Wanaume wengi hufa kabla ya wakati wao kwa sababu ya laana kutoka kwa wazazi

Wanaume wengi hufa kabla ya wakati wao kwa sababu ya laana kutoka kwa wazazi

Na hili la kufa mapema Kwa wanaumme. Linaweza likawa kweli.

Ila sababu kubwa ni mfumo wa maisha unaopelekea tabia hatarishi za utafutaji Hela
hasa Kwa nchi zetu maskin. Tabia hatarishi kama vile.
Utumiaji wa madawa ya kulevya.
Pombe.
Umalaya
Uhalifu
Utafutaji wa pesa. Ajali nyingi huuwa Wanaumme. Kama vile uvuvi.uwindaji. migodi. Kilimo na zingine zingi zinachangia vifo Kwa wingi..
Umenena vyema,

Leo tujadili hili la watoto kutowajali wazazi ambao nguvu zao zote zimeishia kuwafikisha watoto hapo walipo!!

Vp unawakumbuka wazee Kwa kipato unachopata?
 
Kutwa kutusimanga ...ingali wamezaliwa na mwanamke huyohuyo
Mama nawe umeingia ktk mjadala wa wanaume!!

Anyway hatuwasimangi,

Tunawakumbusha kaka na WADOGO zetu wa kiume wawakumbuke wazazi wao wote wa kike na kiume kuepuka LAANA.

Wamama big up, wanawake hukumbuka sana wazazi wao nyumbani .

Wa kiume ndo mtihani, kutwa kucha kulipa bill za MAKAHABA!!
 
Mama nawe umeingia ktk mjadala wa wanaume!!

Anyway hatuwasimangi,

Tunawakumbusha kaka na WADOGO zetu wa kiume wawakumbuke wazazi wao wote wa kike na kiume kuepuka LAANA.

Wamama big up, wazazi wenye watoto wa kike hukumbuka sana nyumbani.

Wa kiume ndo mtihani, kutwa kucha kulipa bill za MAKAHABA!!
😂😂😂✋
 
INTRODUCTON.

Salaam, Shalom!!

Leo naandika mada hii nikiwa na Sina furaha sababu Mimi Rabbon pia ni Mwanaume.

Wanaume tulipoambiwa tuishi Kwa akili na wake zetu, au na wanawake ,Kuna Siri imejificha nyuma, ipi hiyo?

Under Ceteris peribus, while other factors remain constant,

Ni Kweli, wanaume wengi huoa wake wanaowazidi umri hivyo wengi wanapotangulia kufariki ndugu na jamaa hutoa sababu hii, lakini Si Kweli, IPO sababu zaidi ya hiyo.

Wanawake ujiwauliza watakwambia wti Kwa Sababu wao hawatunzi jambo moyoni na hulia machozi sana ndo sababu ya kuishi maisha marefu.

Wanasayansi wengine hudai kuwa sababu wanawake wao Wana matiti ambayo hutunza maziwa ambayo ni chakula kinachowapa kusurvive muda mrefu, hapo ni Kweli Kwa kiasi fulani, bt si sababu kuu.

Wanaume wenzangu tujiulize inakuwaje mwanamke anazaa Kwa uchungu hadi watoto 14, na wote tunajua shughuli pevu ya kuzaa mtoto ilivyo, lakini mwanamke huyo huyo utaondoka na kumwacha duniani, nini sababu? Tatizo ni LAANA hii nitakayoiongelea leo.

Dunia nzima imeweka mfumo thabiti kwamba Mali anazomiliki mwanamke ni zake pekeake, lakini Mali anazomiliki mwanamume ni za wote, Kuna kitu hapo kimejificha ambacho wanaume Bado hawajakijua kinachopelekea kuchomoka duniani mapema.

Namwongelea Mwanaume anayehangaisha KICHWA usiku na mchana kutafuta riziki ya familia na hapumziki, nini kinachomwondoa mapema?

Namwongelea Mwanaume anayevuja JASHO, anamhudumia mkewe na hawara na machangudoa na anamudu wote kuwapa mahitaji yao, kwanini anawahi kuchomoka duniani mapema?

Namwongelea Mwanaume aliyeokoka mwenye baba na mama wa kiroho, anawatunza wazazi wake wa kiroho, lakini Bado anawahi kuchomoka duniani kabla ya siku zake, nini chanzo?

Naongea na Mwanaume unayeacha Kodi ya meza Kila siku, unajibana Ili familia yako isonge, kwanini bado huna maisha marefu, ipi sababu, ni hii:

LAANA YA WAZAZI NI CHANZO KIKUU CHA WANAUME WENGI KUFA MAPEMA KABLA YA WAKATI WAO.

