Wanaume wengi wanateswa na wanawake wa aina hii lakini wanaumia ndani kwa ndani matokeo yake kupelekea maafa

Wanaume wengi wanateswa na wanawake wa aina hii lakini wanaumia ndani kwa ndani matokeo yake kupelekea maafa

Nimeumia ulivyosema kwamba hujawahi kufanya kweli ila unanyapia tu mzigo hupewi.
Inaonekana wewe mpole na zoba, yaani unajua mkeo analiwa zaidi ya mara tatu na unamsamehe dah!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Tena unampigia simu aliyemkaza aachane na mkeo kistaarabu??
Bro hata hao watoto sio wako na fanya upime ngwengwe
Jamaa alibipu my wake akapiga..aki kuna watu hawataniwi kwenye haya maisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
W
Tuna miaka 8 tunaishi pamoja tuna mtoto mmoja wakike. Hatujafunga ndoa kutokana na changamoto za kiuchumi na kutokubaliana Kwa ndugu wa pande zote mbili kiumeni na kikeni hataivyo mpango tulionao sasa ni kufunga ndoa ya kimya kimya bila kuhusisha ndugu maana wanakuwa kikwazo katika hili. Licha ya hayo yoote Maisha yetu Mimi na mkewangu na mtoto wetu yamekuwa yafuraha na changamoto za hapa na pale (zakuvumilika)

Miaka yote hiyo saba iliyopita niliyokuwa Naye katika maisha sikuwahi kugundua tabia ya mkewangu ya kulipiza kisasi. Kumbe miaka yote hii nane amekuwa akinilipiza fisasi bila Mimi kujua.

Nakiri kwamba ni mwanamke ambaye alinipenda Sana kiasi Cha kutembea kifua mbele kwamba napendwa alikuwa radhi Kwa chochote ili awe na Mimi tu katika maisha yake.

Mwaka huu mwazi wa kwanza kama sio wa pili akanambia kitu Cha kushangaza Sana. Kipindi nipo chuoni miaka kama Sita iliyopita aliwahi kunifuma chumbani kwangu nikiwa na kadem flani

Haka kademi hata sikuwa nacho kwenye mahusiano, kalikuwa ni katoto ka getikali kanaishi kwenye bangaloo nikiwa napita kwao kananichekea nikajua tu kanawashwa maana kanafungiwa sana ndani. Sikumoja nikiwa napita kwao hako kadem nikakaita kakanifuata, kalitoroka kwao nikakachukua mpaka geto kwangu. Leongo ni kula mzigo lakini kumbe kalikuwa kwenye siku zake kwahiyo mission ikawa failed, nikaenda kukanunulia ped maana kaliniambia kanataka kulala kwangu, kwakuwa kalikuwa bize na cm yangu nikaweka flight mode nisipatikane kumbe mwanamke wangu kanipigia wee hanipati

Keshoyake asubuhi mwanamke wangu akatufuma live geto kalekadem kakiwa kamevaa nguo yangu. Ilikuwa patashika sitasahau hii siku.

Tulifanikiwa kusolve Hilo tatizo mkewangu alinielewa japo kishingo upande

Kumbe Imani yoote aliyokuwa nayo kwangu ilifia pale aliponifuma na kale kadem.

Sasa mwaka huu ndo anakuja kunambia kuwa alijua kwamba kale kademu nilikaginga kwahiyo nayeye kulikuwa na jamaa flani anamtongoza tongoza akaamua akampe mzigo kupunguza machungu.

Baada ya kuambiwa haya nilisikitika Sana Kwasababu Mimi sikuwa nimefanya mapenzi na kale kabinti lakin yeye akanilipizia Kwa kufanya kweli.

Kabla sijakutana na mkewangu nilikuwa na marafiki wakiume na wakike. Ilifikia hatua mkewangu akanikataza kuwa na marafiki wa kike kutokana na wivu aliokuwa nao kwangu.

Nilijitahidi kumthibitishia kuwa hakuna kingine zaidi ya urafiki tu hasahasa maisha yangu ya chuo nilikuwa nachangamana na jinsia zote, kunawakati nilidhani amenielewa.

Mwaka huu mwezi wa tatu hiv nikagundua mwenzangu amebadilika mapenzi yamepungua kwangu, namjua mkewangu ni mtu wa kutafuta furaha kutoka kwangu mara ghafla akawa Hana habari na Mimi.

Kazini kwangu kuna mdada akawa amenizoea Sana tukawa tunawasiliana na kuchat lakini nilimtaadharisha kuwa ninamke na mtoto tuseme tu tulipenda Sana kutaniana Kila siku zilivyozid kwenda utani ukawa unazidi nikajua huyu atakuja kuniletea matatizo Kwa mkewangu nikambolock.

