We si ndo umeanza kunitukana fala nini. Unawashwa yaani unitukane eti uje uone sio hekima kafie mbeleUna jiaibisha, matusi haya jengi picha nzuri kwako zingatia hilo.
Kabisa! Ngoja wachache wafanye wengi wabaki. Kila mtu ashughulikie linalomfaa. Ukiwa mwalimu hapa, watakupoint wewe ni tapeli.Hatari kabisa, bara letu kwa asilimia kubwa tunakosa wingi wa watu wenye mawazo chanya katika mambo mbalimbali mfano ni hapa nchini.
Ukijaribu kukaa katika makundi mbalimbali ya watu utaona ni kwa namna gani watu wanawaza ujinga muda wote.
Mada za kijinga kijinga zimetamalaki humu jf, wattsapp groups, mitaani vitu vya msingi hatutaki kujua wala kujishughulisha navyo.
Ni wapi nilipo kutukana ?We si ndo umeanza kunitukana fala nini. Unawashwa yaani unitukane eti uje uone sio hekima kafie mbele
Mwanamke alikuwa wa hovyo sana. Mie ukitaka kuniua na hizo stress nakuua wewe kwanza yani. Ntapiga kama ngoma hadi damu zitoke mpaka mkunduni. Akirudia tena nafukuzia mbaliiHyo namba 1 hapo iliniathiri tokaa nikiwa na miakaa 5 nilikuwaa namwonaa b mkubwaa akimnyanyasaa mzee mpk mzee aliamua kujinyongaa kuondokana na KERO ya mama yetuu...na mwanamke yule baada ya mzee kujinyongaa hakukaa hata miez miwilii likaolewa na kijana ambayee umri n sawΓ na kaka ytu wa Kwanzaa nakututelekezaaa Moja kwa mojaa mpk leo,alafuu uniongopee kuhusu wanawakeee na nioee ili nipitiee manyanaso ya mzee aliyopitiaa kwa mama yetuu,,,aiseeeeee hapana ndoa n utumwaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajitoa ufahamu usiniletee mazoea ya kipuuzi. Uliponiita mjinga ulidhani ntakupakata?Wewe ni mjinga jitahidi kujielimisha.
Samahani kama maneno yangu yatakuwa yame kukera.
tena koma kunizoeaNi wapi nilipo kutukana ?
Kwenye hiyo sentensi yangu kuna tusi lolote hapo ? Mkuu tulia usiwe na jaziba twende taratibu.Unajitoa ufahamu usiniletee mazoea ya kipuuzi. Uliponiita mjinga ulidhani ntakupakata?
tena koma kunizoea
Ukishakuwa affected kisaikolojia unapoteza ile nafsi yako unakuwa mfu ungali hai. Psychological torture usiombe ikukute.Pole kwa kuondokewa na baba.
Ila jamani unaanzaje kujinyonga kwaajili ya mke au mume? Kwani umezaliwa nae? Kwanini umng"ang'anie?
Unashindwa nini kuachana nae ubaki single ama upate mwingine?
Wanaojinyonga ni wabinafsi hawafikirii hata watoto wanaowaacha. Kiufupi hawawapendi watoto wao au wana magonjwa ya akili, am sorry to say this.
Ndoa nzuri zipo. Kama unaona yako haipo sawa achana nayo ubaki single au upate mpenzi mwingine.
Kwahiyo nikikuita mjinga utachekelea oya skia. Acha shobo pita kushotoKwenye hiyo sentensi yangu kuna tusi lolote hapo ? Mkuu tulia usiwe na jaziba twende taratibu.
Ni hatari sanaaUkishakuwa affected kisaikolojia unapoteza ile nafsi yako unakuwa mfu ungali hai. Psychological torture usiombe ikukute.
Kwa hiyo tatizo ni kushindwa kufahamu nini maana ya neno mjinga au ujinga ? Ndio maana una tafsiri kuwa ni tusi ?Unajitoa ufahamu usiniletee mazoea ya kipuuzi. Uliponiita mjinga ulidhani ntakupakata?
tena koma kunizoea
Unge uliza kwanza nini maana ya mjinga/ujinga kabla ya kutukana.Kwahiyo nikikuita mjinga utachekelea oya skia. Acha shobo pita kushoto
Hahahaha hio akili ndio inawacost, mke anataka akipata kazi ndio aolewe ili ukiwa unamtuma naye anamtuma mfanyakazi wa ndani. Mletee baba maji ya kunywa. Akibakia mwenyewe ndo yanaanza mashindano.Ndoa ndoano, chambo wewe! π
But, hakuna mtu anachukia ndoa wala hapendi ndoa. Ndoa ni tamu sana(Nasema kwa nadharia).
Tatizo ni kwamba vijana, mabinti wanatafuta hela kwanza ndio waingie kwenye ndoa ili wasinyanyasane!
Cha ajabu sasa hela nazo hazipatikani π
Nakumbuka kuna binti mmoja aliwahi kunitamkia 'Acha nitafute kwanza hela ndio niolewe. Ukiwa hauna hela mwanaume atakunyanyasa."
Halafu watoto wako ubaki nao kiunoni, acheni upuuzi vijana. Tafta mwanamke anayekutii na mwenye hekima oa mjenge familia. Achaneni na mapaka shume wenye kucha bandia na matako ya dukani. Vingereza vingii **** mbovuu ndo mwisho mnatibuana tu baada ya kuwaoa.Mke ni chanzo cha Umaskini pia ni kikwazo cha maendeleo, ndoa zimekuwa miradi wacha kupotosha watu
Tafuta pesa ishi vizuri mtoe mama yako uswahilini mpeleke ushuani fanya wazazi wako wajivunie uwepo wako.
Watoto wa kutosha bila kusahau premarital agreement, Mwanaume halisi anafanya hivyo, sasa wewe uliyesoma uzi wa jamaa jiroge nenda kaoe utakaa ukijuta maisha yako yote.
Mkuu narudia tena matusi haya saidii zaidi yana kuaibisha tu, unaweza kuchangia pasipo lugha ya matusi na ukaeleweka tu.KMMK
We ni punga kwasababu umepanic peke yako kuliko wachangia mada wote. Kwahiyo unadhani kuna mtu humu anaweza kujua sababu za kila mtu kuoa au kutokuoa. Hiyo mada ya u punga imekugusa sana. Wanaume rijali wamenyamaza mapunga mmepanic
Mama yako ni mhaya biLa shaka πMkuu I have been experiencing , situation Kama yako in my family my mother chase away my father while my dady did a lot of stuff kutusomesha kujenga majumba ya Gharama nk lakin vitu vyote my momy amejimilikisha peke yake , that way I hate marrige , and marrige is scam
Mkuu tatizo wwngine wamekosa ile roho ya kiume kutokana na madhila flan flan ndo maana wamepoteza uwezo wa kujiaminHalafu watoto wako ubaki nao kiunoni, acheni upuuzi vijana. Tafta mwanamke anayekutii na mwenye hekima oa mjenge familia. Achaneni na mapaka shume wenye kucha bandia na matako ya dukani. Vingereza vingii **** mbovuu ndo mwisho mnatibuana tu baada ya kuwaoa.
We bora uniache tu kwasababu umenianza. Ungepita kimya wala yasingekuvaa ukiendelea ntahamia inbox kwako.Mkuu narudia tena matusi haya saidii zaidi yana kuaibisha tu, unaweza kuchangia pasipo lugha ya matusi na ukaeleweka tu.
Bado tatizo la ujinga lina kutesa, haufahamu kwa nini matusi/lugha chafu hazifai katika jamii jielimishe mkuu.