Wanaume wengi wanashindwa kuhudumia wazazi wao kwasababu ya vimada

Wanaume wengi wanashindwa kuhudumia wazazi wao kwasababu ya vimada

Siyo Kwa sababu ya vimada...hao tutakuwa tunawasingizia tu.Wanaume wengi hushindwa muhudumia wazazi wao Kwa sababu ya roho mbaya za wake zao.Wanaume wengi waliingia kichwakichwa Kwa wake zao Kwa kuwaamini na kuwahusisssha Kwa Kila kitu then wake zao wametumia udhaifu huo kuwabana na kukataa kabisa muhudumia mama wa waume zao.Mungu awafungue Kwa kweli
Ubarikiwe wewe na uzao wako, barikiwa uingiapo barikiwa utokapo. Ukweli ni kua wanaume huponzwa na upenda na huruma yao kwa wake zao.
 
Upo sahihi mkuu, lakini mimi nilisha sema hivi.....
Ndoa sio jela.
Na wanaume wengi wanateswa na wanawake kwa kusubiri ama wakivumilia eti watabadilika, na hapo wanasahau kwamba huo moto anao upitia ndio rangi halisi ya huyo mke alie muoa. Kwakweli mie siogopi kuvunja ndoa eti kwasababi tulipitia madhabahuni ama kwasababu watu watatusema. Kama ni watoto nitawalea ikiwa atakubali niwachukue na akikataa pia sheria zipo mkuu.
Ndicho nilichokifanya,siwez fungwa na madhabahu ingali kuungua ndani naungua mimi
 
Mzazi unatakiwa kuandaa uzee wako, usitegemee kijana wako awe msaada wako ukizeeka. Kwa maisha gani kijana amemaliza chuo ameoa aweze kuhudumia mzazi?

Tuandae uzee wetu sasa.
Alafu kesho ya wanetu iandaliwe na nani!!?? Kiasi kidogo cha pesa wanchokipata wazazi hukitumia kuandaa kesho wa watoto wao hivyo watoto wanawajibu wa kuwatunza wazazi wao waliojitoa kuhakikisha watoto wanapata mahitaji muhimu mpaka leo hii wamesimama.
 
Well said dada To yeye, akili na hekima kubwa sana umeitumia kuandika comment yako.

Pia wanawake (wengi na si wote) hutumia sana uchawi na madawa ya kichawi ili kum control mume. Ili hela yote achukue yeye.

Anatokea kimada/mchepuko na uchawi wa Chumbe, kule Kaka Ally Mpemba na UMUGHAKA wanakochukua majini ya kuwapa utajiri.

Akimpata mumeo fungu lote anampelekea yeye, wewe na watoto njaa kali
Barikiwa
 
Lakini pia wazazi wanawajibu wa kuandaa maisha yao ya baadae kuliko kukaa na kuwalaumu watoto wao
kwa mzazi wa kijijini asiye na mshahara, analima kwa jembe la mkono, amekusomesha kwa kubadilisha mazao kidogo anayovuma kuwa pombe ya kienyeji, unataka ajiandae kwa maisha yake ya baadaye, raslimali ya kufanya hivyo ataitoa wapi?
 
Wanawake ndio wanafanya tusihudumie wazazi wetu, hata hao Dada zetu wanaowahudumia wazazi Kuna namba wanawafanyia waume zao Hadi zinapatikana pesa za kuwahudumia, kwaufupi hapa tatizo Ni MWANAMKE MWENYE ROHO MBAYA.
 
Lete andiko linalosema tuwahudumie wazazi refer Mme/mke watawaacha wazazi wao na kuambatana pamoja na kuwa mwili mmoja alafu hao wazazi na wenyewe wanawahudumia wazazi wao?
 
Mm aisee nikioa 50/50 akipokea mshahara tunaupasua vzr tu mamb ya divorce tunaanza kugawana mali akt yeye alikua anafua tu nakupika hapana aisee lazma hela yake itumike ipasavyo
Wazo lako zuri sana lakini ili ufanikiwe kwenye hili ni lazima uliwekee mkazo tangu awali katika mahusiano yenu vinginevyo atakusumbua sana na omba Mungu upate mwanamke atakayekubaliana na hili mwanzo mwisho
 
Mtoto hawezi kuhudumia familia ya kwao au ya wakweze, bali hutoa tu kama zawadi, shukurani, au kama kuna upungufu wa kinamna yoyote kimavazi, chakula au malazi.

Jukumu la familia ni la mwenyefamilia. Kwanza ni aibu kwa baba kukaa kusubiri huduma kutoka kwa mwanaye. Kuna mzazi hata ukimpa hela anairudisha, anakuambia "hii ni ya wajukuu wangu siwezi kuipokea". Ila zawadi kama mavazi, vifaa, n.k, anaweza kupokea.

Hebu fikiria, ahudumie kwake, kwao, na kwa wakweze. Huu ni mzigo mkubwa kwa wanaume wenye kipato cha kubangaiza.
 
Ukweli ndio huo. Wazazi wa familia nyingi wanahudumiwa na watoto wao wa kike.

Mbaya zaidi utakuta hao watoto wa kike wana kipato duni ukilinganisha na wa kiume.

Wa kiume hela zao ni za kulisha na kunywesha na kustarehesha wanawake

Pia wanawake tunaroga sana wanaume ili tupate control ya maisha yao na hela zao
Kweli wanawake mnaroga sana sio balaaa kabisa. Acheni hizo bana ebu uzeni mbususu zenu mpate hela zenu wenyewe kwa jasho lenu
 
Mwanaume ukishaingia kwny ndoa tayar ushabeba zigo la misumari,
-1. utahudumia mkeo na watoto wako
2. mashemj zako wakifeli vijijini watahamia kwako kulisiti masomo Yao, na wakifaulu utawasomesha wewe
-3. ukweni Kwa mkeo michango yote inakuhusu wewe
4. bado hujatunza wazaz wako
5. Mkeo hajacheza vikoba n.k

Kwa lawama km hizi,
Ndoa maana vijana wa kiume Sasa wanakataa ndoa
Zigo kwelikweli
 
Back
Top Bottom