Wanaume wengi wanashindwa kuhudumia wazazi wao kwasababu ya vimada

Wanaume wengi wanashindwa kuhudumia wazazi wao kwasababu ya vimada

Sorry to say this.
Mimi ni Mkristo, na nina kipato kikubwa kuliko mwenzangu. Lakini ninaishi maisha ambayo ni ya kimwambia Roho Mtakatifu, nipe unyenyekevu, nipe utii, nishishe, ondoa ndani mwangu kiburi, ondoa kujikukweza, mume wangu ni kichwa cha familia, hela si kitu kwangu, nipe heshima Mungu wangunifanyike mke mwema, kwa kweli huwa najishusha sana.

Kuna kipindi kiburi cha pesa kikaanza kujiinua, nikafunga na kuomba haikusaidia, nikapata jibu kwamba ni lazima account zote awe anaziongoza yeye.

Pia nikatoa nusu ya hela yangu yote nikampa afanye mtaji wa biashara zake mwenyewe.

Ni mwanaume mzuri sana ananifundisha na kunielekeza mengi amefanyika baraka sana maishani mwangu
Kama unayoongea unayaishi basi MUNGU akuinue na kukuzidishia baraka na mwanaume atakuwa amepata mke bora sana
 
Ngoma droo!
Kama wanaume tukipata hela tunahonga kinadada ambapo haohao kinadada wanaenda kutunza wazazi sio mbaya.
Jemima Mrembo nakuhonga unaenda kumtunza wazazi wako alafu kaka zako wanahonga dada zangu alafu dada zangu wanakuja kutunza wazazi wangu.

Kitaalamu hii inaitwa ni mzunguko mzuri wa pesa 😂
 
Ukweli ndio huo. Wazazi wa familia nyingi wanahudumiwa na watoto wao wa kike.

Mbaya zaidi utakuta hao watoto wa kike wana kipato duni ukilinganisha na wa kiume.

Wa kiume hela zao ni za kulisha na kunywesha na kustarehesha wanawake

Pia wanawake tunaroga sana wanaume ili tupate control ya maisha yao na hela zao
we vip
 
Unaongelea kimada.

Mke tu yupo kama wewe mawigi na mipoda kibao.

Mshahara laki mbili halfu mzazi anataka ajengewe nyumba.

Kiukweli wazazi wa sasa wawe wapole watahudumiwa hela ya kula tu napo inapobidi.

Inabidi sisi vijana tunaokuja kuwa wazazi baadae tuondoe hii dhana ya kutaka kulelewa na watoto ina leta umasikini mkubwa.
Kumbuka bado jamii yetu ni fukara sana...huenda wazazi walizaa watoto wengi na katika kuwapambania wakakosa akiba ya uzeeni...hebu nenda vijijini uone Hali ilivyo mbaya ujiulize ni wazazi wangapi wanaweza kuweka akiba.
Pia sio watu wote Wana kipato kidogo wengine washajiweza sana ila hawakumbiki nyumbani.
Yaani mtu mpaka siku akipata msiba watu wakija kwao wanajiuliza hapa ndio kwa huyu jamaa kweli, kwa jinsi palivyochoka.
 
Kumbuka bado jamii yetu ni fukara sana...huenda wazazi walizaa watoto wengi na katika kuwapambania wakakosa akiba ya uzeeni...hebu nenda vijijini uone Hali ilivyo mbaya ujiulize ni wazazi wangapi wanaweza kuweka akiba.
Pia sio watu wote Wana kipato kidogo wengine washajiweza sana ila hawakumbiki nyumbani.
Yaani mtu mpaka siku akipata msiba watu wakija kwao wanajiuliza hapa ndio kwa huyu jamaa kweli, kwa jinsi palivyochoka.
Samahani mkuu, hivi ukisema kuzaa watoto wengi ni kuanzia watoto wangapi??
 
Ngoma droo!
Kama wanaume tukipata hela tunahonga kinadada ambapo haohao kinadada wanaenda kutunza wazazi sio mbaya.
Jemima Mrembo nakuhonga unaenda kumtunza wazazi wako alafu kaka zako wanahonga dada zangu alafu dada zangu wanakuja kutunza wazazi wangu.

Kitaalamu hii inaitwa ni mzunguko mzuri wa pesa 😂
Kaka zako wanahonga dada zangu maparachichi
 
Iyo ndio hali halisi ya wanaume sijui kunakasumba gani imetupitia juu ya huduma kwa wazazi, wanaume wako bize kuhudumia maBarMaid pombe nyingi, bills nyingi za malaya lakin wazazi wao wanaishi kwa taabu sana.

nina marafiki wengi sana ayo ndio maisha yao, wazazi wao wanataabika wanafanya biashara ndogondogo kwa taabu uko kwenye stand za magari, vituo vya treni adi usiku wa manane bidhaa zenyewe hazitoki sometime zinaharibika, mama anasota kuuza karanga mashuleni uko adi karanga zinachacha sometime, wazazi wao manaishi katika makazi duni kabisa vyoo vibovu, nyumba imeegeshwa na mti ili isianguke, lakin ukiwatazama watoto zao ambao ni marafiki zangu wanavipato vizuri tu, wanawapangia vyumba maBarMaid na kuwanunulia samani zote za kisasa.

kuna uyo jamaa yangu mmoja amefariki siku ya Mwaka mpya huu kwa ajari ya pikipiki alikuwa anamrudisha demu wake home kwao, best yangu alikuwa anajipenda sana anahonga sana malaya, ofa za pombe nyingi sana akikukuta upo Bar anagawa sana ofa za Beer, alikuwa mtu wa kufuja sana pesa, Dah kwao kawaacha wazazi wake wnaamaisha duni kabisa yaan nyumba imechoka inavujisha vibaya mno,

mwamba kawaacha watoto 11 na mimba tatu, amefariki akiwa na umri wa miaka 32
 
Kama unayoongea unayaishi basi MUNGU akuinue na kukuzidishia baraka na mwanaume atakuwa amepata mke bora sana
Amina. Baraka hu flow in hierarchy system, hutoka kwa Mungu then huenda kwa baba then kwa mama kisha kwa watoto na vizazi vyao. Kutomheshimu baba ni kuzikwepa baraka za Mungu
 
Ila kw akizazi chetu ukizaa watoto zaidi ya wanna tayari nadhani no wengi...Sasa hivi Kuna vitu vingi zaidi ya zamani...hizi shule hizi ni speed gavana ya kuzaa.
Kwanza ninetokea familia ambayo haikua na uwezo....
Na nini nina watoto 8 na kati ya wote hakuna anaesoma shule ya kidumu, pia wapo waliopo vyuo. Napia wazazi nawahudumia na nyumba ninazo na ndinga nasukuma na beer nakunywa.... lakini mimi sio tajiri ninamaisha ya kawaida lakini pamoja na haya yooote..... nimekua nikimsisitiza mke wangu kuhusu kujiandalia maisha yetu ya uzeeni ili tusije tukawa misalaba ya watoto wetu ambao tuliwazaaa kwa starehe zetu na wakati huo nawao watakua wana wajibika kwenye familia zao na watoto wao pamoja na kuandaa maisha yao ya uzeeni pia.
 
Back
Top Bottom