Canabian Rasta
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 775
- 1,745
Kama Mama mzazi Alisha tangulia mbele ya Haki inakuwaje?? Utamwamini Nani??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan nini usimuandike mwanao/wanao? Ushawah jiuliza hata siku mfano unapotea watoto wako wataishi vipi? Una uhakika ukiwa haupo hao unaowaita ndugu wataweza kuwajali wanao? Ukipata majibu utajua kama ulilofanya ni sahihi ama kinyume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanyeni mnaloona ni sawa kwa maisha yenu.Sasa watoto si ndo mama yao[emoji16] ukimpa mtoto ni sawa imempa maza ake, kwanza unahakika gani kua ni wako[emoji16]
chamsingi ni kukaa kiarabu arabu kama kina Mo tuu yan mali hua ni za familia ya mwanaume kwa mikabata maalum mwanamke anaingia anaenjoy akizingua kutoka unatoka kama ulivoingia na ukikaa unakaa kwa adabu[emoji16]
Watoto wenyewe usikute sio wanaoNi maisha ya kutokuaminiana....na ubinafsi
Wengi wameoa Ila hawawaamini walio waoa.
Kwann Mali ziandikwe jina la Mama?? Akifa hizo Mali zikigawanywa Kwa wanafamilia wengine utalalamika??
Bora hata muandike majina ya watoto wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni swali... Kama hamna kitu basi na wanaume wasitusibanane banane, considering mambo ni 50,50
Humu ndani wanaume wapi 50 tuIli swala la Hakimi lime-trend duniani kote ukiingia nairaland, JamiiForums.com, etc wanaume wanampongeza Hakimi, najiuliza ina maana wanaume wote hao wameshawahi pigwa na vitu vizito kwenye mahusiano yao na wanawake??
Ina maana kati ya wanaume wanaompongeza Hakimi, kuna walioliwa nauli,, kuna waliohudumia wanawake wakaishia kuachwa kwa dharau, kuna waliosomesha wachumba wakapigwa. Etc
Imefika mahali mwanaume akiwa na hela hamwamini mwanamke yoyote, kila saa anajishtukia kwamba huyu mdada amefuata pesa kwangu na sio upendo, hata sie wanaume makapuku tunaogopa kutongoza.. maana twajua kinachofuata ni makombora..
Hali ikiendelea hivi, Najiuliza mfano Mungu akiiacha dunia hivi hivi miaka 500 ijayo, taasisi ya ndoa itakuaje? Watu watafunga ndoa kweli??Wanaume tunaogopa wanawake, wanawake wanavizia wanaume.
Unaokutana nao wewe. Seems unawaokota malaya wewe[emoji23]Mapenzi ayapo kwa saiz tunaish kwa timing na ndio maana kama huna pesa mahusiano utayaskia kwenye bomba saiz ukimtongoza mwanamke kabla ajakupa mbususu ana hakikisha ameshakukamua vya kutosha
Why jamaa yako alikuwa fala?Mala 1000 mali ipotelee kwa ndugu wa damu.. kuliko mtu mnekutana nae ukubwani.. anatapanya mali na wahuni wengine.. Wanawake wamekuwa wauaji sana kama kwa waune kwenye eneo la mali nina jamaa yangu alipigwa na kitu kizito.. hadi alikufa kwa msongo wa mawazo na kwa mateso makali.. mambo haya haya ya mali.. mwanamke alibeba karibia kila kitu, na watoto jamaa akapigwa biti kisheria kuwaona.. ohooo mkuu hujakutana na visaaa vya kutosha.. Hakim ni Mungu tu alimtonya kwa hisia
Kuna masenge yatakuja kupinga fact hii[emoji16]Mwanamke hatakiwa kujua mvt zako , kama kujua ajue 3% tu.. [emoji28][emoji28][emoji28] mengine asijue
Mzee tunatofautiana kwenye mitazamo kuhusu walimu ila una akili mno.Mke amenikuta na ndugu zangu,wife second home family first
Daaah huenda naye alishauriwa huyu EboueAliyakanyaga, alitia huruma sana yani kazi yake imekua bure
Kuanzia leo kwa utu wako huu, naanza kukuheshimu mkuu. Samahani kwa popote tulipokwazana.Ili watoto uwatawale!!?
Miye kama Sina mama,Bora niandike orphanages au old people homes wazirithi baada ya kifo changu
Na vipi siku mke anapotea watoto wataishi vipi? Naye mke aandike majina ya watoto kwenye mali zake, siyo majina yake.Kwan nini usimuandike mwanao/wanao? Ushawah jiuliza hata siku mfano unapotea watoto wako wataishi vipi? Una uhakika ukiwa haupo hao unaowaita ndugu wataweza kuwajali wanao? Ukipata majibu utajua kama ulilofanya ni sahihi ama kinyume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ona kenge hiiWatoto walio zaliwa nikiwa ndani hao watoto ni wakwangu. Hahahah hata Kama mbegu sio zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππππKuanzia leo kwa utu wako huu, naanza kukuheshimu mkuu. Samahani kwa popote tulipokwazana.
Huyo sumbai ni lofa,sijui ni mmasai wa wapiOna kenge hii
Ulikuwa lisenge eehNishalia kuna mmoja nilimpa kadi ya bank sijui aliniloga nikikumbuka anjitukana mwenyewe [emoji23][emoji23]
Ukiona hivyo Kila anaelisaport Hilo jambo limemkuta kiaina yake mkuu si lazima limkute Moja kwa Moja wengine wanaona kwa rafiki zao , mwingine ktk familia na wengine limewakuta wao wenyewe watu Wana mengi inshort saivi Kila mtu haamini mtu ananiamini yeye tu ndo hawezi kujiibiaIli swala la Hakimi lime-trend duniani kote ukiingia nairaland, JamiiForums.com, etc wanaume wanampongeza Hakimi, najiuliza ina maana wanaume wote hao wameshawahi pigwa na vitu vizito kwenye mahusiano yao na wanawake??
Ina maana kati ya wanaume wanaompongeza Hakimi, kuna walioliwa nauli,, kuna waliohudumia wanawake wakaishia kuachwa kwa dharau, kuna waliosomesha wachumba wakapigwa. Etc
Imefika mahali mwanaume akiwa na hela hamwamini mwanamke yoyote, kila saa anajishtukia kwamba huyu mdada amefuata pesa kwangu na sio upendo, hata sie wanaume makapuku tunaogopa kutongoza.. maana twajua kinachofuata ni makombora..
Hali ikiendelea hivi, Najiuliza mfano Mungu akiiacha dunia hivi hivi miaka 500 ijayo, taasisi ya ndoa itakuaje? Watu watafunga ndoa kweli??Wanaume tunaogopa wanawake, wanawake wanavizia wanaume.
π―π€mwanaume akiwa na hela hamwamini mwanamke yoyote