Wanaume wengi wanashindwa kuhudumia wazazi wao kwasababu ya vimada

Wanaume wengi wanashindwa kuhudumia wazazi wao kwasababu ya vimada

Ukweli ndio huo. Wazazi wa familia nyingi wanahudumiwa na watoto wao wa kike.

Mbaya zaidi utakuta hao watoto wa kike wana kipato duni ukilinganisha na wakiume.

Wakiume hela zao ni za kulisha na kunywesha na kustarehesha wanawake
Unaongelea kimada.

Mke tu yupo kama wewe mawigi na mipoda kibao.

Mshahara laki mbili halfu mzazi anataka ajengewe nyumba.

Kiukweli wazazi wa sasa wawe wapole watahudumiwa hela ya kula tu napo inapobidi.

Inabidi sisi vijana tunaokuja kuwa wazazi baadae tuondoe hii dhana ya kutaka kulelewa na watoto ina leta umasikini mkubwa.
 
Siyo Kwa sababu ya vimada...hao tutakuwa tunawasingizia tu.Wanaume wengi hushindwa muhudumia wazazi wao Kwa sababu ya roho mbaya za wake zao.Wanaume wengi waliingia kichwakichwa Kwa wake zao Kwa kuwaamini na kuwahusisssha Kwa Kila kitu then wake zao wametumia udhaifu huo kuwabana na kukataa kabisa muhudumia mama wa waume zao.Mungu awafungue Kwa kweli
Well said dada To yeye, akili na hekima kubwa sana umeitumia kuandika comment yako.

Pia wanawake (wengi na si wote) hutumia sana uchawi na madawa ya kichawi ili kum control mume. Ili hela yote achukue yeye.

Anatokea kimada/mchepuko na uchawi wa Chumbe, kule Kaka Ally Mpemba na UMUGHAKA wanakochukua majini ya kuwapa utajiri.

Akimpata mumeo fungu lote anampelekea yeye, wewe na watoto njaa kali
 
Siyo Kwa sababu ya vimada...hao tutakuwa tunawasingizia tu.Wanaume wengi hushindwa muhudumia wazazi wao Kwa sababu ya roho mbaya za wake zao.Wanaume wengi waliingia kichwakichwa Kwa wake zao Kwa kuwaamini na kuwahusisssha Kwa Kila kitu then wake zao wametumia udhaifu huo kuwabana na kukataa kabisa muhudumia mama wa waume zao.Mungu awafungue Kwa kweli
Kweli
 
Wazazi wametumia nguvu zao zote kuwasomesha nyinyi halafu mukipata kazi munawasahau. Yale aliyoyazungumza Mhe Mashimba bungeni kuhusu watoto yana mantiki sana ijapokuwa wabunge walikuwa wanamcheka.

Hicho kipato cha kuwahudumia nyinyi miaka miingi huwa kinabaki na ziada ya kusave kweli?
Retired naomba nisikie neno moja kutoka kwako Engineer msomi
 
Ukweli ndio huo. Wazazi wa familia nyingi wanahudumiwa na watoto wao wa kike.

Mbaya zaidi utakuta hao watoto wa kike wana kipato duni ukilinganisha na wakiume.

Wakiume hela zao ni za kulisha na kunywesha na kustarehesha wanawake
Kwa hiyo wewe hapo unasubiri watoto wako waje wakulee
 
Kwa hiyo wewe hapo unasubiri watoto wako waje wakulee
Nina mashamba ya parachichi Rungwe, Njombe na Kilolo. Nina shamba la ng'ombe, mbuzi na kondoo, mabata na kuku na mabwawa ya samaki na prawns hapo Bagamoyo.

Achana na mashamba ambayo sijayaendeleza.

Technology, na elimu vinatusaidia kufanya haya yote. Wazazi wetu hata kumiliki gari ilikuwa ni mtihani. TV ilikuwa hadi upate kibali cha waziri mkuu
 
Siyo Kwa sababu ya vimada...hao tutakuwa tunawasingizia tu.Wanaume wengi hushindwa muhudumia wazazi wao Kwa sababu ya roho mbaya za wake zao.Wanaume wengi waliingia kichwakichwa Kwa wake zao Kwa kuwaamini na kuwahusisssha Kwa Kila kitu then wake zao wametumia udhaifu huo kuwabana na kukataa kabisa muhudumia mama wa waume zao.Mungu awafungue Kwa kweli
Kuna watu watabisha
 
Wewe ni mzungu wa wapi?
Mpare wa milimani mimi,
Jemima kwa dunia inakoelekea, hadi sisi tuitwe wazee in the near future, ni lazima tuandae uzee wetu, niamini mimi. Maisha yanazidi kuwa magumu, vyanzo vya vipato kwa asilimia kubwa ya watu sio vikubwa, ni ngumu kujigawa.

Somesha watoto wako, lakini pia jiandalie uzee wako.
 
Nina mashamba ya parachichi Rungwe, Njombe na Kilolo. Nina shamba la ng'ombe, mbuzi na kondoo, mabata na kuku na mabwawa ya samaki na prawns hapo Bagamoyo.

Achana na mashamba ambayo sijayaendeleza.

Technology, na elimu vinatusaidia kufanya haya yote. Wazazi wetu hata kumiliki gari ilikuwa ni mtihani. TV ilikuwa hadi upate kibali cha waziri mkuu
Mpare wa milimani mimi,
Jemima kwa dunia inakoelekea, hadi sisi tuitwe wazee in the near future, ni lazima tuandae uzee wetu, niamini mimi. Maisha yanazidi kuwa magumu, vyanzo vya vipato kwa asilimia kubwa ya watu sio vikubwa, ni ngumu kujigawa.

Somesha watoto wako, lakini pia jiandalie uzee wako.
Tatizo mnaogopa kazi ngumu. Huwezi kutengeneza your bright future kwa kutegemea ajira, labda uwe mwizi
 
Nina mashamba ya parachichi Rungwe, Njombe na Kilolo. Nina shamba la ng'ombe, mbuzi na kondoo, mabata na kuku na mabwawa ya samaki na prawns hapo Bagamoyo.

Achana na mashamba ambayo sijayaendeleza.

Technology, na elimu vinatusaidia kufanya haya yote. Wazazi wetu hata kumiliki gari ilikuwa ni mtihani. TV ilikuwa hadi upate kibali cha waziri mkuu
Billionaire
 
kwa hiyo babu zetu na bibi zetu hawakustahili kuishi kwenye nyumba nzuri? Ila wazazi wetu ndio wanastahili kuishi kwenye nyumba nzuri
Walistahili lakini resources hazikuruhusu. Hakukuwa na barabara za kupeleka vijijini bidhaa za viwandani.
Barabara nyingi zilijengwa na Mkapa
 
Tatizo mnaogopa kazi ngumu. Huwezi kutengeneza your bright future kwa kutegemea ajira, labda uwe mwizi
Ili ufanye hivyo ulivyofanya ni lazima uwe na resources za fedha, kufanya hicyo manake ulikuwa na pesa walau za kuanzia. Kilimo cha kisasa kinahitaji rasilomali fedha, sio kila mtu anawezs kwenda mkuranga akanunua ekari 15 akapanda miembe, au kwenda mlandizi akanunua ekari kumi na kufuga ng'ombe na kuku, nguruwe nk.

Tukiandaa uzee wetu hatuwezi kuwalaani watoto wetu kwa nini hawatumi kumi kumi kila wiki.
 
Back
Top Bottom