Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Jambo lenye manufaa hata siku moja huwezi kuta linapigiwa promo, wahuni mkiona mnalizimishwa kuoa ujue huo ni mtego, trust me!
Kama Ndoa ingekua inamnufaisha Mwanaume nawahakikishieni hakuna Mwanamke angekua anakubali kuolewa kirahisi. Kikubwa tutafuteni hela kwa Bidii sana, Hakuna Rafiki mzuri kama pesa mazee.. huyo mke sijui wa kua rafiki sijui nini, mambo ya kizamani hayo.. watoto nitalea hata Yatima nikiwa na hela zangu.. kuzeeka kupo tu.. always trust yourself (Forever young by Jay z)
 
Kabisa! Ngoja wachache wafanye wengi wabaki. Kila mtu ashughulikie linalomfaa. Ukiwa mwalimu hapa, watakupoint wewe ni tapeli.
 
Mwanamke alikuwa wa hovyo sana. Mie ukitaka kuniua na hizo stress nakuua wewe kwanza yani. Ntapiga kama ngoma hadi damu zitoke mpaka mkunduni. Akirudia tena nafukuzia mbalii
 
Ukishakuwa affected kisaikolojia unapoteza ile nafsi yako unakuwa mfu ungali hai. Psychological torture usiombe ikukute.
 
Unajitoa ufahamu usiniletee mazoea ya kipuuzi. Uliponiita mjinga ulidhani ntakupakata?

tena koma kunizoea
Kwa hiyo tatizo ni kushindwa kufahamu nini maana ya neno mjinga au ujinga ? Ndio maana una tafsiri kuwa ni tusi ?

Mkuu narudia tena wewe ni mjinga jielimishe kuhusu mambo mbalimbali ili ufute ujinga ulio nao kuhusu hayo mambo mbalimbali hasa hasa hili swala la kwa nini kuna wanaume hawa oi ?
 
Hahahaha hio akili ndio inawacost, mke anataka akipata kazi ndio aolewe ili ukiwa unamtuma naye anamtuma mfanyakazi wa ndani. Mletee baba maji ya kunywa. Akibakia mwenyewe ndo yanaanza mashindano.
 
Mungu atujalie katika haya mambo ya ndoa maana kilamtu anamwona mwenzake n mbaya
 
Halafu watoto wako ubaki nao kiunoni, acheni upuuzi vijana. Tafta mwanamke anayekutii na mwenye hekima oa mjenge familia. Achaneni na mapaka shume wenye kucha bandia na matako ya dukani. Vingereza vingii **** mbovuu ndo mwisho mnatibuana tu baada ya kuwaoa.
 
KMMK


We ni punga kwasababu umepanic peke yako kuliko wachangia mada wote. Kwahiyo unadhani kuna mtu humu anaweza kujua sababu za kila mtu kuoa au kutokuoa. Hiyo mada ya u punga imekugusa sana. Wanaume rijali wamenyamaza mapunga mmepanic
Mkuu narudia tena matusi haya saidii zaidi yana kuaibisha tu, unaweza kuchangia pasipo lugha ya matusi na ukaeleweka tu.

Bado tatizo la ujinga lina kutesa, haufahamu kwa nini matusi/lugha chafu hazifai katika jamii jielimishe mkuu.
 
Mama yako ni mhaya biLa shaka πŸ˜€
 
Mkuu tatizo wwngine wamekosa ile roho ya kiume kutokana na madhila flan flan ndo maana wamepoteza uwezo wa kujiamin

Ila mpango wa shetan n kutokuona ndoa. Na kusipokuwa na ndoa kuzin kutakuwa kwing. Kuzin kukiwa kwing dhambi zitakuwa kawaida hasa ya kuzin


Tukifika hapooo inamaanisha tumejitengenezea njia ya moto na lango la ibilisi lnakuwa lmekamlka
 
Mkuu narudia tena matusi haya saidii zaidi yana kuaibisha tu, unaweza kuchangia pasipo lugha ya matusi na ukaeleweka tu.

Bado tatizo la ujinga lina kutesa, haufahamu kwa nini matusi/lugha chafu hazifai katika jamii jielimishe mkuu.
We bora uniache tu kwasababu umenianza. Ungepita kimya wala yasingekuvaa ukiendelea ntahamia inbox kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…