Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Of course utaona vitu vya ajabu, kwa sababu hujaishi maisha yangu.
Una udogo wa mawazo kiasi mambo ya kawaida unayafanya yaonekane ya ajabu.
Ukiwekewa ya ajabu utasema hii ni movie!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Of course utaona vitu vya ajabu, kwa sababu hujaishi maisha yangu.
Of course utaona vitu vya ajabu, kwa sababu hujaishi maisha yangu.
Una udogo wa mawazo kiasi mambo ya kawaida unayafanya yaonekane ya ajabu.
Ukiwekewa ya ajabu utasema hii ni movie!
FafanuaHello,
Nina washkaji zangu ambao kwa level za kibongo bongo kwenye swala la pesa unaweza sema wametoboa kiasi, wanaendesha magari mazuri, wana biashara kubwa kiasi, wana umri mdogo, siku moja tulikaa mahali, mwamba alitumiwa sms na mpenzi wake, mdada alituma sms ya kuomba kuzaa na mmoja wa washkaji zangu, huyo jamaa mbele yetu akacheka na kutuambia kwa sauti huku akituonesha sms, huyu mdada anachotaka ni matunzo.. kwa vile anahisi nina hela nyingi.
Kuna video moja Diamond alijirekodi juzi akiwa kwenye mavazi ya kimaskini, akawachana wadada wanaojifanya kumpenda, akawauliza wangemkuta kwenye hali ile wangempenda?? Diamond Akaongeza kuwa sura lake libaya lakini anaitwa handsome boy.
Harmonize amechorwa tattoo na mdada, lakini harmonize akasema sahivi hamwamini mdada yoyote.
Imefika mahali wanaume tumejidharau kiasi hicho? Kwamba unajiona wewe ni mbaya kiasi cha kwamba usipokuwa na hela hamna mdada hata mmoja atavutiwa na wewe Physically kama ulivyo? Ukiwa na hela Kila mdada akikuonesha Love interest unahisi ni mdangaji/ golddigger/ amekuja kwako kukuchuna hela/ akufilisi akupige kitu kizito hlf asepe, vipi kama unapoteza wife material bila kujua?
Mimi ni Mwanaume mniache na Ma-Slay QueensShida wanaume wengine wenye vihela wanapenda maslay queen ambao wengi wapo kimkakati. Wanawake wasio na mambo mengi hua wanawaona sio hadhi yao
Sijakuamini mkuu.Vishu Mtata I don't have a problem with criticism. I have a problem with stupidity.
Criticism is the fuel for intellectual advancement.
That wasn't criticism, that was sheer stupidity.
Kwani wapi nimetaka uniamini?Sijakuamini mkuu.
Wala usitie shaka.
Uhalisia usisahaulikeHello,
Nina washkaji zangu ambao kwa level za kibongo bongo kwenye swala la pesa unaweza sema wametoboa kiasi, wanaendesha magari mazuri, wana biashara kubwa kiasi, wana umri mdogo, siku moja tulikaa mahali, mwamba alitumiwa sms na mpenzi wake, mdada alituma sms ya kuomba kuzaa na mmoja wa washkaji zangu, huyo jamaa mbele yetu akacheka na kutuambia kwa sauti huku akituonesha sms, huyu mdada anachotaka ni matunzo.. kwa vile anahisi nina hela nyingi.
Kuna video moja Diamond alijirekodi juzi akiwa kwenye mavazi ya kimaskini, akawachana wadada wanaojifanya kumpenda, akawauliza wangemkuta kwenye hali ile wangempenda?? Diamond Akaongeza kuwa sura lake libaya lakini anaitwa handsome boy.
Harmonize amechorwa tattoo na mdada, lakini harmonize akasema sahivi hamwamini mdada yoyote.
Imefika mahali wanaume tumejidharau kiasi hicho? Kwamba unajiona wewe ni mbaya kiasi cha kwamba usipokuwa na hela hamna mdada hata mmoja atavutiwa na wewe Physically kama ulivyo? Ukiwa na hela Kila mdada akikuonesha Love interest unahisi ni mdangaji/ golddigger/ amekuja kwako kukuchuna hela/ akufilisi akupige kitu kizito hlf asepe, vipi kama unapoteza wife material bila kujua?
Hakuna, kwani ni lazima useme tuamini.Kwani wapi nimetaka uniamini?
