Wanaume wengi wakifikia 40+ huanza Kupiga Moko tu

Afya babu afya hamna kingine muulise Koffi olomide jinsi anavyogonga vibinti mpaka kesi
 
It varies from one person to another depending on certain factors.

Wapo wanaume huko nje wamefikisha 50+ ila wanasimamia ukucha chumbani,Yaani wanapiga show za kibabe sio poa.
 
Ugomvi nao unaletaga amsha amsha ila uwe ugomvi mdogo wa kuongeleka..... baadae ya hapo mkipiga make up sex ooohhh hallelujah
Ule ugomvi mdogo mnajifanya mnatuletea tumikono twenu kupiga, nakukamata kwa nguvu kifuani huku nikikupa maneno matamu mwishowe kitu kinatafuta njia ya umangani. Ila hapo mi ndiyo mwenye kosa Dogo. Ukweli umri unachangia ukubwani mambo mengi hata ya kimaisha.
 
Hata mm nashangaa kwamba kuna huo usemi kuwa ukifika more than 40 nguvu inapungua.Sio kweli inategemea na maisha yako mwenyewe.Kama ulikuwa unakunywa sana pombe huko nyuma ngoma itafeli.Lakin kama upo sawa tu ,utapiga mwanamke mpaka achanganyikiwe.
 
Ndio maumbile Yao story na mashost saloon utasikia akipiz tu kule. Analala.

Utasikia yaani ana 48 akifikisha 50 basi tena Nitakuwa Sina mume mwenzenu
Mama Edina njoo kwangu, niko zaidi ya 40 lakini kila gemu lazima nipige hattrick, na siyo ya haraka haraka kama Mbape.
 
Ndio maumbile Yao story na mashost saloon utasikia akipiz tu kule. Analala.

Utasikia yaani ana 48 akifikisha 50 basi tena Nitakuwa Sina mume mwenzenu
afadhali leo umeanzisha uzi wa kuwananga akina vidume maana humu kila siku ni maneno kwa ke tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…