Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Mwenzenu Amber Lulu Mme wake kidogo amuue Jana.

Cheki hicho kipigo
20230117_094002.jpg
20230117_094000.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Binafsi ni Shamba la parachichi Eka 35 + nyumba Dar + ka-IST kangu + Guta linalokodishwa + biashara ya mtaji wa 20 Mil + other things Mungu alivyonibariki

Kwahiyo nione kiumbe wa mtu ambaye hajui hata mia ya kupata hivi imetoka wapi then aje "TUGAWANE MALI, SI TUNAACHANA"

#YNWA
Wee labda uoe mwanamke kapuku na mwenye tamaa ya mali, kuna wanawake wana zaidi ya hivyo ulivyoandika kiongozi. Ndoa sio ya kila mtu nyie ambao hamtak kuoa fresh tu ila msiwajaze sumu wengine eti ndoa mbaya ndoa mbaya nyie pambaneni na ubachela wenu.
 
Unashangaa MTU kupigwa hahahaha

Hujasikia watu wanauana kabisa kwenye ndoa mkuu!

Ingieni kwenye ndoa na watu sahihi na kama mko tayari

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Nimeona yote hayo ila sioni sababu ya kufikia huko, mtu kama mmechokana si muachane mambo ya kuumizana hivi ndio nini sasa. Hawa ndio wapuuzi tunaosema wasiingie ndoani wanasababisha ndoa zionekana mbaya kumbe ni upuuzi wa baadhi ya watu.
 
Nimeona yote hayo ila sioni sababu ya kufikia huko, mtu kama mmechokana si muachane mambo ya kuumizana hivi ndio nini sasa. Hawa ndio wapuuzi tunaosema wasiingie ndoani wanasababisha ndoa zionekana mbaya kumbe ni upuuzi wa baadhi ya watu.
We unadhani nchi za magharibi hawakuwahi kupitia haya tunayopitia ya misukosuko ya ndoa Hadi watu kuwa wanauana!??

Hadi wamekuja kufikia kuwa na ndoa za mikataba kuna mazingira kama haya tunayopitia wao walipitia Sana.


Kama ilivyo Ulaya ndoa Kwasasa sio issue kubwa na ndoa za mikataba ni kawaida. Ndiko na sisi tunakoelekea. Amini nakwambia Sababu kubwa ya kulega lega Kwa ndoa ni issue za haki Sawa kwenye ndoa.

Feminism propaganda ndio mchawi WA Taasisi za ndoa zote duniani. jaribu kufatilia ndoa zote ambazo zimedumu ni zile mwanamke amekuwa Submissive. Feminism haihitaji Hilo inataka mke na Mme wawe Sawa kwenye ndoa, Hilo halitakuja kutokea na kama likitokea hiyo ndoa watu watauana kama sio kuachana.


Sasa hizi Ulaya kuna movement ya Vijana Wasioe Kwasababu mwisho WA siku Ikitokea divorce mtoto WA kike ndio ananufaika. Hiyo movement inazidi kupenya Kwa Kasi sana.

Mfuatilie mmoja WA wanaharakati WA Hiyo movement ANDREW TATE utaona mengi anayozungumzia.

Ila ndoa ya kudumu ni Ile ya mwanaume kuwa kichwa cha familia. Hata wazazi wetu walidumu kwenye ndoa baada ya wazaz wetu kujipa nafasi ya pili kweye ndoa na sio sasa hivi mwanamke anajipa nafasi ya Kwanza kama Mme

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Wote hawa ni wanandoa.

Case za boyfriend na girlfriend kuuana ni chache kuliko wanandoa kuuana tena kinyama. MTU anaua Hadi watoto na Mke.
Screenshot_20230117-101430.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
We unadhani nchi za magharibi hawakuwahi kupitia haya tunayopitia ya misukosuko ya ndoa Hadi watu kuwa wanauana!??

Hadi wamekuja kufikia kuwa na ndoa za mikataba kuna mazingira kama haya tunayopitia wao walipitia Sana.


Kama ilivyo Ulaya ndoa Kwasasa sio issue kubwa na ndoa za mikataba ni kawaida. Ndiko na sisi tunakoelekea. Amini nakwambia Sababu kubwa ya kulega lega Kwa ndoa ni issue za haki Sawa kwenye ndoa.

Feminism propaganda ndio mchawi WA Taasisi za ndoa zote duniani. jaribu kufatilia ndoa zote ambazo zimedumu ni zile mwanamke amekuwa Submissive. Feminism haihitaji Hilo inataka mke na Mme wawe Sawa kwenye ndoa, Hilo halitakuja kutokea na kama likitokea hiyo ndoa watu watauana kama sio kuachana.


Sasa hizi Ulaya kuna movement ya Vijana Wasioe Kwasababu mwisho WA siku Ikitokea divorce mtoto WA kike ndio ananufaika. Hiyo movement inazidi kupenya Kwa Kasi sana.

Mfuatilie mmoja WA wanaharakati WA Hiyo movement ANDREW TATE utaona mengi anayozungumzia.

Ila ndoa ya kudumu ni Ile ya mwanaume kuwa kichwa cha familia. Hata wazazi wetu walidumu kwenye ndoa baada ya wazaz wetu kujipa nafasi ya pili kweye ndoa na sio sasa hivi mwanamke anajipa nafasi ya Kwanza kama Mme

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Sawa kiongozi.
 
You made so much sense bro.

Kaka umeweka mantiki ya hali ya juu, nakupongeza na hata siongezi.

Mtaani wanasema tafuta hela, ndio raha ya duniani na waswahiliswahili wanasema hakuna upendo na ujinga mwingine.

Lakini tafiti zinasema : Mahusiano ya karibu ya dhati ndiyo hutupatia furaha na afya. Kwa hiyo kama utataka kuwekeza katika wewe bora zaidi baadaye. Wekeza katika uhusiano wenye maana. Inaanza na wewe.
 
Hiv unampigaje mtu hivi? Aisee
Wanawake wa sikuhizi wapo legelege sana unapigwa kidg tuu unaanza kupiga mapicha na kupost ili kuleta tension mtaani upate kiki na uuze gazeti

Zamani vipigo vilikuwepo lkn huwezi kuta tension mitaani.
 
Hao wasio na nguvu ndo wanashabikia kataa ndoa ili waonekane hawataki kuoa kwasababu ya matatizo ya kwenye ndoa kumbe kuna wanachokificha.

A classic shaming tactic Method of manipulation mnazotumia wanawake.

kwanini wanawake wengi humu mnakasirika mwanaume akipinga ndoa? Sijawahi ona mwanamke wa humu akisema "kataa ndoa" Demi DeepPond Extrovert Kalpana To yeye Depal
 
A classic shaming tactic Method of manipulation mnazotumia wanawake.

kwanini wanawake wengi humu mnakasirika mwanaume akipinga ndoa? Sijawahi ona mwanamke wa humu akisema "kataa ndoa" Demi DeepPond Extrovert Kalpana To yeye Depal
Wala hatukasiriki maana ndoa bado zinafungwa kila kukicha.
Sina tatizo mtu asipooa ama kuolewa ni choice yake.
 
Sasa hivi watu hawafungi ndoa Bali wanafanya HARUSI na ndio maana after 5 years 60% ya hizo so called ndoa zinakufa.
 
Ndoa nyingine ni za majini unashangaa ulikuwa una afya furaha na amani kabla hujaoa lakini ulivyooa tu cha moto unakiona.
 
Back
Top Bottom