Wewe ndiye unarefusha mada kwa kuleta habari za kwamba hujaniamini.Hakuna, kwani ni lazima useme tuamini.
Mzee vipi mbona unarefusha mada.
Hello,
Nina washkaji zangu ambao kwa level za kibongo bongo kwenye swala la pesa unaweza sema wametoboa kiasi, wanaendesha magari mazuri, wana biashara kubwa kiasi, wana umri mdogo, siku moja tulikaa mahali, mwamba alitumiwa sms na mpenzi wake, mdada alituma sms ya kuomba kuzaa na mmoja wa washkaji zangu, huyo jamaa mbele yetu akacheka na kutuambia kwa sauti huku akituonesha sms, huyu mdada anachotaka ni matunzo.. kwa vile anahisi nina hela nyingi.
Kuna video moja Diamond alijirekodi juzi akiwa kwenye mavazi ya kimaskini, akawachana wadada wanaojifanya kumpenda, akawauliza wangemkuta kwenye hali ile wangempenda?? Diamond Akaongeza kuwa sura lake libaya lakini anaitwa handsome boy.
Harmonize amechorwa tattoo na mdada, lakini harmonize akasema sahivi hamwamini mdada yoyote.
Imefika mahali wanaume tumejidharau kiasi hicho? Kwamba unajiona wewe ni mbaya kiasi cha kwamba usipokuwa na hela hamna mdada hata mmoja atavutiwa na wewe Physically kama ulivyo? Ukiwa na hela Kila mdada akikuonesha Love interest unahisi ni mdangaji/ golddigger/ amekuja kwako kukuchuna hela/ akufilisi akupige kitu kizito hlf asepe, vipi kama unapoteza wife material bila kujua?
Kwani lazima useme tukuamini au lah ndio mtu aseme hajakuamini ndgu?Wewe ndiye unarefusha mada kwa kuleta habari za kwamba hujaniamini.
Kwani mimi nilikwambia nataka uniamini?
Kanini hoja ya kuamini ni muhimu mpaka ukaileta?Kwani lazima useme tukuamini au lah ndio mtu aseme hajakuamini ndgu?
Kitu kidogo kama hicho kwa hapa jf unakirefusha namna hiyo.
Namna gani Kiranga aisee unafeli wapi kama mgeni wa jf vile.!!
Ina umuhimu sana kwa wasomaji wa comment yako.Kanini hoja ya kuamini ni muhimu mpaka ukaileta?
Kuna nani kakuomba umuamini?
Wewe ndiye unaipa umuhimu hoja ya kuamini, ushaelewa hilo?Ina umuhimu sana kwa wasomaji wa comment yako.
Sio kila kitu cha kuamini na kama hujakiamini upo huru kutoa maoni na msimamo wako, haijalishi ni kitu cha namna gani, kwasababu kila mtu huchukulia jambo kwa uzito wa namna yake.
Nazuiwa kuandika sijakuamini?? Ni kosa kutokuamini ulichoandika?? Ama ni tatizo kuandika "sijakuamini"?
Sasa kama shida ipo hapo kwenye imani, kuna tatizo mimi nisipoamini huo unaouita ukweli??Wewe ndiye unaipa umuhimu hoja ya kuamini, ushaelewa hilo?
Imani si muhimu, muhimu ni ukweli.
Kwa sababu, kwenye imani, dunia nzimainaweza kuamini uongo, wakati ukweli umesimama pembeni peke yake hauaminiwi hata na mtu mmoja.
LNa hilo lisibadilishe uongo uwe ukweli na ukweli uwe uongo.
Sasa, kwa nini unashadadia imani, ikiwa imani mtu anaweza kuamini hata uongo?
Yani umeuliza maswali, halafu kabla ya kusikia majibu yangu ushatoa conclusion.Sasa kama shida ipo hapo kwenye imani, kuna tatizo mimi nisipoamini huo unaouita ukweli??
Au kuna vithibitisho umetoa ili kila asomae asipate shaka??
Nadhani uache kila mtu aamini aaminivyo kuhusu coment yako as long as wewe mwenyewe umeiweka kwa namna hiyo(atakae kuamini aamini na asietaka/atiae shaka basi ni juu yake).
Na ndio maana hujaweka msisitizo wowote kama wengi walivyofanya kwenye huu uzi.