi.
Sisi natoroka sirudi tena hapa😁
Duuh.Hujawajua wanawake walio olewa wewe!!! Tunaishi nao tu basi.
Maana wanakua wamejihakikishia ushindi wameshaingia ndani....wana viburi hao hatar..yan mwanaume unakua uko kitanzi..ukienda mahakan umekwisha.....ukienda kwa wazaz (hata wakwako) umekwishaaa...kila mahala anasikilizwa yeye...kwa watoto wenu nako umekwishaaa!! Maana nao wajua mama yao anaonewa 😂😂😂
Aahhh wanawake ni vitanzi sana ndani ya ndoa...ndio maana inabida uwe unapiga makwenzi tuu
Yes sikatai,ila ni vyema kuheshim kila mtu.Sure ila nimpendae ana heshima ya pekee kwangu
Naona mnatafuta sababu ya kuhalalisha KIBURI, JEURI, GUBU na mengineyo ya kufanana na hayo kupitia hicho alichokiandika Clepatina , suluhisho ni kuishi nanyi kwa akili tu maana hata mkipima afya ya akili haimaanishi baada ya kuingia ndoani kutazuia kupata changamoto za afya ya akili.Half american Glenn To yeye vipi hapo Jamani kwenye kupimana afya ya akili?mdogo wangu katoa ushauri