Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
🤣🤣🤣Mmasai ameingia bila hodi acha alizwe soonKina Ommy, side(saidi), mudy, kina sele hawahawa au labda waislam wengine aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Mmasai ameingia bila hodi acha alizwe soonKina Ommy, side(saidi), mudy, kina sele hawahawa au labda waislam wengine aisee
Anatakiwa awe na difarenti fleva 4 na kuacha muda wowote atakao........ni waaminifu sana 🤣Unatoka kulalana kulana kupendana anaoa mke mwingine
Atuulize sie wanawake wa kiislamu🤣🤣🤣 mwanaume WA kiislamu mtamu akiwa hana hela, kosa apate hela....anajikuta mwarabu anataka aoe shombeshombe🤣 na huna cha kumwambia anajificha kwenye kivuli cha dini.🤣🤣🤣Mmasai ameingia bila hodi acha alizwe soon
USHUHUDA, Mmasai anaanza kukusanya dataMbona huyu mchepuko wangu ana mke wake ni muislam jaman
Mie siolewi na mtu mweusi Wala mweupe naolewa na wawastani mwarabu basi ili ujue hawezi sanaAnatakiwa awe na difarenti fleva 4 na kuacha muda wowote atakao........ni waaminifu sana 🤣
Sema hawa wenye majina ya rama wapo sex sana 🙈Hata kina Rama na Omari nao wamo kwenye list yako??
Na niwabishi kila akija anataka mpaka namdanganyaga sipo nyumbaniUSHUHUDA, Mmasai anaanza kukusanya data
Mzee mbona hueleweki mara nenda Zanzibar, rudi kwa masai getin gari nin.. umeielewa point yake lakini!??Mkuu ww inaonyesha bado sana kwenye medani ya uelewa wa mambo.
Bado uko kizani hakuna unachokijua ww.
Hao majamaa huwa inaspend nao masaa mangapi kwa siku??
Sasa,fanya ile siku ya mwisho ya mwezi mfungo yaani eid nenda zenji kisha piga kambi hapo nje ya lodge ushuhudie maajabu ndo utakuwa umekamilisha research yako au kama haitishi muulize masai hapo getini hizo gari nyingi hapo Lodge kuna msiba ama sherehe japo pako kimyaaa ndo utajua.
Watu nyomi full kugegedana mke/wake wanaachwa wanazurure forodhani.
Kisha nenda nje ya mji kwenye migomba huko kisha ulete mrejesho hapa chap[emoji23]
Inshort itakuwa Mungu wakati anatuumba waafrika ingredient ya ny*ege aliweka ya kutosha, dunia nzima sidhani Kama kuna wanaume wanapenda chini Kama waafrika.masai dada , haya mambo ni tabia ya mtu, hayana uhusiano na dini.
🤣🤣🤣Mnaanza naye zero,akipata anatafuta mwingine kuja kula raha.......kumbe ndiyo maana huwa mnaenda kuroga......... Mmasai shuhuda wa pili huyuAtuulize sie wanawake wa kiislamu🤣🤣🤣 mwanaume WA kiislamu mtamu akiwa hana hela, kosa apate hela....anajikuta mwarabu anataka aoe shombeshombe🤣 na huna cha kumwambia anajificha kwenye kivuli cha dini.
Yaani mmasai Kama kakutana na mwanaume wa kiislamu hana hela huko basi atake care🤣🤣🤣 ataleweshwa mahaba hapo achunwe na atoe papuchi ya bure, siku akizipata anaenda kuoa mwarabu mwenzie hata Kama yeye mndengereko🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mnaanza naye zero,akipata anatafuta mwingine kuja kula raha.......kumbe ndiyo maana huwa mnaenda kuroga......... Mmasai shuhuda wa pili huyu
🤣🤣Eti waaminifu,wanahudumia vizuri wake zao,hawahawa tunaoishi nao mitaani au waisilamu wa Dubai huko🤔wanaume wengi wa kiislam,wengi anamaanisha idadi yao ni wangani?🤣🤣🤣🤣🤣🤣Waislamu wa nchi hii hii ya Tanzania? Hawa talaka mkononi?
Hawa kesho yake tu unasikia kaongeza mke mwingine na kukuhudumia hakuhudumii?
Itakuwa umeota.
Labda asiwe na helaaa, Hana access na nyuchii, Ila akiwa na hela mwanaume ni mwanaume tu, awe muislamu awe mkristo🤣🤣🤣🤣🤣Eti waaminifu,wanahudumia vizuri wake zao,hawahawa tunaoishi nao mitaani au waisilamu wa Dubai huko🤔wanaume wengi wa kiislam,wengi anamaanisha idadi yao ni wangani?🤣🤣🤣
Tumekaa mahali tunapigapiga story ili kusogeza muda, wengi wa waliopo hapa ni wanaume wa kiislam na wanafuatilia JF.Wanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwazi zinaa kuliko wakristo, wanaona bora aoe kuliko awe na michepuko kapu zima.
Nina marafiki zangu kadhaa nimepata kuwafaham kwa kiasi hivi karibuni, kwa kweli ni waaminifu kwa wake zao. Ni ngumu sana au ni mara chache kumkuta kijana wa kikirsto akiponda waziwazi zinaa haifai, ila ni kawaida kujigamba kuwa na mademu lukuki. Hata kwenye nyuzi huku yaani idadi ipo wazi kabisa.
Wanaume wa kiislam kwanza wanaheshimu sana wake zao na pia kuwatunza vizuri. Nafikiri pia dini huwa inasaidia, japo kuna asilimia kadhaa ya walioshika dini lakini washenzi. Mimi nazungumzia majority.