Wanaume wengi tumelisahau hili.

Kwani hamkusoma maandiko katika Amri ya Mungu isemayo,

"Waheshimu baba Yako na mama Yako, Ili siku zako zipate kuwa nyingi katika Nchi upewayo na BWANA Mungu wako"

Pia hamkusoma kuwa,

" Baba na mama (Wazazi) ni miungu wa Dunia hii?

Watu wengi hasa vijana na wanaume huangaika sana na hukumbwa na mabalaa na kufungwa vipato vyao duniani bila kujua Chanzo ni LAANA ya wazazi!!

Wakati ukiacha Kodi ya meza Kwa mke wako, atahakikisha anatenga kiasi kidogo kidogo Kila siku, Kisha hukituma Kwa mama yake mzazi.

Mzazi wa mke wako ambaye mara nyingi ni mwanamke sababu mzazi wa kiume mara nyingi anakuwa ameshaiaga Dunia, mzazi yule wa kike, huipokea sadaka Ile na kumwombea baraka aliyeitoa ambaye ni mwanae wa kike, baraka hizo hazitakufikia wewe Mwanaume sababu nawe unao wazazi wako kijijini hawana hata mia mbovu😭

Wazazi wako ewe Mwanaume wanaweza kata hata mwaka hujawatumia chochote kuwatunza, wanaishi nyumba chakavu wanalala chini, hata godoro hamna, wewe umehangaikia familia Yako wanakula na kulala vizuri, unamsahau baba na mama Yako!!

Ikitokea umeenda kijijini, utamwita pembeni mama na kumshikisha bulungutu la pesa, Kisha baba unampa pesa kiduchu ilhali ndo anajukumu kutunza familia.

Wazazi wako wanaposikia umenunua gari Kwa ajili ya mkeo kutembelea na wakisikia umejenga ukweni kwa mkeo, kinachotokea huwa wanahuzunika😭

Mama anashika tumbo na kumlilia Mungu, baba hushika kiuno na kulia, Kila Mmoja sirini Kwa wakati wake.

Ugumu wa maisha wanaume wengi tunaoupitia mijini, chanzo kikuu ni LAANA ya wazazi.

Mwaka mzima unaisha hujapeleka Kwa wazazi hata mia mbovu, lakini unapata pesa ya kuhonga MAKAHABA. LAANA inakunyemelea......

Unapomuhonga kahaba, yeye huchukua pesa hiyo na kutumia pesa kiasi Kwa wazazi wake, Kwa maana ingine, pesa yako inatumika kuwa baraka kwa mwanamke while wewe hupati kiasi cha kuchota baraka za wazazi walokuzaa.

Na wanawake ni Wachache sana ambao huwakumbusha waume zao kuwatumia chochote wazazi wa waume zao.

Mwanaume mwenzangu, hasa vijana ambao hamjaoa bado, msisubiri kupata KICHAA kitokanacho na LAANA ya wazazi wanapohuzunika Kwa ajili yetu. Msisubiri kupelekwa kijijini mkiwa katika majeneza.


SOLUTION.
1. Hakikisha unatunza Kwa Siri chochote kitu, unatumia Kwa wazazi wako kimya kimya, sababu najua wake zenu wengi Wana gubu na wasingependa mbarikiwe.

2. Pata muda wa kuongea nao hata Kwa simu na uwashirikishe changamoto unazopitia, ukijua kuwa hao ni miungu wa Dunia hii.

Wazazi wanapokuhuzunikia Kwa kutowajali wazazi, humpa KIBALI shetani kukushambulia Kwa mapigo na LAANA mbalimbali!!

3. Tafuta muda ukatubu, wajengee wazazi wako nyumba nzuri, watumie zawadi, nenda kusali lakini jua miungu mwenye FUNGUO za maisha Yako duniani ni wazazi,

4. Ishi na mke wako Kwa Akili sana, hakikisha unamzidi akili na Maarifa.

Ningeongea zaidi bt inatosha Kwa sasa!!!

Karibuni Kwa shuhuda na MAONI 🙏.
Amina🤣🤣🤣🤣💺
 
Katika siku umeandika pemba,basi ni katika hili andiko-mbona Wanaume wanaoishi katika Nchi za vipato vya juu umri wao wa kufa ni sawa na Wanawake.
Kinacho waua wanaume wengi katika Nchi za viator vya chini ni msongo wa mawazo pamoja na ulaji mbovu plus huduma mbovu za afya.

