Wanaume wengi wakifikia 40+ huanza Kupiga Moko tu

Watu tupo 40+ tunapeleka moto kwa viwanachuo hadi vinagoma kurudia shoo sembuse lishangazi 35+ livivu kitandani?🤣🤣🤣
 
Hii Coment nataka aione bebi wangu jaman asinione mzembe nifundisheni kutag ni mtag asome
 
Kwasisi tunaopenda vinne plus unatuambia nini kaka
Nafikiri sometimes ni mentality ya ujana ambayo hata sisi wengine before 40 tuliona ndio ujanja na starehe. Kwenye sex issue ni wote wawili kutosheka, unaweza kukutana na mtu akaenda hata round tano usienjoy ila ukakutana na mtu wa round moja nzuri usisahau ( pia si lazima ichukue muda mrefu sana).

Hisia zenu zinaweza kufanya mkafikishana kwa utoshelevu mzuri tu hata kwa round moja na usitamani kuendelea another round bali upumzike.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wanawake huo umri ndio nguvu za kike zinazidi huku mume wake nguvu za kiume zimepungua. Hapa boda boda ndio wanaokoaga jahazi na wale ma gym trainer
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya maelezo ni umeshindwa tu kusema "kuchokana". Watu ambao hawajachokana ukiona tu uchi mashine inasimama na uke unaanza kutoa juice. Ila sasa mkishachokana hahahhahaha ni mwendo wa kuvuta hisia hadi kichwa kinauma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wanawake huo umri ndio nguvu za kike zinazidi huku mume wake nguvu za kiume zimepungua. Hapa boda boda ndio wanaokoaga jahazi na wale ma gym trainer
Nani kakudanganya[emoji38][emoji38] Umeutoa wapi huo utafiti wako uchwara?
 
Sayansi gani hiyo wewe binti? Kama umefikisha miaka 45 na kuendelea na umeexperience hivyo sawa. Vinginevyo sayansi inatueleza kuwa unapofikia menopause, libido inakwenda chini. Hii haiondoi extreme cases lakini.
Nimemuuliza hapo juu.
 
Waongo hao. Lobido inaenda chini kwa mume wake kwa sababu wameshachokana. Ila akiguswa huko nje chupi inalowa. Acha kabisa.
Hujajibu swali. Weka facts za kitaalam kama alizoweka mwenzako. Unajiongelea wewe au wanawake wote? Umezitoa wapi hizo proof? Tuambie source otherwise wewe muongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…