Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Sisi ni watu wa Mungu..Hivi wamasai nao wana dini😂😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi ni watu wa Mungu..Hivi wamasai nao wana dini😂😂😂😂😂
Wewe ndio huwa unawachunguza wakiwa faragha?Wanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwazi zinaa kuliko wakristo, wanaona bora aoe kuliko awe na michepuko kapu zima.
Nina marafiki zangu kadhaa nimepata kuwafaham kwa kiasi hivi karibuni, kwa kweli ni waaminifu kwa wake zao. Ni ngumu sana au ni mara chache kumkuta kijana wa kikirsto akiponda waziwazi zinaa haifai, ila ni kawaida kujigamba kuwa na mademu lukuki. Hata kwenye nyuzi huku yaani idadi ipo wazi kabisa.
Wanaume wa kiislam kwanza wanaheshimu sana wake zao na pia kuwatunza vizuri. Nafikiri pia dini huwa inasaidia, japo kuna asilimia kadhaa ya walioshika dini lakini washenzi. Mimi nazungumzia majority.
Na hao ndo wanaumia kwa vile hawana elimu ya kutosha.Wala sijaolewa mathna, uzuri dini naijua, kuolewa mathna ni chaguo langu....nazungumzia hao wanawake wasio na elimu ya dini wanavyonyanyaswa.
Wanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwazi zinaa kuliko wakristo, wanaona bora aoe kuliko awe na michepuko kapu zima.
Nina marafiki zangu kadhaa nimepata kuwafaham kwa kiasi hivi karibuni, kwa kweli ni waaminifu kwa wake zao. Ni ngumu sana au ni mara chache kumkuta kijana wa kikirsto akiponda waziwazi zinaa haifai, ila ni kawaida kujigamba kuwa na mademu lukuki. Hata kwenye nyuzi huku yaani idadi ipo wazi kabisa.
Wanaume wa kiislam kwanza wanaheshimu sana wake zao na pia kuwatunza vizuri. Nafikiri pia dini huwa inasaidia, japo kuna asilimia kadhaa ya walioshika dini lakini washenzi. Mimi nazungumzia majority.
Una dangaMie mwanaume siangalii dini naangalia pesa tu na matunzo Huna matunzo pita hivi mtaongea huyu ni Malaya ila Kwangu imeisha hiyoo
Hapa watu wanabisha tu...SI Bora mwanaume aliyeoa wake watatu na anahudumia watoto/mke kuliko Hawa wanaozaa hovyo na kutelekeza watoto ambao hata yule baba akifa watoto hawajulikanj wala nini..Naunga mkono hoja
Kuna mbunge mmoja Nchini Kenya (Mama ambaye hata sio Muislam) alisimama Bungeni na kusema;
Waislam wanadhamini Ndoa kuliko madhehebu mengine na hata wakiwa na Michepuko ila kwao Ndoa ni kipa umbele. Alisema mifano ipo wazi na akatoa mfano mmoja kuwa; Nairobi inaongoza kwa kuwa na watoto wadogo waliotelekezwa mitaani kwa mamia kama sio maefu na Single mother, ila ukienda mji kama Mombasa ambapo ni mji mkubwa tu/ulioendelea vizuri ambapo asilimia kubwa ya wakaazi ni waislam, tatizo la watoto wa mtaani na single mother ni dogo sana.
Alilisema; watu waache unafiki wakujidanganya kuwa wameoa mke mmoja huku wamezaa na kutelekeza watoto huko mitanaani; hiyo dhambi ni kubwa zaidi.....
Nilijua ni huyu wangu tu akipata hela anabadilika ,kumbe wapo wengi.Atuulize sie wanawake wa kiislamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwanaume WA kiislamu mtamu akiwa hana hela, kosa apate hela....anajikuta mwarabu anataka aoe shombeshombe[emoji1787] na huna cha kumwambia anajificha kwenye kivuli cha dini.
Watu wa mungu au watu wa maporiniSisi ni watu wa Mungu..
Mh unaongea kama unagadithiwa vileHamnaga hiyo kitu mzee,tena Lodge wanakuchana ukifika tuu unaambiwa kwa sasa hatupokei wageni wa kulala njoo kuanzia saa moja usiku. Nenda kwa mremi ukasikie nenda mamba.
Nakubaliana na ww town wanakupokea muda wowote ila bei ndo mtiti.
Huku watu wanapenda mapenzi balaa
Emu anza upya research yako na hio survey jaribu kuiweka sawa itakua hujawajua vizuri, dini sio mtu dini ni dini na mtu ni mtu usichanganye hivyo vitu viwili sehemu moja utalia mdomo juu km mbwa alienasiwa kwa nyumaWanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwazi zinaa kuliko wakristo
Huwajui hawa makobazi vizuri.Wanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwazi zinaa kuliko wakristo, wanaona bora aoe kuliko awe na michepuko kapu zima.
Nina marafiki zangu kadhaa nimepata kuwafaham kwa kiasi hivi karibuni, kwa kweli ni waaminifu kwa wake zao. Ni ngumu sana au ni mara chache kumkuta kijana wa kikirsto akiponda waziwazi zinaa haifai, ila ni kawaida kujigamba kuwa na mademu lukuki. Hata kwenye nyuzi huku yaani idadi ipo wazi kabisa.
Wanaume wa kiislam kwanza wanaheshimu sana wake zao na pia kuwatunza vizuri. Nafikiri pia dini huwa inasaidia, japo kuna asilimia kadhaa ya walioshika dini lakini washenzi. Mimi nazungumzia majority.
Unaota we mdadaWanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwazi zinaa kuliko wakristo, wanaona bora aoe kuliko awe na michepuko kapu zima.
Nina marafiki zangu kadhaa nimepata kuwafaham kwa kiasi hivi karibuni, kwa kweli ni waaminifu kwa wake zao. Ni ngumu sana au ni mara chache kumkuta kijana wa kikirsto akiponda waziwazi zinaa haifai, ila ni kawaida kujigamba kuwa na mademu lukuki. Hata kwenye nyuzi huku yaani idadi ipo wazi kabisa.
Wanaume wa kiislam kwanza wanaheshimu sana wake zao na pia kuwatunza vizuri. Nafikiri pia dini huwa inasaidia, japo kuna asilimia kadhaa ya walioshika dini lakini washenzi. Mimi nazungumzia majority.
Hawazini nao kama nyie..Wanaoa remember.....hawazini nao kama nyie..miaka 14 vibinti kibao mshaanza kuvichezea
Kakutana na dudu la Ostadhi kanogewa na Mufti Lion dudu washa Mufti kuku The InfinityUnaota we mdada
masai dada njoo usome comments za walengwa utaelewa jambo kabla ya kuandika na ku-generalize Mambo ungeuliza kwanza mkuuNilijua ni huyu wangu tu akipata hela anabadilika ,kumbe wapo wengi.
Hao hao wa 4 kwa mmoja na hapo usisahau Kuna talaka yaan anapiga 4 anawaacha wote kisha anachukua 4 wengine afu anawaacha wote anachukua 4 wengine, mizunguko upo hivyo yaan utaelewa huelewi🤣🤣🤣Mmasai ameingia bila hodi acha alizwe soon
HaijalishiiUna danga