kanuni nyoso, nshaivunja tiyari na zamani sana... sometime vidume tunatangulia mbele ya haki kuliko wao kwa kuendekeza kanuni kama hizi unakomaa na mi-stress ndani kisa kulinda legacy ya mke wa kwanza au sijui tumetoka mbali n. k, akiota mapembe na harekebishiki piga chini kwa ajili ya umri wako!