Wanaume wengi wa dini ya kiislamu ni waaminifu kwa wake zao

Wanaume wengi wa dini ya kiislamu ni waaminifu kwa wake zao

Mzee mbona hueleweki mara nenda Zanzibar, rudi kwa masai getin gari nin.. umeielewa point yake lakini!??

Soma tena uzi wake alafu tulia ukomenti vizur..
Wewe ndo hujaelewa....
Nenda Zanzibar=Huko uislamu na waislamu anaowazungumzia wapo kwa %kubwa so kama ni research ya anachokisema akaikamilishie huko na hapo getini namaanisha anaweza pia kufanya mahojiano na masai.
Sasa ww jamaako anafanya uchunguzi kwa waislamu wawili ambao ni rafiki zake kisha analeta mada hapa,tembeeni kwanza ndo mje hapa
 
Wanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwazi zinaa kuliko wakristo, wanaona bora aoe kuliko awe na michepuko kapu zima.

Nina marafiki zangu kadhaa nimepata kuwafaham kwa kiasi hivi karibuni, kwa kweli ni waaminifu kwa wake zao. Ni ngumu sana au ni mara chache kumkuta kijana wa kikirsto akiponda waziwazi zinaa haifai, ila ni kawaida kujigamba kuwa na mademu lukuki. Hata kwenye nyuzi huku yaani idadi ipo wazi kabisa.

Wanaume wa kiislam kwanza wanaheshimu sana wake zao na pia kuwatunza vizuri. Nafikiri pia dini huwa inasaidia, japo kuna asilimia kadhaa ya walioshika dini lakini washenzi. Mimi nazungumzia majority.
Kwa sababu hatuwaoni tena Picnic hapa makao mapya kwa ma bar maids wao ndio wamekuwa waaminifu😁
 
Inshort itakuwa Mungu wakati anatuumba waafrika ingredient ya ny*ege aliweka ya kutosha, dunia nzima sidhani Kama kuna wanaume wanapenda chini Kama waafrika.
Madam kuna waturuki na wataliano hawa unawaweka kundi lipi, wakiwa na pesa ni sawa na wamatumbi speed yao
 
Zanzibar watu wanaliwa kwenye magari lodge huruhusiwi kuingia na mtu asie mke wako. Labda umpeleke kwenye hotel na ujipange maana bei zake zimechangamka.
Hamnaga hiyo kitu mzee,tena Lodge wanakuchana ukifika tuu unaambiwa kwa sasa hatupokei wageni wa kulala njoo kuanzia saa moja usiku. Nenda kwa mremi ukasikie nenda mamba.
Nakubaliana na ww town wanakupokea muda wowote ila bei ndo mtiti.
Huku watu wanapenda mapenzi balaa
 
HII NCHI INA WAJINGA WENGI SANA.

Nasikitika kuona maadui wakuu watatu Bado wanaendelea kuishi.
Tangu 1961.

UMASIKINI
UJINGA.
MARADHI

UJINGA UNAZIDI KUONGEZEKA KWA KASI SANA.

NAOMBA JAMII FORUM MUWE MAKINI NA BAADHI YA POST HAPA MTANDAONI.
 
Wanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwazi zinaa kuliko wakristo, wanaona bora aoe kuliko awe na michepuko kapu zima.

Nina marafiki zangu kadhaa nimepata kuwafaham kwa kiasi hivi karibuni, kwa kweli ni waaminifu kwa wake zao. Ni ngumu sana au ni mara chache kumkuta kijana wa kikirsto akiponda waziwazi zinaa haifai, ila ni kawaida kujigamba kuwa na mademu lukuki. Hata kwenye nyuzi huku yaani idadi ipo wazi kabisa.

Wanaume wa kiislam kwanza wanaheshimu sana wake zao na pia kuwatunza vizuri. Nafikiri pia dini huwa inasaidia, japo kuna asilimia kadhaa ya walioshika dini lakini washenzi. Mimi nazungumzia majority.
Umewahi kuona Mwanamke wa Kiislam akichinja kuku ?
Jibu ni hapana?
Waislam wanaheshimu sana dini yao Kwa kiwango kikubwa .
Hata Wanawake wa Kiislam wengi ni waaminifu sana .