Baada ya siku kadhaa yule dada wa kazini akanifata kistaarabu akaniomba nimsamehe Kwa utani uliopitiliza basi nikaona Acha nimblokue

Japo nimemblokua lakini nilishaisoma akili yake sio timamu Sana. Kumbe mkewangu alikuwa akisoma sms zangu na amekuwa akitufatilia Mimi na huyo dada wa kazini kwangu.

Akanionya nisiwe na ukaribu na huyo dada. Nilichofanya nikaamua kuwa nambadilisha majina kilasiku mara Leo nimsevu Mgunda mara nimsave Onyango.

Kumbe hayo yoote mkewangu alikuwa kashajua.

Nilipata zawadi ya mfanyakaz Bora wa mwezi kazini kwetu nikapewa zawadi nikapigwa na picha, ilikuwa jiko la gas yule dada rafkiangu wa kazini akaniomba Lile jiko akanambia atanirudiahia hela kidogo kidogo nikampa maaana sikuwa na shida nalo Sana.

Wakati huo mkewangu simuelewi anamajibu ya mkato Hana muda namm, sio mtu wa kushinda nyumbani.

Kumbe mkewangu ameona zile picha za Mimi kupewa zawadi kazini na zawadi hajaiona nyumbani basi akajua mojakwa Moja nimemuhonga yule demu wa kazini kwangu.

Kumbe mkewangu alikuwa na urafiki na jamaa flani hivi sijui walisomanae, yule jamaa alikuwa anmfanyia vitu mkewangu mara amtoe out mara amletee zawadi mda huo me sielewi namuonax mkewangu mapenzi hayapo kabisa kwangu najaribu kuchunguza ni nini sababu.

Nakuja kujua nishachelewa Sana jamaa kashamla mzigo mkewangu na kashaanza kumpotezea.

Nilipogundua Hilo niliumia Sana lakini nikakumbuka aliwahi kunifuma na mwanamke chumbani na alinisamehe na kutokana na alivyoomba msamaha nilishindwa kuacha kumsamehe, niseme nilikuwa nampenda Sana mkewangu nikaamua kumsamehe japo wengi watanishangaa ila niliamua hivyo Kwasababu ningepoteza vingi nilivyo vijenga kama tungeachana.

Mkewangu alinambia aliamua kucheat Kwasababu alidhani nimecheat na yele mdada wa kazini kwangu

Hebu tizama mkewangu amrudia Tena kunilipizia kisasi kwa kunicheat akidhani Mimi nimemcheat. Basi kuanzia hapo nikawa nimeijua tabia ya visasi aliyonayo mkewangu.

Tulianza maisha mapya na mkewangu sikutaka Tena mawasiliano na yule Binti wa kazini kwangu na mkewangu akaacha mawasiliano na yule jamaa aliyenicheat Naye.

Hakika mkewangu alirudisha mapenzi yote kwangu akaniheshimu nikampenda maisha yalikiwa matamu hizo siku baada ya miezi kama minne hivi yule jamaa akaanza kupigia mkewangu.

Nilipogundua Hilo nikaongea na mkewangu akanambia ananiahidi hatafanya kitendo alichokifanya Cha kunicheat Tena katika maisha yake kwahiyo nimuache tu awasiliane Naye huyo jamaa hakitaharibika kitu.
Nikaona hiyo sio kweli nikaamua kumvutia jamaa waya nikamwambia aache kuwasiliana na mkewangu na nikamfahamisha kuwa najua kuwa alishatembea na mkewangu najua yote lakini Kwa amani tu nikamuomba aache kuwasiliana na mkewangu jamaa alinielewa vzuri sana aliacha huo mchezo kabisa.

Maisha yakaendelea baada kama miezi miwili hivi nikaanza kugundua kuwa mkewangu ameanza Tena kunipuuza haniheshimu majibu ya shortcat Hana muda na Mimi nikaanza Tena kumchunguza nikagundua amekuwa na marafiki wa kiume kadhaa anachart nao.

Nilipomuuliza akasema ni rafiki zake kwakuwa hata Mimi mbona ninamarafiki wa kike.

Baada ya siku mbilitatu nikafuma sms ya jamaa mmoja miongoni mwa hao rafiki zake akimtongoza, Tena saa Tano usiku.

Nikampigia cm huyo jamaa nikaongea nae kiume kiutu uzima jamaa akaniomba msamaha akakata mawasiliano na mkewangu, nikamwambia mkewangu sitaki uwe na marafiki wa aina hii kunasiku watakuja kumponza kapoteza familia yake Kwasababu Hawa rafiki wasioeleweka.

