The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Maneno nyuma ya key board unaweza sema chochote.Mimi ni mke wa mtu, tena kwa ndoa ya kanisani. Ni mzuri na mrembo haswa, niko determined, nina exposure, shule ipo na hata leo mume wangu apatwe na lolote familia haita tetereka
kwaio 38yrs old and still single?? yale maringo ulikuwaga nayo wakati upo kigoli endelea nayoHaha haha 2025 ndio ntatimiza 40
Ndio siku zote inavyokuwa lazima umtege ndege wakoWanaume wengi wa siku hizi hawana pesa. Atakupa tu siku za mwanzo kisha anaacha. Wana majukumu mengi sana
Amina.Sifa na utukufu ni kwa Kristo Yesu anayeniwezesha
Si kazi rahisi, shetani analeta kujiinua. Ninapogundua nimepandisha mabega, ninarudi kwenye toba, namuomba mume wangu msamaha, tena kwa magoti na machozi na kuumia kutoka ndani kabisaSifa na utukufu ni kwa Kristo Yesu anayeniwezesha.
Hongera sana mjasiriamali.Sijawahi maishani mwangu. Kwetu nilifundishwa kufuma vitambaa na kufuga. Nilikuwa na fuma vita vya aina mbalimbali natembeza maofisini najisomesha.
Maofisini nilikuwa natembeza mayai ya kwale enzi zile na mayai ya kuku wa kienyeji. Wazazi wafundisheni binti zenu kujitegemea yangu wakiwa wadogo, itawasaidia
Haki sawa ni mpango wa shetani. Bila kuwa na Yesu mtu wa ulimwengu huu habadiliki.Amina.
Unawaambia nini wenye mitazamo ya haki sawa kwa wote kwenye ndoa?
Kwangu, ule mkutano wa beijing ulikosa maana pale wawezeshaji wakuu, ni wale ambao kama hawakuwa wameachika kwenye ndoa, basi ndoa zao zilikuwa taabani
Haha haha haha nope. I am marriedkwaio 38yrs old and still single?? yale maringo ulikuwaga nayo wakati upo kigoli endelea nayo
Tunazo ila hatugawi tu hovyo kama njugu. Mimi wameshanilia sana pesa zangu nikaamua kubadili sera. Kwa sasa sitoi hovyo hovyo....Wanaume wengi wa siku hizi hawana pesa. Atakupa tu siku za mwanzo kisha anaacha. Wana majukumu mengi sana
Tunazo ila hatugawi tu hovyo kama njugu. Mimi wameshanilia sana pesa zangu nikaamua kubadili sera. Kwa sasa sitoi hovyo hoWanaume wengi wa siku hizi hawana pesa. Atakupa tu siku za mwanzo kisha anaacha. Wana majukumu mengi sana
Nakubali mzee mwenzanguKuna uzinzi na upendo.
Uzinzi huongozwa na tamaa, upendo wa dhati huongozwa na hisia za ndani sana. Binafsi, kigezo changu cha kuoa au kuwa na mtu, sio uzuri au ubaya ya umbo na sura yake, ila ule msukumo nilio nao kutoka ndani kabisa ya moyo wangu.
Msukumo huo hupelekea mimi kuwa mvumilivu, mpole, mwenye kiasi, mkarimu, mnyenyekevu na mwenye kuheshimu.
Bila huo msukumo wa ndani ni uzinzi na umalaya
Pole sana. Pesa muhonge mama yako, hutojutaTunazo ila hatugawi tu hovyo kama njugu. Mimi wameshanilia sana pesa zangu nikaamua kubadili sera. Kwa sasa sitoi hovyo hovyo....
Kwaio haya makasiriko ni kuna mtu unamsimanga au?Haha haha haha nope. I am married
Kuna wanawake, kwao haki sawa maana yake mwanaume afanye kazi ambazo, kwenye jamii yetu zinatambulika kama ni jukumu la mwanamke..!! Na ndiyo maana tukikuta mumeo anapika mara kwa mara tutashangaaHaki sawa ni mpango wa shetani. Bila kuwa na Yesu mtu wa ulimwengu huu habadiliki.
Wanaume linapo kuja suala la kuoa huwa wanaangalia mambo mengine kabisa na sio kwa sababu mwanamke ana sura nzuri au mbaya.Wanaume wengi wanaamini mwanamke msomi, mwenye kipato, sura nzuri, umbo zuri na exposure hafai kuolewa.
Wanaoa wanawake wenye sura na maumbo ya kawaida sana, lakini baada ya muda fulani huanza kulalamika mke wangu ananitesa.
Mke mwenye sura na umbo baya lazima atakuendesha sana kwa waganga sababu ana insecurity problem, huko nje wamejaa wanawake wazuri wa kila aina.
Ndugu zangu wanaume badilikeni, oeni vitu vya kueleweka, ndoa sio kitu rahisi kwa namna yoyote.
ona kitu hikihakuna mwanamke mbaya duniani,ndo maana kila mwanamke anaolewa,mbaya kwako mzuri kwa mwingine,aliumbiwa mtu wake...
Vyema sanaWanaume linapo kuja suala la kuoa huwa wanaangalia mambo mengine kabisa na sio kwa sababu mwanamke ana sura nzuri au mbaya.
Wanawake unao waita wazuri wameolewa tena wengi tu, ukiona hajaolewa ujue hana sifa za kuwa mke kutokana tabia mbovu na ukosefu wake wa akili na si kwasababu ya uzuri wake au ubaya wake.
Kama ww ni mzuri na umeolewa ujaolewa kwa sababu ya uzuri wako bali uleolewa kwa sababu ww una sifa za kuwa mke na una jielewa.
Na kama kuna mwanamke unaye muona ni mbaya na ameolewa hajaolewa kwa sababu ya ubaya wake bali ameolewa kwa sababu ana sifa ya kuitwa mke na anajielewa