Urefu wa maisha ya mtu kuishi duniani hauthibitiki kiimani,bali ni sayansi.siku Ingine usilete mambo yako ya imani za kufirika na kuandikia kama fact.
Samahani ikiwa nimekuudhi,

Hizo sababu zingine hazijadiliwi hapa, HOJA ni je usipojali wazazi wako waweza pata LAANA ambayo yaweza pelekea kifo chako kabla ya wakati?

Jikite hapo unijibu ndugu!!

Pia nakukumbusha tu, ujenge Utaratibu wa kuwatunza walokuzaa ndo Miungu wa Dunia hii, baba na mama ikiwa Bado wangali wanaishi.
 
Katika siku umeandika pemba,basi ni katika hili andiko-mbona Wanaume wanaoishi katika Nchi za vipato vya juu umri wao wa kufa ni sawa na Wanawake.
Kinacho waua wanaume wengi katika Nchi za viator vya chini ni msongo wa mawazo pamoja na ulaji mbovu plus huduma mbovu za afya.

Urefu wa maisha ya mtu kuishi duniani hauthibitiki kiimani,bali ni sayansi.siku Ingine usilete mambo yako ya imani za kufirika na kuandikia kama fact.
Halafu pia umeongelea wazazi wa Nchi hizo wanaishi muda mrefu na wanaondoka duniani Kwa umri wa uzee karibia sawa.

Umekiri huko wanatunzwa na sirikali zao, na wanahudumiwa vizuri!!

Huku sirikali Haina habari nao, sasa wahudumiwe na nani kama Si watoto wao?

Hivyo Hadi hapo, kuwatunza wazazi wetu ni jambo jema Ili tusipate LAANA ya wazazi.
 
INTRODUCTON.

Salaam, Shalom!!

Leo naandika mada hii nikiwa na Sina furaha sababu Mimi Rabbon pia ni Mwanaume.

Wanaume tulipoambiwa tuishi Kwa akili na wake zetu, au na wanawake ,Kuna Siri imejificha nyuma, ipi hiyo?

Under Ceteris peribus, while other factors remain constant,

Ni Kweli, wanaume wengi huoa wake wanaowazidi umri hivyo wengi wanapotangulia kufariki ndugu na jamaa hutoa sababu hii, lakini Si Kweli, IPO sababu zaidi ya hiyo.

Wanawake ujiwauliza watakwambia wti Kwa Sababu wao hawatunzi jambo moyoni na hulia machozi sana ndo sababu ya kuishi maisha marefu.

Wanasayansi wengine hudai kuwa sababu wanawake wao Wana matiti ambayo hutunza maziwa ambayo ni chakula kinachowapa kusurvive muda mrefu, hapo ni Kweli Kwa kiasi fulani, bt si sababu kuu.

Wanaume wenzangu tujiulize inakuwaje mwanamke anazaa Kwa uchungu hadi watoto 14, na wote tunajua shughuli pevu ya kuzaa mtoto ilivyo, lakini mwanamke huyo huyo utaondoka na kumwacha duniani, nini sababu? Tatizo ni LAANA hii nitakayoiongelea leo.

Dunia nzima imeweka mfumo thabiti kwamba Mali anazomiliki mwanamke ni zake pekeake, lakini Mali anazomiliki mwanamume ni za wote, Kuna kitu hapo kimejificha ambacho wanaume Bado hawajakijua kinachopelekea kuchomoka duniani mapema.

Namwongelea Mwanaume anayehangaisha KICHWA usiku na mchana kutafuta riziki ya familia na hapumziki, nini kinachomwondoa mapema?

Namwongelea Mwanaume anayevuja JASHO, anamhudumia mkewe na hawara na machangudoa na anamudu wote kuwapa mahitaji yao, kwanini anawahi kuchomoka duniani mapema?

Namwongelea Mwanaume aliyeokoka mwenye baba na mama wa kiroho, anawatunza wazazi wake wa kiroho, lakini Bado anawahi kuchomoka duniani kabla ya siku zake, nini chanzo?

Naongea na Mwanaume unayeacha Kodi ya meza Kila siku, unajibana Ili familia yako isonge, kwanini bado huna maisha marefu, ipi sababu, ni hii:

LAANA YA WAZAZI NI CHANZO KIKUU CHA WANAUME WENGI KUFA MAPEMA KABLA YA WAKATI WAO.

Wanaume wengi tumelisahau hili.