Baada ya siku tatu mkewangu akaanza kuchat na jamaa anaitwa Ezra huyu Ezra akaanza kumtongoza mkewangu lakin mkewangu alimkata kiaina nilichoshangaa mkewangu alionekana anapenda Sana kuweka urafiki na huyu Ezra hata nilipomwambia akasema amesha mwambia Ezra kuwa wawe marafiki tu na sio wapenzi na Ezra ameridhika na Hilo.

Binafsi nikakumbuka tabia ya visasi ya mkewangu ameona kwakuwa Nina rafiki wakike ninaowasiliana nao ambao kwakweli hatuna mahusiano ya kimapenzi na hao wengi ni wafanyakazi wenzangu na hata mkewangu anajua kabisa kuwa Sina mpenzi zaidi yake lakini anachokifanya hapa ni kulipiza kisasi ndomaana hataki kuacha kuchart na huyu Ezra.

Nikamwambia aache kuchart na Ezra akanijibu kama anataka niache kuchart na Ezra basi na Mimi nisiwe na rafiki wa kike.

Kinachoniumiza kichwa hapa sio Ezra. Ni hii Hali ya kulipiza visasi Mkewangu tabia hii nitaidhibiti vipi? Au haiwezekani? Maisha ya kuchetiwa wakati me najitahidi kujilinda na kumpenda mkewangu lakini yeye ananilipa Kwa haya kweli.

Tabia hii ya visasi ningeju tangu zamani nisingeamua kuishi naye lakini yote hya nimeyaju mwaka huu je ninauhakika gani amekuwa akinicheat Kila anapohisi nimemcheat.
Naombeni mnishuri nipo njia panda sijui lakufanya nishuke tu safari imenishinda au niendelee na safari, natatua vp hili tatizo
We jamaa ulivyoanza kuandika nilijua una akili kumbe nu debe tupu.

Nyie ndio mnavunja moyo vijana waanze kuona Ndoa ni Utapeli, ndoa ni wizi na ndoa ni Kifo.

Unaendeshwa na Mwanamke?
Unapata ujasiri wapi wa kulala na Mke ambaye unajua fika kaliwa na Mwanaume mwingine?
 
Tatizo Mie msema kweli mpenzi wa Mungu[emoji1787] Afu ukweli una tabia ya kuchoma[emoji1787]

Waache wakaze fuvu tu kuwa mwanaume haridhiki na mwanamke mmoja, halafu wanawake wanasamehe kosa la kuchepuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wasichojua Wanaosamehe ni wale wasio na option, hawastui Yani, hawatongozwi[emoji1787][emoji1787]

Halafu Sheria ya Msamaha ni kuwa anayetakiwa kusamehe ni Yule mwenye uwezo wa kulipa kisasi[emoji1787] Huna uwezo wa kupambana kulipa kisasi usijishaue kujidai umesamehe[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kisasi ni haki[emoji1787]

Sijui niongeze pombe nifunguke ya mkoleni, niwe msungooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732]

Tutakuvua uwanachama [emoji23][emoji23][emoji23]
Wake za watu wanaongoza kwa kuchepuka na ukimuuliza anakwambia nalipa kisasi nipate amani ya moyo. Na walivyo wajinga wanachepuka na watu wa hovyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio km hao kina Ezra

Mwanamke akimfumania me lazima atalipiza ila hili me wetu hawajui!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na wewe kunywa pombe kistaarabu acha kutoa siri za kambi
 
Kosa ulilofanya ni kujenga nyumba bila ya kuwa na mlango wa dharura, ungekuwa unahudhuria vikao vya kiumeni ule mstari wa tuishi nao kwa akili huwa ndiyo kiitikio cha wimbo wa Jumuiya ya kiumeni.
Sasa sikiliza upate ushauri kutoka halmashauri kuu ya kiumeni, anza kuuza assets zenye umiliki wa jumuiya yaani wewe na mkeo. Baada ya kufanya hivyo anza ku'convert' kiasi kilichopatikana kwa kufanya uwekezaji wa binafsi ili ikifika hatua ya kugawana mbao baada ya chombo kuzama tayari unakuwa umeshajiandalia plan B.
Pia anza kuandaa mipango ya watoto wako kuhusu wataishi wapi bila kuathiri malezi yao baada ya kutengana na huyo mzazi mwenzio.
Ila kabla ya yote, kwakuwa unahisi hiyo tabia kaianza muda mrefu na wewe umegundua mwaka huu, pima DNA ujiridhishe kama hao watoto wote ni wako ama la kabla ya kumchukulia hatua kali za kinidhamu.
Azimio la kikao ni kuwa mkeo au demu wako, sio tu hatakiwi kuchepuka hata mara moja, bali hata kuhisiwa kuwa ana mpango wa kuchepuka hilo ni kosa la jinai kwa sheria za Kiumeni. Umetuangusha sana umejua kuwa watu wamemmega zaidi ya mara mbili na bado unaendelea kukomaa naye.
ONYO:
Tutaacha kutoa ushauri na msaada wa Kisheria kwa watu wanaokacha kuja kwenye vikao kwa makusudi kabisa, ila mkikwama mnakuja kutaka msaada kutoka kwenye chama.
Asante Sana naomba radhi Kwa kutohudhurua hivyo vikao vya kiumeni pengine haya yote yasingenikuta nitazingatia Hilo kuanzia Leo, umetisha Sana bro
 
