Wanaume wengi "smart" wenye hela, hawajiamini kwenye mahusiano

Wanaume wengi "smart" wenye hela, hawajiamini kwenye mahusiano

Ndo Maana wengi wenye hela
Kamwe hawawaachi wake zao waliowapenda wakiwa makapuku.

Akizidiwa sana ataongeza MKE mwngn
Ila sio kumuacha kabisa mkewe wa ujanani. No matter how ugly she look
Akili kubwa kabisa hii. Mwanamke aliyekuvulia chupi na kukupa bila kukupimia kipindi ukiwa huna kitu ni wa kumuheshimu sana.
 
Ni zaidi ya pisi kali mkuu imekaa kati kwa kati mguu mguu, mpaja mpaja, aki smile kama jua limechomoza. Upstairs yko vizuri unaweza kuongea naye mkaelewana. Uafrika fulani anao, umagharibi fulani anao. Ana kike Wafaransa wanakiita "savoir faire".

Ila it wasn't to be tu.
Huwezi kumkandia.[emoji23][emoji23]
 
Wanawake wote ndivyo walivyo! Huoni ukiwa unachumbia na anakuletea K kwa mbinde, atasema kwanini tusioane ili uwe nayo hii K! Kila wakati unaila utakavyo. Ukishamuoa waokozi ni machangudoa.
Hahahah eto ukishamuoa waokozi ni machangudoa. Na kwa nini wanang'ng'ania sana ndoa??
 
Hello,

Nina washkaji zangu ambao kwa level za kibongo bongo kwenye swala la pesa unaweza sema wametoboa kiasi, wanaendesha magari mazuri, wana biashara kubwa kiasi, wana umri mdogo, siku moja tulikaa mahali, mwamba alitumiwa sms na mpenzi wake, mdada alituma sms ya kuomba kuzaa na mmoja wa washkaji zangu, huyo jamaa mbele yetu akacheka na kutuambia kwa sauti huku akituonesha sms, huyu mdada anachotaka ni matunzo.. kwa vile anahisi nina hela nyingi.

Kuna video moja Diamond alijirekodi juzi akiwa kwenye mavazi ya kimaskini, akawachana wadada wanaojifanya kumpenda, akawauliza wangemkuta kwenye hali ile wangempenda?? Diamond Akaongeza kuwa sura lake libaya lakini anaitwa handsome boy.

Harmonize amechorwa tattoo na mdada, lakini harmonize akasema sahivi hamwamini mdada yoyote.

Imefika mahali wanaume tumejidharau kiasi hicho? Kwamba unajiona wewe ni mbaya kiasi cha kwamba usipokuwa na hela hamna mdada hata mmoja atavutiwa na wewe Physically kama ulivyo? Ukiwa na hela Kila mdada akikuonesha Love interest unahisi ni mdangaji/ golddigger/ amekuja kwako kukuchuna hela/ akufilisi akupige kitu kizito hlf asepe, vipi kama unapoteza wife material bila kujua?
Cc Ashraf hakimi aione hii kwenye jalada 🤣🤣🤣

Mwanamke sio ndugu yako
 
Huwezi kumkandia.[emoji23][emoji23]
Mkuu mpaka leo kuna kipindi napata kisebusebu na kiroho papo, ila nishafanya maamuzi magumu.

Unalijua guu la bia lililong'aang'aa? Lile Sheikh Kipozeo anasingizia "Neema za Allah"?

Ndiyo hilo sasa.
 
Hahahah eto ukishamuoa waokozi ni machangudoa. Na kwa nini wanang'ng'ania sana ndoa??
Mwanamke kusema neno mume wangu ni fulani, hiyo inatosha. Sisi kwetu mke ni yule unakula k yake pale unapoihitaji awe changu au mchepuko! Supply ya k ni muhimu kwa Mwanaume.

Status ya mke kwa Mwanaume ni sawa na ndugu yeyote kama Kaka, dada, mama au mtoto. Hivyo mtu kuwa mke wako haina umuhimu sana bali msupply k ni muhimu. Unaambiwa a man’s soul rest where he sex not where he sleeps
 
Mkuu mpaka leo kuna kipindi napata kisebusebu na kiroho papo, ila nishafanya maamuzi magumu.

Unalijua guu la bia lililong'aang'aa? Lile Sheikh Kipozeo anasingizia "Neema za Allah"?

Ndiyo hilo sasa.
Kiranga I guess you must be loose in maintaining sexual relationship because you must be using most of your time to find mysteries about universe, and reasoning! Kiranga please let me know, in TZ, are you from Northern, middle or Southern TZ?

Kiranga, huyo msichana yupo TZ kwa sasa?
 
Mwanamke kusema neno mume wangu ni fulani, hiyo inatosha. Sisi kwetu mke ni yule unakula k yake pale unapoihitaji awe changu au mchepuko! Supply ya k ni muhimu kwa Mwanaume.

Status ya mke kwa Mwanaume ni sawa na ndugu yeyote kama Kaka, dada, mama au mtoto. Hivyo mtu kuwa mke wako haina umuhimu sana bali msupply k ni muhimu. Unaambiwa a man’s soul rest where he sex not where he sleeps
Aisee ni kweli. Na ndiyo maana mwanaume anamuheshimu mno mwanamke anayempa uchi bila kumpimia.
 
Kiranga I guess you must be loose in maintaining sexual relationship because you must be using most of your time to find mysteries about universe, and reasoning! Kiranga please let me know, in TZ, are you from Northern, middle or Southern TZ?

Kiranga, huyo msichana yupo TZ kwa sasa?
Wewe jifunze kuandika vizuri kwanza kabla ya kuagua Kiranga yuko vipi.

I am all men rolled into one, like the '99 summer jam.
 
Yani umeuliza maswali, halafu kabla ya kusikia majibu yangu ushatoa conclusion.

Una nia ya kusikia majibu yangu au hayo maswali yalikuwa ni rhetorical questions tu umeuliza bila kutaka majibu yangu unahubiri imani yako tu?
Nadhani umeelewa.
 
Back
Top Bottom