My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
Hahahahaha..umeona eehAhahaha kwamba anakufanya babu jinga a.k.a mshika pembe!!
Mwanamke ndio Ana win,..starehe yetu wote Mimi ndio nilipie??sio fair gamewin win situation!
Uko tofauti sana lo! Be blessed
Hahaha sweetheart, kutoa ni moyo...Uko tofauti sana lo! Be blessed
Sure love.Hahaha sweetheart, kutoa ni moyo...
Zipo nchi wadada hawaombi pesa , akikupenda yupo tayari kukuhudumia , hasa hizi nchi zenye Sera kali za 50 kwa 50, mahusiano yamekuwa magumu sana kwa wenyeji ,wewe ukitoka tanzania unaonekana ni kuku wa kienyeji na una maadili , wadada wanakugombea hatari.
Cha mtu huliwa na mtu, chuma yake kutu...Sure love.
Tunaoa bhna sema tu unakuta hatuendani ,tunashindwana mapema kabla ya kufika kwenye kuoana.Uzuri wa nnje watu wanatembea na chuma hata ukimkula ukimwacha hana hasara ni akuue au akufungulie kesi ya kumuahidi uongoβ¦
Hatuombagi hela bure bure tunajua nyie wahuni mnatupotezea muda hamtuoii so tusikose yote
Kumbe hujui?? ππππ€£π€£ hii kali sana ndio nimesikia leo.
πKumbe hujui?? πππ
Mishangazi na yenyewe ina miboss inaichuna shauri yako
Mpaka mapenz n hivyoDunia ya kibepari hii
Mfano nimekutongoza leo, kesho unaniomba hela, ndani ya siku moja umejuaje kuwa mimi sitakuoa na nitakupotezea muda? kadogo2Uzuri wa nnje watu wanatembea na chuma hata ukimkula ukimwacha hana hasara ni akuue au akufungulie kesi ya kumuahidi uongoβ¦
Hatuombagi hela bure bure tunajua nyie wahuni mnatupotezea muda hamtuoii so tusikose yote
Niekekezeni na mimi wanangu nikajichukulia chombo yangu safi niachane na hawa kausha damuUsije kutoboa Siri kamanda hii ngoma ya wachache
Hiyo kitaalamu tunaiita both team to scoreUkiomba mbunye mapema lazima na wewe uombwe pesa mapema
acheni kutufanyia hivo wadada tutakufa na nyetoHivi zingekuwepo za bure mngekuwa mnalalamika humu kila siku mnaombwa pesa?? Hata house girl ukimuomba lazima akwambie umsaidie kazi zake itakuwa mdada anayejihudumia akubariki bure bure ππππ
Jikute baba huruma watakula Hela yako na utamu anapelekewa mvaa vinjunga wa SinzaMpaka mapenz n hivyo