Tutakuvua uwanachama [emoji23][emoji23][emoji23]
Wake za watu wanaongoza kwa kuchepuka na ukimuuliza anakwambia nalipa kisasi nipate amani ya moyo. Na walivyo wajinga wanachepuka na watu wa hovyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio km hao kina Ezra

Mwanamke akimfumania me lazima atalipiza ila hili me wetu hawajui!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na wewe kunywa pombe kistaarabu acha kutoa siri za kambi
Siwezi kumfumania Mke wangu nikaendelea kubembeleza.

Kutokana wanawake ni wajanja kuliko wanaume. Sema sisi wanaume tunakaza Fuvu tu kwamba tunawazidi uwezo ila sio kweli.

Mfano ni huyu jamaa mleta Thread anaonekana anapuyanga sana alikutana na Mtoto wa Mjini na anamwendesha hatari
 
Wewe mwanaume mwenye umama ndani yako mke wako anajuaje unachati na marafiki wa kike. Kila ukichati na mwanamke yeye anajua, kwanini?

Usikute unachati nao ile ya kujichekesha na kujifanya charming uku ukiwekeza concentration uko na kutoa meno nje kwa furaha. Mazungumzo ya kazi na mawasiliano ya kawaida mara chache sidhani kama yangetia shaka.

Na huyo mkeo mpuuzi mzuie mara moja hiyo tabia ya kulipiza. Kama anataka kulipiza mfanye alipe milele kwa bei ya jumla, akaolewe na hao marafiki zake.
Asante lakini sikujua kama nikichart na rafiki zangu sitakiwi kuwa charming
 
Siwezi kumfumania Mke wangu nikaendelea kubembeleza.

Kutokana wanawake ni wajanja kuliko wanaume. Sema sisi wanaume tunakaza Fuvu tu kwamba tunawazidi uwezo ila sio kweli.

Mfano ni huyu jamaa mleta Thread anaonekana anapuyanga sana alikutana na Mtoto wa Mjini na anamwendesha hatari

Ahsanteeeeeeeee!! Ongeza sauti [emoji23][emoji23][emoji23]

Wanaume ni vile tunawaheshimu ila sisi tunauweza umafia wa kuchepuka nyie hamsogei ndiomana tunawapa mpk mitoto sio yenu na hamna cha kutufanya. [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Mwanamke uwe mjanja ukipigwa

Mume wako asijue kamwe.

Kitendo cha kuruhusu Loophole ya kujulikana ni dharau kwa mume wako.

Hao wageni wa kuchepuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Warudi mkoleni, ukiwa unachepuka mume anatakiwa apewe mahaba mpk ajihisi yeye kashikilia uhai wako kumbe nyuma unaling’onga kisogo.
 
Tutakuvua uwanachama [emoji23][emoji23][emoji23]
Wake za watu wanaongoza kwa kuchepuka na ukimuuliza anakwambia nalipa kisasi nipate amani ya moyo. Na walivyo wajinga wanachepuka na watu wa hovyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio km hao kina Ezra

Mwanamke akimfumania me lazima atalipiza ila hili me wetu hawajui!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na wewe kunywa pombe kistaarabu acha kutoa siri za kambi
Unaniogopesha shem
 
Ulivyowekeza anza kuuza taratibu fungua akaunti ya siri anayoijua mama yako tu. Vikibaki nusu ya mali mpige chini kama ataenda mahakamani mtagawana vilivyobaki... tafuta mtu atakayekupa furaha na siyo visasi...

Wanawake wazuri wapo wengi wenye tabia njema. Tafuta watu wastaarabu wakupointie wadada au akutafutie mwanamke unayeendana nae maaana wewe kazi yako ni kuangalia makalio kama kigezo vha mke wa kuweka ndani
 
Back
Top Bottom