masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Anaongea tu huyo hata hajafuatilia mambo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waislamu wa nchi hii hii ya Tanzania? Hawa talaka mkononi?
Hawa kesho yake tu unasikia kaongeza mke mwingine na kukuhudumia hakuhudumii?
Itakuwa umeota.
Majority au sioWanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwaz zinaa kuliko wakristo,wanaona Bora aoe kuliko awe na michepuko kapu Zima...
Labda Waislamu wa Oman huko, Ila Sisi watu weusi ni zafananaπ€£π€£Anaongea tu huyo hata hajafuatilia mambo...
Wengi ni wakristoHivi wamasai nao wana dini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
umewapima wanaume waislamu kwa wake wangapi? Mwislamu huhesabika anachepuka akianza kulala na mwanamke wa tano yaani zaidi ya wanawake wanne.Wanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwazi zinaa kuliko wakristo, wanaona bora aoe kuliko awe na michepuko kapu zima.
...
Eeeee kama wewe unachepukaga na mmoja kaa pembeni....umewapima wanaume waislamu kwa wake wangapi? Mwislamu huhesabika anachepuka akianza kulala na mwanamke wa tano yaani zaidi ya wanawake wanne. Wewe mwanamke mkristo mumeo akiwa na mwanamke mmoja tu wa ziada unalipuka unataka mbingu ishuke na nchi ilipuke.
Wanaoa remember.....hawazini nao kama nyie..miaka 14 vibinti kibao mshaanza kuvichezeaHawa hawa wanaopambania mabinti waolewe na miaka 14? Basi sawa
Tofautisha kuona wanne na kuchupuka na Kijiji kizima...Muaminifu anapenda wake wa nne kwa upendo tofauti ?
HawanaHivi wamasai nao wana diniπππππ
Basi sawa ni waaminifu Kwa sababu wanaoa watoto kwa kisingizio Cha kuzini.............Wanaoa remember.....hawazini nao kama nyie..miaka 14 vibinti kibao mshaanza kuvichezea
Kivip? Kwani Mimi nipo sayari ya mas kwamba yanayoendelea Duniani siayonAnaongea tu huyo hata hajafuatilia mambo...
ππππ Kazi ipoWengi ni wakristo