Wanaume wengi wa dini ya kiislamu ni waaminifu kwa wake zao

Wanaume wengi wa dini ya kiislamu ni waaminifu kwa wake zao

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Wanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwazi zinaa kuliko wakristo, wanaona bora aoe kuliko awe na michepuko kapu zima.

Nina marafiki zangu kadhaa nimepata kuwafaham kwa kiasi hivi karibuni, kwa kweli ni waaminifu kwa wake zao. Ni ngumu sana au ni mara chache kumkuta kijana wa kikirsto akiponda waziwazi zinaa haifai, ila ni kawaida kujigamba kuwa na mademu lukuki. Hata kwenye nyuzi huku yaani idadi ipo wazi kabisa.

Wanaume wa kiislam kwanza wanaheshimu sana wake zao na pia kuwatunza vizuri. Nafikiri pia dini huwa inasaidia, japo kuna asilimia kadhaa ya walioshika dini lakini washenzi. Mimi nazungumzia majority.
 
Wanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwazi zinaa kuliko wakristo, wanaona bora aoe kuliko awe na michepuko kapu zima.
...
umewapima wanaume waislamu kwa wake wangapi? Mwislamu huhesabika anachepuka akianza kulala na mwanamke wa tano yaani zaidi ya wanawake wanne.

Wewe mwanamke mkristo mumeo akiwa na mwanamke mmoja tu wa ziada unalipuka unataka mbingu ishuke na nchi ilipuke.
 
umewapima wanaume waislamu kwa wake wangapi? Mwislamu huhesabika anachepuka akianza kulala na mwanamke wa tano yaani zaidi ya wanawake wanne. Wewe mwanamke mkristo mumeo akiwa na mwanamke mmoja tu wa ziada unalipuka unataka mbingu ishuke na nchi ilipuke.
Eeeee kama wewe unachepukaga na mmoja kaa pembeni....
Bado huijui shuhuli...hizi njema Zina panga kitaa kizima
 
Nina business partner wangu majuzi tu mkewe mjamzito katoka kunipigia simu nimkanye rafiki yangu anazini na wanawake huko nje akimtangazia ni mjamzito so aache watamtia nuksi

Na ni mtu mzima zaidi yangu alishaniambia kuhusu huyo malaya wake mimi nimekaa kimya tu.watu research hawafanyi wanajiongelea tu.
 
Mkuu ww inaonyesha bado sana kwenye medani ya uelewa wa mambo.
Bado uko kizani hakuna unachokijua ww.
Hao majamaa huwa inaspend nao masaa mangapi kwa siku??
Sasa,fanya ile siku ya mwisho ya mwezi mfungo yaani eid nenda zenji kisha piga kambi hapo nje ya lodge ushuhudie maajabu ndo utakuwa umekamilisha research yako au kama haitishi muulize masai hapo getini hizo gari nyingi hapo Lodge kuna msiba ama sherehe japo pako kimyaaa ndo utajua.
Watu nyomi full kugegedana mke/wake wanaachwa wanazurure forodhani.
Kisha nenda nje ya mji kwenye migomba huko kisha ulete mrejesho hapa chap😂
 
Back
Top Bottom