๐๐๐Tunaomba serikali iingilie kati viwanda vya mafuta vifungwe Kwa muda wa miez sita ๐nimeoa Mamujee Product kitambo sana, ndoa yetu tamu ina mwaka wa tatu sasa, Feb 13th ni anivesari yetu
yuko submissive 100%
Mzee umelenga, safi sana bab! Hao kina Fatimati hata ukienda kozi miaka mitatu hukuti mtu kamla๐คฃ๐คฃ๐คฃ!Phuck Yeah, wana branch Gofu Industrial Area , Tanga moja
N story ndefu ,ilaa baba alikuwaa jemedari kweli kwelii maana hata baada ya kufariki alituachia Mali za kutoshaa ,mashamba na madukaa kadhaa ,Mali alizoziacha zimetubebaa sana kwa kusimamiwaa na kaka mkubwa na mkewee ...mkee wa kaka tulimgeuza kuwa mama mm na ndugu zangu ,,,,ila now day MUNGU mwema maisha yanasongaa ,n story ndefuu sanaaaDuuh! baba alikuwa mlemavu au alikuwa Mpole sana? inakuwaje mwanaume anyanyaswe na mkewe kiasi hicho? alizidiwa kipato na mama? hebu dadavua ndugu. Mke wangu hana ubavu hata wa kunisonya!!
Endelea kumuombaa MUNGU mkuu yasikukutee ...Pole kwa kuondokewa na baba.
Ila jamani unaanzaje kujinyonga kwaajili ya mke au mume? Kwani umezaliwa nae? Kwanini umng"ang'anie?
Unashindwa nini kuachana nae ubaki single ama upate mwingine?
Wanaojinyonga ni wabinafsi hawafikirii hata watoto wanaowaacha. Kiufupi hawawapendi watoto wao au wana magonjwa ya akili, am sorry to say this.
Ndoa nzuri zipo. Kama unaona yako haipo sawa achana nayo ubaki single au upate mpenzi mwingine.
hahahaha eti shenzini products, nimependa hiyoMzee umelenga, safi sana bab! Hao kina Fatimati hata ukienda kozi miaka mitatu hukuti mtu kamla๐คฃ๐คฃ๐คฃ!
Sio kama hawa shenzini products
wafunge, naamia kwa mchepuo 5W-30๐๐๐Tunaomba serikali iingilie kati viwanda vya mafuta vifungwe Kwa muda wa miez sita ๐
๐๐wafunge, naamia kwa mchepuo 5W-30
Wewe historia ya maisha yako iko vipi, wazaz wameoana??Na tatizo kubwa la wanaume wenye ndoa Ni kugongewa wake zao na akina sisi tusioa๐
Juzi Kati nchini Uganda Kuna jamaa alimfumania mkewe hospitilini akiliwa na dogo mwenye miaka 22.
Ndoa ni ubatili mkubwa Sana jamani.
Kwangu mm n woteee maanaa uhalisiaa wa mwanamkeee jinsi alivyo na ni nyoka kiasi gan nilishuhudia kwa mama alinibebaa miezi tisaa ,,je huyo ntakae kutanae labda ktk ndoaa c n shetan zaidi ,,atakuwa na huruma gan kwangu labdaa ashindwe kunifanyaa ktu mbayaaa...Duuu ina maana unahisi kuwa wanawake wote wapo kama mama yenu
Hayatanikuta. Hunitaki nakuacha mwingine atachukua nafasi . Hata kama nakupenda kiasi gani nitamove on baada ya wiki.
Namba moja ni sahihi.
La kuongeze ni kwamba hawana nguvu za kiume.
Wengi hawana nguvu hasa hawa keyboard warriorsNa hizi nguvu zinazotumika kuwakaza hao wanawake ambao hawajafunga nao ndo ni zipi..?
Au issue kubwa ni kutomber mwanamke uliemuoa?
Sitaki kuamini kwamba watu wanakataa ndoa kwakua hawana nguvu za kiume, wakati daily wanawake wanaliwa vizuri tu.
Nguvu za kiume sio NdoaWengi hawana nguvu hasa hawa keyboard warriors
safi kabisa mzee ananiispaya sanaMzee wangu yupo fit Sana ndoa Ni hatari
Nilichogundua ukiwa hauna pesa mawazo ya kuoa ndo yanakuja