Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
I'm sure mzee angekua Police officer, bilashaka wangelala lock-up...🤣🤣Hivi wale ndugu zenu walikuja kulala kwenu baba yako akawapeleka wodini, walikuwa wangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'm sure mzee angekua Police officer, bilashaka wangelala lock-up...🤣🤣Hivi wale ndugu zenu walikuja kulala kwenu baba yako akawapeleka wodini, walikuwa wangapi?
Kama walituzaa bila kujipanga watajua wenyeweWazazi wametumia nguvu zao zote kuwasomesha nyinyi halafu mukipata kazi munawasahau. Yale aliyoyazungumza Mhe Mashimba bungeni kuhusu watoto yana mantiki sana ijapokuwa wabunge walikuwa wanamcheka.
Hicho kipato cha kuwahudumia nyinyi miaka miingi huwa kinabaki na ziada ya kusave kweli?
Hongera mkuu umebarikiwa ila katika cycle yako labda mliokuwa pamoja ni wangapi Wana uwezo wako? Wengi bado Maisha ni ya kudunduliza sana...Kwanza ninetokea familia ambayo haikua na uwezo....
Na nini nina watoto 8 na kati ya wote hakuna anaesoma shule ya kidumu, pia wapo waliopo vyuo. Napia wazazi nawahudumia na nyumba ninazo na ndinga nasukuma na beer nakunywa.... lakini mimi sio tajiri ninamaisha ya kawaida lakini pamoja na haya yooote..... nimekua nikimsisitiza mke wangu kuhusu kujiandalia maisha yetu ya uzeeni ili tusije tukawa misalaba ya watoto wetu ambao tuliwazaaa kwa starehe zetu na wakati huo nawao watakua wana wajibika kwenye familia zao na watoto wao pamoja na kuandaa maisha yao ya uzeeni pia.
Big up kwa hili na Nina imani familia yako na mumeo inaenda vizuri.Sorry to say this.
Mimi ni Mkristo, na nina kipato kikubwa kuliko mwenzangu. Lakini ninaishi maisha ambayo ni ya kimwambia Roho Mtakatifu, nipe unyenyekevu, nipe utii, nishishe, ondoa ndani mwangu kiburi, ondoa kujikukweza, mume wangu ni kichwa cha familia, hela si kitu kwangu, nipe heshima Mungu wangunifanyike mke mwema, kwa kweli huwa najishusha sana.
Kuna kipindi kiburi cha pesa kikaanza kujiinua, nikafunga na kuomba haikusaidia, nikapata jibu kwamba ni lazima account zote awe anaziongoza yeye.
Pia nikatoa nusu ya hela yangu yote nikampa afanye mtaji wa biashara zake mwenyewe.
Ni mwanaume mzuri sana ananifundisha na kunielekeza mengi amefanyika baraka sana maishani mwangu
Huo ni upumbavuMwanaume ukishaingia kwny ndoa tayar ushabeba zigo la misumari,
-1. utahudumia mkeo na watoto wako
2. mashemj zako wakifeli vijijini watahamia kwako kulisiti masomo Yao, na wakifaulu utawasomesha wewe
-3. ukweni Kwa mkeo michango yote inakuhusu wewe
4. bado hujatunza wazaz wako
5. Mkeo hajacheza vikoba n.k
Kwa lawama km hizi,
Ndoa maana vijana wa kiume Sasa wanakataa ndoa
AminaHalekuya....🎺🥁🎻🎹🎶
HakikaBig up kwa hili na Nina imani familia yako na mumeo inaenda vizuri.