Kwani hamkusoma maandiko katika Amri ya Mungu isemayo,

"Waheshimu baba Yako na mama Yako, Ili siku zako zipate kuwa nyingi katika Nchi upewayo na BWANA Mungu wako"

Pia hamkusoma kuwa,

" Baba na mama (Wazazi) ni miungu wa Dunia hii?

Watu wengi hasa vijana na wanaume huangaika sana na hukumbwa na mabalaa na kufungwa vipato vyao duniani bila kujua Chanzo ni LAANA ya wazazi!!

Wakati ukiacha Kodi ya meza Kwa mke wako, atahakikisha anatenga kiasi kidogo kidogo Kila siku, Kisha hukituma Kwa mama yake mzazi.

Mzazi wa mke wako ambaye mara nyingi ni mwanamke sababu mzazi wa kiume mara nyingi anakuwa ameshaiaga Dunia, mzazi yule wa kike, huipokea sadaka Ile na kumwombea baraka aliyeitoa ambaye ni mwanae wa kike, baraka hizo hazitakufikia wewe Mwanaume sababu nawe unao wazazi wako kijijini hawana hata mia mbovu[emoji24]

Wazazi wako ewe Mwanaume wanaweza kata hata mwaka hujawatumia chochote kuwatunza, wanaishi nyumba chakavu wanalala chini, hata godoro hamna, wewe umehangaikia familia Yako wanakula na kulala vizuri, unamsahau baba na mama Yako!!

Ikitokea umeenda kijijini, utamwita pembeni mama na kumshikisha bulungutu la pesa, Kisha baba unampa pesa kiduchu ilhali ndo anajukumu kutunza familia.

Wazazi wako wanaposikia umenunua gari Kwa ajili ya mkeo kutembelea na wakisikia umejenga ukweni kwa mkeo, kinachotokea huwa wanahuzunika[emoji24]

Mama anashika tumbo na kumlilia Mungu, baba hushika kiuno na kulia, Kila Mmoja sirini Kwa wakati wake.

Ugumu wa maisha wanaume wengi tunaoupitia mijini, chanzo kikuu ni LAANA ya wazazi.

Mwaka mzima unaisha hujapeleka Kwa wazazi hata mia mbovu, lakini unapata pesa ya kuhonga MAKAHABA. LAANA inakunyemelea......

Unapomuhonga kahaba, yeye huchukua pesa hiyo na kutumia pesa kiasi Kwa wazazi wake, Kwa maana ingine, pesa yako inatumika kuwa baraka kwa mwanamke while wewe hupati kiasi cha kuchota baraka za wazazi walokuzaa.

Na wanawake ni Wachache sana ambao huwakumbusha waume zao kuwatumia chochote wazazi wa waume zao.

Mwanaume mwenzangu, hasa vijana ambao hamjaoa bado, msisubiri kupata KICHAA kitokanacho na LAANA ya wazazi wanapohuzunika Kwa ajili yetu. Msisubiri kupelekwa kijijini mkiwa katika majeneza.
Na hii ndo OCTOBER 2023, Wenzetu wa mikoa ya kaskazini wanajipanga kwenda Kwa wazazi wao kushukuru kana kwamba huko ndo pekee palipo na wazazi, msijesema sikuwaambia!!!


SOLUTION.
1. Hakikisha unatunza Kwa Siri chochote kitu, unatumia Kwa wazazi wako kimya kimya, sababu najua wake zenu wengi Wana gubu na wasingependa mbarikiwe.

2. Pata muda wa kuongea nao hata Kwa simu na uwashirikishe changamoto unazopitia, ukijua kuwa hao ni miungu wa Dunia hii.

Wazazi wanapokuhuzunikia Kwa kutowajali wazazi, humpa KIBALI shetani kukushambulia Kwa mapigo na LAANA mbalimbali!!

3. Tafuta muda ukatubu, wajengee wazazi wako nyumba nzuri, watumie zawadi, nenda kusali lakini jua miungu mwenye FUNGUO za maisha Yako duniani ni wazazi,

4. Ishi na mke wako Kwa Akili sana, hakikisha unamzidi akili na Maarifa.

5. Jipange kidogo kidogo uweze kurudi kuwaona hata mara Moja Kwa kwaka angalau.

Ningeongea zaidi bt inatosha Kwa sasa!!!

