Wanaume wengi wanateswa na wanawake wa aina hii lakini wanaumia ndani kwa ndani matokeo yake kupelekea maafa

Sijamaliza kusoma lkn UKIAMINIWA,AMINIKA.
NI GHARAMA KUBWA SANA AMA HAIWEZEKANI KUUREJESHA UAMINIFU ULIOKUPONYOKA.
 
Achana naye kwasababu hujamuoa.
Atakutesa.
Piga chini na usiangalie nyuma.
 
Kosa ulilofanya ni kujenga nyumba bila ya kuwa na mlango wa dharura, ungekuwa unahudhuria vikao vya kiumeni ule mstari wa tuishi nao kwa akili huwa ndiyo kiitikio cha wimbo wa Jumuiya ya kiumeni.

Sasa sikiliza upate ushauri kutoka halmashauri kuu ya kiumeni, anza kuuza assets zenye umiliki wa jumuiya yaani wewe na mkeo. Baada ya kufanya hivyo anza ku'convert' kiasi kilichopatikana kwa kufanya uwekezaji wa binafsi ili ikifika hatua ya kugawana mbao baada ya chombo kuzama tayari unakuwa umeshajiandalia plan B.
Pia anza kuandaa mipango ya watoto wako kuhusu wataishi wapi bila kuathiri malezi yao baada ya kutengana na huyo mzazi mwenzio.

Ila kabla ya yote, kwakuwa unahisi hiyo tabia kaianza muda mrefu na wewe umegundua mwaka huu, pima DNA ujiridhishe kama hao watoto wote ni wako ama la kabla ya kumchukulia hatua kali za kinidhamu.
Azimio la kikao ni kuwa mkeo au demu wako, sio tu hatakiwi kuchepuka hata mara moja, bali hata kuhisiwa kuwa ana mpango wa kuchepuka hilo ni kosa la jinai kwa sheria za Kiumeni. Umetuangusha sana umejua kuwa watu wamemmega zaidi ya mara mbili na bado unaendelea kukomaa naye.
ONYO:

Tutaacha kutoa ushauri na msaada wa Kisheria kwa watu wanaokacha kuja kwenye vikao kwa makusudi kabisa, ila mkikwama mnakuja kutaka msaada kutoka kwenye chama.
 
Wewe mwanaume mwenye umama ndani yako mke wako anajuaje unachati na marafiki wa kike. Kila ukichati na mwanamke yeye anajua, kwanini?

Usikute unachati nao ile ya kujichekesha na kujifanya charming uku ukiwekeza concentration uko na kutoa meno nje kwa furaha. Mazungumzo ya kazi na mawasiliano ya kawaida mara chache sidhani kama yangetia shaka.

Na huyo mkeo mpuuzi mzuie mara moja hiyo tabia ya kulipiza. Kama anataka kulipiza mfanye alipe milele kwa bei ya jumla, akaolewe na hao marafiki zake.
 
Hivi simu yangu mke wangu anapata wapi nguvu ya kuikagua?ila mpk hapa mlipofikia wewe ndio umeshindwa kumgundua mkeo toka mapema hicho ni kimeo toka zamani na utachapiwa mpk usemee....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…