Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Kama Mama mzazi Alisha tangulia mbele ya Haki inakuwaje?? Utamwamini Nani??

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama una ela nyingi Unajenga kituo cha watoto yatima unaweka watoto wote wenye huitaji maalum af mali zako zote unaandikisha kwenye icho kituo af na wewe jinalako ndo linatambulika kama msimamizi mkuu wa kituo hata usipokuwepo maana kituo ni mali ya jamii sio jambo la kibiashara kwaiyo mahakama haitoweza kukigusa na mshahara wako ukingia umo unahesabika kama charity ambayo ndo iyo iyo unatumia wewe binafsi na watoto kwaiyo utapata baraka pia mali zako zitakua salama.

Cc ni mawazo tuu.
 
Kwan nini usimuandike mwanao/wanao? Ushawah jiuliza hata siku mfano unapotea watoto wako wataishi vipi? Una uhakika ukiwa haupo hao unaowaita ndugu wataweza kuwajali wanao? Ukipata majibu utajua kama ulilofanya ni sahihi ama kinyume.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa watoto si ndo mama yao[emoji16] ukimpa mtoto ni sawa imempa maza ake, kwanza unahakika gani kua ni wako[emoji16]

chamsingi ni kukaa kiarabu arabu kama kina Mo tuu yan mali hua ni za familia ya mwanaume kwa mikabata maalum mwanamke anaingia anaenjoy akizingua kutoka unatoka kama ulivoingia na ukikaa unakaa kwa adabu[emoji16]
 
Sasa watoto si ndo mama yao[emoji16] ukimpa mtoto ni sawa imempa maza ake, kwanza unahakika gani kua ni wako[emoji16]

chamsingi ni kukaa kiarabu arabu kama kina Mo tuu yan mali hua ni za familia ya mwanaume kwa mikabata maalum mwanamke anaingia anaenjoy akizingua kutoka unatoka kama ulivoingia na ukikaa unakaa kwa adabu[emoji16]
Fanyeni mnaloona ni sawa kwa maisha yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni maisha ya kutokuaminiana....na ubinafsi

Wengi wameoa Ila hawawaamini walio waoa.

Kwann Mali ziandikwe jina la Mama?? Akifa hizo Mali zikigawanywa Kwa wanafamilia wengine utalalamika??

Bora hata muandike majina ya watoto wenu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto wenyewe usikute sio wanao
 

Attachments

  • Screenshot_20230325-164316_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20230325-164316_WhatsApp.jpg
    31.7 KB · Views: 1
Ili swala la Hakimi lime-trend duniani kote ukiingia nairaland, JamiiForums.com, etc wanaume wanampongeza Hakimi, najiuliza ina maana wanaume wote hao wameshawahi pigwa na vitu vizito kwenye mahusiano yao na wanawake??

Ina maana kati ya wanaume wanaompongeza Hakimi, kuna walioliwa nauli,, kuna waliohudumia wanawake wakaishia kuachwa kwa dharau, kuna waliosomesha wachumba wakapigwa. Etc

Imefika mahali mwanaume akiwa na hela hamwamini mwanamke yoyote, kila saa anajishtukia kwamba huyu mdada amefuata pesa kwangu na sio upendo, hata sie wanaume makapuku tunaogopa kutongoza.. maana twajua kinachofuata ni makombora..

Hali ikiendelea hivi, Najiuliza mfano Mungu akiiacha dunia hivi hivi miaka 500 ijayo, taasisi ya ndoa itakuaje? Watu watafunga ndoa kweli??Wanaume tunaogopa wanawake, wanawake wanavizia wanaume.
Humu ndani wanaume wapi 50 tu
😂😂😂😂.
 
Mapenzi ayapo kwa saiz tunaish kwa timing na ndio maana kama huna pesa mahusiano utayaskia kwenye bomba saiz ukimtongoza mwanamke kabla ajakupa mbususu ana hakikisha ameshakukamua vya kutosha
Unaokutana nao wewe. Seems unawaokota malaya wewe[emoji23]
 
Mala 1000 mali ipotelee kwa ndugu wa damu.. kuliko mtu mnekutana nae ukubwani.. anatapanya mali na wahuni wengine.. Wanawake wamekuwa wauaji sana kama kwa waune kwenye eneo la mali nina jamaa yangu alipigwa na kitu kizito.. hadi alikufa kwa msongo wa mawazo na kwa mateso makali.. mambo haya haya ya mali.. mwanamke alibeba karibia kila kitu, na watoto jamaa akapigwa biti kisheria kuwaona.. ohooo mkuu hujakutana na visaaa vya kutosha.. Hakim ni Mungu tu alimtonya kwa hisia
Why jamaa yako alikuwa fala?
 
Kwan nini usimuandike mwanao/wanao? Ushawah jiuliza hata siku mfano unapotea watoto wako wataishi vipi? Una uhakika ukiwa haupo hao unaowaita ndugu wataweza kuwajali wanao? Ukipata majibu utajua kama ulilofanya ni sahihi ama kinyume.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na vipi siku mke anapotea watoto wataishi vipi? Naye mke aandike majina ya watoto kwenye mali zake, siyo majina yake.
 
Ili swala la Hakimi lime-trend duniani kote ukiingia nairaland, JamiiForums.com, etc wanaume wanampongeza Hakimi, najiuliza ina maana wanaume wote hao wameshawahi pigwa na vitu vizito kwenye mahusiano yao na wanawake??

Ina maana kati ya wanaume wanaompongeza Hakimi, kuna walioliwa nauli,, kuna waliohudumia wanawake wakaishia kuachwa kwa dharau, kuna waliosomesha wachumba wakapigwa. Etc

Imefika mahali mwanaume akiwa na hela hamwamini mwanamke yoyote, kila saa anajishtukia kwamba huyu mdada amefuata pesa kwangu na sio upendo, hata sie wanaume makapuku tunaogopa kutongoza.. maana twajua kinachofuata ni makombora..

Hali ikiendelea hivi, Najiuliza mfano Mungu akiiacha dunia hivi hivi miaka 500 ijayo, taasisi ya ndoa itakuaje? Watu watafunga ndoa kweli??Wanaume tunaogopa wanawake, wanawake wanavizia wanaume.
Ukiona hivyo Kila anaelisaport Hilo jambo limemkuta kiaina yake mkuu si lazima limkute Moja kwa Moja wengine wanaona kwa rafiki zao , mwingine ktk familia na wengine limewakuta wao wenyewe watu Wana mengi inshort saivi Kila mtu haamini mtu ananiamini yeye tu ndo hawezi kujiibia

Ila kinachomshinda ni nature ni lazima tuishi nao hauwezi kuruka hiyo kamba ni ngumu hivyo basi kama ni lazima tuishi nao inabidi tuishi kwa akili ,si wote ni wezi wapo wife materials lakini utajuaje huyu ni mwema wale waliooa wanawake wema wamshukuru Mungu
 
Back
Top Bottom