Wanaume wengi siku hizi wakiombwa msaada wa kipesa na wadada, wanahisi wanatapeliwa

Hayo uliyoyasema sio mahusiano ni USAID na sasa tushagundua ni money laundry tunaenda na sera za Trump.
Money laundry! Ujuaji wà hovyohovyo.
Laundering na laundry ni tofauti kabisa.
 
Wanaume tumepigwa matukio mengi sana, acha tuwe waoga
 
Alishasema Lamomy every mbususu has a price
Hao wa buku 30 mnawatoa wapi?
Huku badoo na timder mbona wanaanza na laki mara laki unusu
Kabisa ndugu mjumbe na kila mnunuzi anapewa bei yake, inategemea umekuja vipi?
Long way (ndoa, umeuziwa jumla) or short way (bata tredi) 😹😹

Nipumzike sasa nitekeleze ilani ya chama 🤣
 
Msichana anayeomba omba hela ujue hana mpango na wewe.

Kama amesoma atapambana ili apate kazi yake.
Kama hajasoma atakuomba mtaji ili afungue biashara yake na kujitegemea.
Na kama huna hela ataenda kulia lia kwa baba yake ili apewe hela ya kufanya mambo yake na kumsaidia mjamaa wake.
Na kama kwao hakuna hela atatokomea pasipojulikana, maana atakuwa na maumivu ya kuachana na mtu wa maana kwake.
 
basi kwa maelezo yako haya huyo ni kausha damu piga chini haraka sana.

mwanamke aliye kuwa real hawezi kuleta bla bla kweny suala linalo husu ndoa.
 
basi kwa maelezo yako haya huyo ni kausha damu piga chini haraka sana.

mwanamke aliye kuwa real hawezi kuleta bla bla kweny suala linalo husu ndoa.
Kweli mzee na kipindi naanza nae mahusiano aliwahi kunipa namba nipige nikamuuliza kwanini akasema huyo mtu anamdai pesa ya pods akimpigia apokei but mimi nilivyompigia mwamba akapokea nikamwambia fulani kasema umtafute jamaa akasema poa but mwamba akuwahi kumpigia huyo dem saiv ndio napata picha labda mwamba nae alichoka na hizo kero
 
Kuwa na Girlfriend Dar es salaam ni sawa na kuwa Baba wa familia ya wake wawili na Watoto 6 Namtumbo
 
ww nenda kwa bibi yake au mama yake waeleze kuwa nimekuja kutoa barua ya kumchumbia bint yenu
akikubali niite mbwa huyo yupo hapo kwako kwasabb ya kutatua shida ndogondogo ambazo hazita muisha kamwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…