Karibuni Kwa shuhuda na MAONI [emoji120].
Basi sawa
 
HOJA tayari IPO mezani,nimesoma na kuandika maandiko uloquote,

Mchango wako tafadhali🙏

Pia mm Si kijana kama unavyodhani!!
Vijana ndiyo huwa wabishi wakidhani wao wanajua kila kitu!.
============
Mungu alipompa adam usingizi ili amtoe bibi Hawa alikuwa na makusudi ya hawa watu waishi pamoja hadi uzee huku wakitegemeana na siyo kutegemeza.

Linapokuja suala la kutafuta, aliyepewa jukumu ni mzee Adam, baadavya dhambi Hawa aliona kama katengwa and had been perfectly happy by her husband’s side in her Eden home; but like restless modern Eves, she was flattered with the hope of entering a higher sphere than that which God had assigned her.

Kwa sababu alianza kiwaka tamaa akitaka nafasi ambayo Mungu hakumpangia, In attempting to rise above her original position, she fell far below it.

Kinachofanyika hapo ni matokeo sawa yatafikiwa kwa wote ambao hawataki kufanya majukumu yao ya kila siku maishani accordance with God’s plan, in their efforts to reach positions for which He has not fitted them, many are leaving vacant the place pale where they might be a blessing.

Kutokana na tabia hiyo niliyosema hapo roho ya tamaa, uchoyo ambayo ilipandikizwa na shetani ndiyo hiyo leo wewe Rabbon unasema laana, siyo laana bali ni tabia iliyoibuka baada ya dhambi, fahamu kuwa in their desire for a higher sphere, many have sacrificed true womanly dignity and nobility of character, and have left undone the very work ambayo Mungu aliwataka wafanye.

Kisa cha haya yote ni dhambi hamna laana wala kuwasahau wazazi.
 
Laana Haipo.

Mzazi aliyeshindwa kufanikiwa wakati wa ujana wake asilete matatizo na shida zake kwa mtoto..

Mzazi anaye zaa watoto kwa mategemeo ya kwamba watakuja kumsaidia kwa kila kitu uzeeni ni mzembe na mjinga...

Ulicho andika hapa ni mawazo ya wazazi maskini choka mbaya walio shindwa kufanikiwa, Sasa uzembe wao wanataka watoto waje kuwasaidia.
 
Unachekesha,

Ndio ninyi mko dar mkiulizwa kuhusu walipo wazazi wenu mnadai walishafariki,

Kumbe wapo hai na wanapitia moto hatari.

Malipo ni hapa hapa, Wana wenu watawalipeni.
Huyo mzazi Alishindwaje kufanikiwa enzi za ujana wake?

Uzembe wake ajibebeshe mwenyewe.

Kutoa msaada kwa mzazi si lazima.
 
Laana Haipo.

Mzazi aliyeshindwa kufanikiwa wakati wa ujana wake asilete matatizo na shida zake kwa mtoto..

Mzazi anaye zaa watoto kwa mategemeo ya kwamba watakuja kumsaidia kwa kila kitu uzeeni ni mzembe na mjinga...

Ulicho andika hapa ni mawazo ya wazazi maskini choka mbaya walio shindwa kufanikiwa, Sasa uzembe wao wanataka watoto waje kuwasaidia.
Kwamba wazazi waliofanikiwa kiuchumi hawahitaji kutunzwa na watoto wao?

Kwako kumsaidia mzazi ni kumpa pesa pekee?
 
Uko sawa kabisa,

Maana pia haiingii akilini mtoto awe tajiri mzazi akose hata sabuni ya kufulia, ilhali upande wa wazazi wa mke wako njema kupitia mkeo!!

Huo nao ni utajiri wa mashaka!!
Huyo mzazi ni Mzembe ndio maana Kawa maskini.

Sasa ulitaka na mtoto awe maskini kama mzazi?

Nakwambia hivi, Hakuna ulazima wa mtoto kumsaidia mzazi.

Hizi ni mentality za wazazi wavivu, wazembe na wajinga.

Hao ni wale wazazi ambao kipindi wenzao wanashika maeneo mjini wao walikua wana ruka Disko...[emoji1][emoji1]

Sasa hivi wanataka huruma za watoto...

Kila mtu ata uchukua mzigo wake mwenyewe.
 
Kwamba wazazi waliofanikiwa kiuchumi hawahitaji kutunzwa na watoto wao?

Kwako kumsaidia mzazi ni kumpa pesa pekee?
Ndio hawaitaji kutunzwa.

Kwani unazaa mtoto ili aje akutunze uzeeni?

Labda kuwasaidia tu pale inapo bidi ila si lazima.

Na wewe si una majukumu yako?
 
Back
Top Bottom