Mama Samia angekua ni mkristo wa aina ya wakristo waliopo Leo nadhani tungekoma. Wanawake na Wanaume wa Kikristo wanatetea taratibu za dini na mitume feki kuliko kutetea Biblia na kile kilichoandikwa.

Ni kweli hata wanaovuruga ndoa za watu wengi ni Wale wanaojiita Wakristo wengine ni wale wanaojiita mitume na manabii achilia mbali wachungaji wa mishahara .

Na pia Ukristo na wahubiri wengi hawasimamii Neno la Mungu zaidi ya maoni yao wenyewe na taratibu zao. Ndio maana Unakuta Mume akiwa Nabii basi Mke naye anakua mhubiri nyuma yake matokeo yake huduma inakua ni Mali ya Familia.

Wanawake wa Kikristo hawana Imani na waume zao hata kama ni maaskofu .Kifupi Ukristo wa Leo umebebe sana uzungu na kuweka pembeni Neno la kweli la Mungu.

Hata kwenye Biashara Waislam wengi ni waaminifu kuliko wakristo ndio maana Mabilionea wengi Tanzania ni Waislam na hata kwenye ajira hawaamini Wakristo kutokana na tamaa na wizi unaosababishwa na kupenda starehe. Wanaiba kwenye makampuni ili wapate fedha za ulevi na uzinzi na starehe nyonginezo. Tofauti na Waislam wanaridhika na kile wanachojaaliwa na mola wao.

Wakristo wameshapoteza Ramani na hawataki kuwambiwa kuwa wanakosea . Yote ni Kwa sababu Makanisani siku hizi hawahubiri Tena Injili ya toba na wokovu na watu kuacha madhambi. Huwezi kusikia ulevi ukipigwa vita , uzinzi , rushwa, ujanja ujanja kwenye Biashara, kupunguza ujazo kwenye mizani , Riba inayoumiza wakopaji, kuishi na mume au mke bila ndoa, udanganyifu katika biashara na kukwepa Kodi .
Wezi wanasikia mahusbiri ya mafanikio TU na kujihisi wako sawa.
 
Atuulize sie wanawake wa kiislamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwanaume WA kiislamu mtamu akiwa hana hela, kosa apate hela....anajikuta mwarabu anataka aoe shombeshombe[emoji1787] na huna cha kumwambia anajificha kwenye kivuli cha dini.
Kumbe anaoa kisheria, punguza wivu mkuu
 
Umewahi kuona Mwanamke wa Kiislam akichinja kuku ?
Jibu ni hapana?
Waislam wanaheshimu sana dini yao Kwa kiwango kikubwa .
Hata Wanawake wa Kiislam wengi ni waaminifu sana .

Mama Samia angekua ni mkristo wa aina ya wakristo waliopo Leo nadhani tungekoma. Wanawake na Wanaume wa Kikristo wanatetea taratibu za dini na mitume feki kuliko kutetea Biblia na kile kilichoandikwa.

Ni kweli hata wanaovuruga ndoa za watu wengi ni Wale wanaojiita Wakristo wengine ni wale wanaojiita mitume na manabii achilia mbali wachungaji wa mishahara .

Na pia Ukristo na wahubiri wengi hawasimamii Neno la Mungu zaidi ya maoni yao wenyewe na taratibu zao. Ndio maana Unakuta Mume akiwa Nabii basi Mke naye anakua mhubiri nyuma yake matokeo yake huduma inakua ni Mali ya Familia.

Wanawake wa Kikristo hawana Imani na waume zao hata kama ni maaskofu .Kifupi Ukristo wa Leo umebebe sana uzungu na kuweka pembeni Neno la kweli la Mungu.

Hata kwenye Biashara Waislam wengi ni waaminifu kuliko wakristo ndio maana Mabilionea wengi Tanzania ni Waislam na hata kwenye ajira hawaamini Wakristo kutokana na tamaa na wizi unaosababishwa na kupenda starehe. Wanaiba kwenye makampuni ili wapate fedha za ulevi na uzinzi na starehe nyonginezo. Tofauti na Waislam wanaridhika na kile wanachojaaliwa na mola wao.