Halafu ukute bado mke hakuonei huruma, dharau na kiburi bila ukomoMwanaume ukishaingia kwny ndoa tayar ushabeba zigo la misumari,
-1. utahudumia mkeo na watoto wako
2. mashemj zako wakifeli vijijini watahamia kwako kulisiti masomo Yao, na wakifaulu utawasomesha wewe
-3. ukweni Kwa mkeo michango yote inakuhusu wewe
4. bado hujatunza wazaz wako
5. Mkeo hajacheza vikoba n.k
Kwa lawama km hizi,
Ndoa maana vijana wa kiume Sasa wanakataa ndoa
Ukimkuta mwanaume anaishi na mwanamke wa aina hii, basi huyo baba anatakiwa akipimwe mkojoHalafu ukute bado mke hakuonei huruma, dharau na kiburi bila ukomo
Sasa hapa umeongea kama baba au mume mwenye mke DeepPondMwanaume ukishaingia kwny ndoa tayar ushabeba zigo la misumari,
-1. utahudumia mkeo na watoto wako
2. mashemj zako wakifeli vijijini watahamia kwako kulisiti masomo Yao, na wakifaulu utawasomesha wewe
-3. ukweni Kwa mkeo michango yote inakuhusu wewe
4. bado hujatunza wazaz wako
5. Mkeo hajacheza vikoba n.k
Kwa lawama km hizi,
Ndoa maana vijana wa kiume Sasa wanakataa ndoa
Hao vimada si ndo wanachukua hela zetu wanapeleka kwa wazazi wao, ndo maana mdada wa mjini mshahara laki 2 ila home inapelekwa hata laki 5Ukweli ndio huo. Wazazi wa familia nyingi wanahudumiwa na watoto wao wa kike.
Mbaya zaidi utakuta hao watoto wa kike wana kipato duni ukilinganisha na wa kiume.
Wa kiume hela zao ni za kulisha na kunywesha na kustarehesha wanawake
Pia wanawake tunaroga sana wanaume ili tupate control ya maisha yao na hela zao
Waambie wawe na akili bas au wewe ukihongwa vizuri inatoshaKaka zako wanahonga dada zangu maparachichi
Makinika kuna HATARI Zaidi pia hapo!Sorry to say this.
Mimi ni Mkristo, na nina kipato kikubwa kuliko mwenzangu. Lakini ninaishi maisha ambayo ni ya kimwambia Roho Mtakatifu, nipe unyenyekevu, nipe utii, nishishe, ondoa ndani mwangu kiburi, ondoa kujikukweza, mume wangu ni kichwa cha familia, hela si kitu kwangu, nipe heshima Mungu wangunifanyike mke mwema, kwa kweli huwa najishusha sana.
Kuna kipindi kiburi cha pesa kikaanza kujiinua, nikafunga na kuomba haikusaidia, nikapata jibu kwamba ni lazima account zote awe anaziongoza yeye.
Pia nikatoa nusu ya hela yangu yote nikampa afanye mtaji wa biashara zake mwenyewe.
Ni mwanaume mzuri sana ananifundisha na kunielekeza mengi amefanyika baraka sana maishani mwangu
Hii ni impractical kwa nchi za Africa.Mzazi unatakiwa kuandaa uzee wako, usitegemee kijana wako awe msaada wako ukizeeka. Kwa maisha gani kijana amemaliza chuo ameoa aweze kuhudumia mzazi?
Tuandae uzee wetu sasa.
Yaani hela zangu alafu unipangie nizitumiaje, nani kakuambia mzazi wangu anataka kuhudumiwa?
Tungeanza na mumeo kwanza,
Vipi anawahudumia wakwe zako?
Mfano:
Mume anapokea 500,000 Kwa mwezi
Mke anapokea 1,000,000 Kwa mwezi
Ila familia inaendeshwa na 500,000 tu ya Mume na million 1 ya mke hairuhusiwi kuhojiwa popote pale.
Kwenye hiyo laki 5 ya familia Bado Mume atalaumiwa na Jemima Mrembo kwann hatunzi wazazi wake🥲
Tujitahidi iwe practical, kusomesha ni wajibu wetu as tuliwaleta duniani. Ila tusisahau kuwa wao kutusaidia uzeeni sio wajibu wao.Hii ni impractical kwa nchi za Africa.
sio kweli, wanaume wengi wanashindwa kuhudumia wazazi kwasababu ya kujitoa kikamilifu kuhudumia familia ( watoto na wake zao) watoto wakike wanamudu kuhudumia wazazi kutokana na ubinafsi wao, familia wanaweza kulala njaa ila mwanamke ana mapesa kwenye mkoba wake hatoi hata mia atawatumia watu wa kwaoUkweli ndio huo. Wazazi wa familia nyingi wanahudumiwa na watoto wao wa kike.
Mbaya zaidi utakuta hao watoto wa kike wana kipato duni ukilinganisha na wa kiume.
Wa kiume hela zao ni za kulisha na kunywesha na kustarehesha wanawake
Pia wanawake tunaroga sana wanaume ili tupate control ya maisha yao na hela zao