Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Huu utafiti siyo kweli kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi 🙏Mie mwanaume siangalii dini naangalia pesa tu na matunzo Huna matunzo pita hivi mtaongea huyu ni Malaya ila Kwangu imeisha hiyoo
Nilikuwa nasubiri kwenye GSM hapa nione wanakisanga gani,.. nashangaa hujasema chcht sa ulikuwa na haja gani yakuwataja wao!??Labda asiwe na helaaa, Hana access na nyuchii, Ila akiwa na hela mwanaume ni mwanaume tu, awe muislamu awe mkristo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani kina GSM si Waislamu wale?
Tena ukute wake zao wanakula bats Kwa sababu ni Ile wanaoana ndugu, kibinamu....la sivyo tungewasikia wanalalamika hadharani.
Utuache.....Uzi nzima unatusimanga wewe tu 😏Yaani mmasai Kama kakutana na mwanaume wa kiislamu hana hela huko basi atake care🤣🤣🤣 ataleweshwa mahaba hapo achunwe na atoe papuchi ya bure, siku akizipata anaenda kuoa mwarabu mwenzie hata Kama yeye mndengereko🤣🤣🤣
Mwanaume akiwa hana hela lazima awe kama malaika, full utulivu na busara za hali ya juu 🤣🤣akiwa nazo ndo utaona tabia zake halisiLabda asiwe na helaaa, Hana access na nyuchii, Ila akiwa na hela mwanaume ni mwanaume tu, awe muislamu awe mkristo🤣🤣🤣
Kwani kina GSM si Waislamu wale?
Tena ukute wake zao wanakula bats Kwa sababu ni Ile wanaoana ndugu, kibinamu....la sivyo tungewasikia wanalalamika hadharani.
Wanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwazi zinaa kuliko wakristo, wanaona bora aoe kuliko awe na michepuko kapu zima.
Nina marafiki zangu kadhaa nimepata kuwafaham kwa kiasi hivi karibuni, kwa kweli ni waaminifu kwa wake zao. Ni ngumu sana au ni mara chache kumkuta kijana wa kikirsto akiponda waziwazi zinaa haifai, ila ni kawaida kujigamba kuwa na mademu lukuki. Hata kwenye nyuzi huku yaani idadi ipo wazi kabisa.
Wanaume wa kiislam kwanza wanaheshimu sana wake zao na pia kuwatunza vizuri. Nafikiri pia dini huwa inasaidia, japo kuna asilimia kadhaa ya walioshika dini lakini washenzi. Mimi nazungumzia majority.
Siwaachi hata kidogo, Maakhy mna mambo meusi nyie, Ila Kwa kujitetea Kwa Aya hamjambo🤣Utuache.....Uzi nzima unatusimanga wewe tu 😏
Wakati tumesifiwa hatukaribii zinaa!
So mnacheka futuhi aloileta mwenye thread siyo🤣🤣🤣Tumekaa mahali tunapigapuga story ili kusogeza muda, wengi ya waliopo hapa ni wanaume wa kiislam na wanafuatilia JF.
Nikaona watu wanaonyeshana simu halafu kila anayemaliza kusoma anachekewa kwapani, simu ilivyofika kwangu, kusoma kunachowachekesha kumbe ni hii thread yako.
Hata mimi naitwa RamaSema hawa wenye majina ya rama wapo sex sana 🙈
Rama wewe wa magumashiHata mimi naitwa Rama
Wanasema aliyeanzisha hana nia ya kuwasifu ila lengo lake watu waje wawaanike😃So mnacheka futuhi aloileta mwenye thread siyo🤣🤣🤣
Mleta mada tumpe DK Mwaka🤣🤣🤣So mnacheka futuhi aloileta mwenye thread siyo🤣🤣🤣
Sana kaka anguHuu utafiti wako ni batili
Wanasema aliyeanzisha hana nia ya kuwasifu ila lengo lake watu waje wawaanike😃
Wapo wa upande wa pili walio waaminifu pia, kama Vidole vinashindwa kufanana vipi mtu mzima mwenye Utashi wake.Japo kuna asilimia kadhaa ya walioshika dini lakini washenzi.
Hana takwimu kajiongelea tu kuchangamsha jukwaaSana kaka angu