Wakristo wameshapoteza Ramani na hawataki kuwambiwa kuwa wanakosea . Yote ni Kwa sababu Makanisani siku hizi hawahubiri Tena Injili ya toba na wokovu na watu kuacha madhambi. Huwezi kusikia ulevi ukipigwa vita , uzinzi , rushwa, ujanja ujanja kwenye Biashara, kupunguza ujazo kwenye mizani , Riba inayoumiza wakopaji, kuishi na mume au mke bila ndoa, udanganyifu katika biashara na kukwepa Kodi .
Wezi wanasikia mahusbiri ya mafanikio TU na kujihisi wako sawa.
Mama samia kwa cheo kile angekuwa mfuasi wa paulo ndoa na mumewe ingeshavunjika plus kuvaa vinguo mapaja wazi
 
Umepata mume wa kiislamu unakuja ktufokea .
 
Mama samia kwa cheo kile angekuwa mfuasi wa paulo ndoa na mumewe ingeshavunjika plus kuvaa vinguo mapaja wazi
Ni kweli kabisa na pangeibuka aina Fulani ya kivazi Cha ajabu na Cha kubana .
Na Kwa sababu ni mtu mkubwa Wanawake wangeiga Kwa Kasi ya ajabu .

Nywele kichwani zingewekwa mawigi mpaka ya Milioni mia moja. Kila siku ingekua ni kubadili mawigi kichwani na mrasta ya kila aina na madawa kichwani. Ndoa ingekua imeshafutika fasta ili awe huru.

Bahati nzuri Mungu ndiye anayeweka watawala . Mama Samia Kwa uvaaji wake na ustarabu wake amewafanya Wanawake wengi Sasa wanavaa nguo za kujisitiri Kwa kuiga uvaaji wake .
Mungu ashukuriwe sana Kwa kutupa Rais ambaye ni kioo kizuri Kwa jamii kimaadili.
 
Ni kweli kabisa na pangeibuka aina Fulani ya kivazi Cha ajabu na Cha kubana .
Na Kwa sababu ni mtu mkubwa Wanawake wangeiga Kwa Kasi ya ajabu .

Nywele kichwani zingewekwa mawigi mpaka ya Milioni mia moja. Kila siku ingekua ni kubadili mawigi kichwani na mrasta ya kila aina na madawa kichwani. Ndoa ingekua imeshafutika fasta ili awe huru.

Bahati nzuri Mungu ndiye anayeweka watawala . Mama Samia Kwa uvaaji wake na ustarabu wake amewafanya Wanawake wengi Sasa wanavaa nguo za kujisitiri Kwa kuiga uvaaji wake .
Mungu ashukuriwe sana Kwa kutupa Rais ambaye ni kioo kizuri Kwa jamii kimaadili.
Nawaona hao mabalozi wa kike wengine ni wakubwa wa mashirikia wanavyovaaa .


Hapa ofisini kwetu wapo kweny board ya wakurugenzi wakristo na waislamu ila wote wanajitanda na kuvaa vizuri ila nashangaa baadhi wanavaa hovyo nje ya hapa
 
Katika Sheria zote za Mungu wameona Sheria ya kuoa ndo Bora....jitu hata kuswali haliswali Ila linatangaza kuoa wake wengi.
Mkuu jamaa itakuwa kakuumiza sana kwa kuongeza Mathna, ila ndo hivyo tena. Ukiolewa na jamaa zetu ujue anytime mwenzio/ wenzio watakuja, mtakuwa wengi, haukulijua hilo mkuu wangu?
 
Mkuu jamaa itakuwa kakuumiza sana kwa kuongeza Mathna, ila ndo hivyo tena. Ukiolewa na jamaa zetu ujue anytime mwenzio/ wenzio watakuja, mtakuwa wengi, haukulijua hilo mkuu wangu?
Wala sijaolewa mathna, uzuri dini naijua, kuolewa mathna ni chaguo langu....nazungumzia hao wanawake wasio na elimu ya dini wanavyonyanyaswa.
 
Back
Top Bottom